Napata shida sana kuipenda nchi yangu kwasababu ya "ujinga" wa wanaccm

Napata shida sana kuipenda nchi yangu kwasababu ya "ujinga" wa wanaccm

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Hii miccm imevunja morali ya watanzania kuipenda nchi yao kwasabb ya uongozi mbovu na usio na dira wala mwelekeo.

Kila zama na awamu wamekuwa wakija na ahadi za kijanjajanja na ulaghai za kuboresha huduma za watanzania.

Tangu kuanzishwa kwa vyama vingi wamekuwa wakifanya hujuma kwa ama kuiba kura au kuhujumu ushindi wa wapinzani.

Sera mbovu za kutengeneza na kutoa ajira kwa vijana, kukuza uchumi/furusa za uchumi na kuzuia ufisadi vyote hivi vinaongeza hasira na jazba miongoni mwa watanzania kuichukia nchi yao.

Kwa utajiri ambao nchi yetu imebarikiwa kama ccm ingekuwa ipo kwa ajili ya watanzania tangu uhuru tungekuwa mbali Sana.

Naichukia sana Tanzania kwasabb ya ccm.
 
Hii miccm imevunja morali ya watanzania kuipenda nchi yao kwasabb ya uongozi mbovu na usio na dira wala mwelekeo.

Kila zama na awamu wamekuwa wakija na ahadi za kijanjajanja na ulaghai za kuboresha huduma za watanzania.

Tangu kuanzishwa kwa vyama vingi wamekuwa wakifanya hujuma kwa ama kuiba kura au kuhujumu ushindi wa wapinzani.

Sera mbovu za kutengeneza na kutoa ajira kwa vijana, kukuza uchumi/furusa za uchumi na kuzuia ufisadi vyote hivi vinaongeza hasira na jazba miongoni mwa watanzania kuichukia nchi yao.

Kwa utajiri ambao nchi yetu imebarikiwa kama ccm ingekuwa ipo kwa ajili ya watanzania tangu uhuru tungekuwa mbali Sana.

Naichukia sana Tanzania kwasabb ya ccm.
Samia alisema hatakama hampemdi yeye pandeni Nchi yenu .yaani uipende jinsi anavusimamia wezi kuiba mali zetu
 
[emoji116]
JamiiForums1253610614.jpg
 
Kuna vijana hawajasoma wajinga wajinga jobless wanasubiri teuzi za uDAS hao huwambii kitu kuhusu ccm
 
Hii miccm imevunja morali ya watanzania kuipenda nchi yao kwasabb ya uongozi mbovu na usio na dira wala mwelekeo.

Kila zama na awamu wamekuwa wakija na ahadi za kijanjajanja na ulaghai za kuboresha huduma za watanzania.

Tangu kuanzishwa kwa vyama vingi wamekuwa wakifanya hujuma kwa ama kuiba kura au kuhujumu ushindi wa wapinzani.

Sera mbovu za kutengeneza na kutoa ajira kwa vijana, kukuza uchumi/furusa za uchumi na kuzuia ufisadi vyote hivi vinaongeza hasira na jazba miongoni mwa watanzania kuichukia nchi yao.

Kwa utajiri ambao nchi yetu imebarikiwa kama ccm ingekuwa ipo kwa ajili ya watanzania tangu uhuru tungekuwa mbali Sana.

Naichukia sana Tanzania kwasabb ya ccm.
Ni kweli CCM janga,lakini hii nchi hakuna wapinzani kuna wachumia tumbo,wapinzani wa kweli watatoka CCM tu ,lakini nje na CCM wapinzani are not yet born
 
We hutaki tu kuipenda nchi yako, acha kutafuta visingizio. Kwa nini usiipende kwa sababu ya ujinga wa wanachadema?
 
Shida KUU ya Tanzania ni Uislamu na Upagani, tatizo liko hapo, Watanzania aidha ni Waislamu au Wapagani ndiyo maana hakuna IQ inayotosha kutatua matatizo basic kabisa kama maji au chakula ingawaje tumezungukwa na maziwa makuu.

Watu wanatunukiana shahada wakati nchi haina maji, umeme, chakula wala ajira kwa watu hakuna, > 70% ya Bajeti ni msaada kutoka kwa Wanaume wengine, elimu ndio kabisa hakuna kitu.

Christianity (western) is the only solution and also the way!
 
Hata uhuru wa kuangalia taarifa ya habari mtu unakosa!! Ukifikiria kukutana na kusifu na kuabudu? Bora tamthilia nipunguze mawazo
 
Hata uhuru wa kuangalia taarifa ya habari mtu unakosa!! Ukifikiria kukutana na kusifu na kuabudu? Bora tamthilia nipunguze mawazo
Mkuu katik kitu ulichoona hata mm nakiona hakuna taarifa ya habar amboyo hutamsikia hangaya kiukwel ciku iz nasikiliza mahubiri au michezo kidogo hatajw San huku
 
Hii miccm imevunja morali ya watanzania kuipenda nchi yao kwasabb ya uongozi mbovu na usio na dira wala mwelekeo.

Kila zama na awamu wamekuwa wakija na ahadi za kijanjajanja na ulaghai za kuboresha huduma za watanzania.

Tangu kuanzishwa kwa vyama vingi wamekuwa wakifanya hujuma kwa ama kuiba kura au kuhujumu ushindi wa wapinzani.

Sera mbovu za kutengeneza na kutoa ajira kwa vijana, kukuza uchumi/furusa za uchumi na kuzuia ufisadi vyote hivi vinaongeza hasira na jazba miongoni mwa watanzania kuichukia nchi yao.

Kwa utajiri ambao nchi yetu imebarikiwa kama ccm ingekuwa ipo kwa ajili ya watanzania tangu uhuru tungekuwa mbali Sana.

Naichukia sana Tanzania kwasabb ya ccm.
Bora wewe hutaki kuwa mnafiki
 
Acha kulalamika.. nchi mambo yapo vizuri sana.. kwanini hauwoni hili!!!

Kazi iendelee..
 
Unataka kusema Waislamu na wapagani wana IQ ndogo? Zamani hawa wanaojiita wakristu waliokuwa na imani kali (ya kipumbavu) kuwa jua ndilo linalozunguka Dunia, ukipinga tu ni kifo, na wengi walipotezwa kwa hilo! Thanks to Galileo Galilei. Hiyo ndio IQ kubwa ya wakristu?
 
Naichukia sana Tanzania kwasabb ya ccm.
Jitahidi kutofautisha.

Tanzania hata siku moja haiwezi ikawa CCM. Ichukie CCM kadri upendavyo mwenyewe, lakini huwezi kamwe ukaichukia Tanzania
 
Back
Top Bottom