Napata shida sana kuipenda nchi yangu kwasababu ya "ujinga" wa wanaccm

Napata shida sana kuipenda nchi yangu kwasababu ya "ujinga" wa wanaccm

Hii miccm imevunja morali ya watanzania kuipenda nchi yao kwasabb ya uongozi mbovu na usio na dira wala mwelekeo.

Kila zama na awamu wamekuwa wakija na ahadi za kijanjajanja na ulaghai za kuboresha huduma za watanzania.

Tangu kuanzishwa kwa vyama vingi wamekuwa wakifanya hujuma kwa ama kuiba kura au kuhujumu ushindi wa wapinzani.

Sera mbovu za kutengeneza na kutoa ajira kwa vijana, kukuza uchumi/furusa za uchumi na kuzuia ufisadi vyote hivi vinaongeza hasira na jazba miongoni mwa watanzania kuichukia nchi yao.

Kwa utajiri ambao nchi yetu imebarikiwa kama ccm ingekuwa ipo kwa ajili ya watanzania tangu uhuru tungekuwa mbali Sana.

Naichukia sana Tanzania kwasabb ya ccm.
tunakushukuru hata kwa kuiandika tu
 
Hii miccm imevunja morali ya watanzania kuipenda nchi yao kwasabb ya uongozi mbovu na usio na dira wala mwelekeo.

Kila zama na awamu wamekuwa wakija na ahadi za kijanjajanja na ulaghai za kuboresha huduma za watanzania.

Tangu kuanzishwa kwa vyama vingi wamekuwa wakifanya hujuma kwa ama kuiba kura au kuhujumu ushindi wa wapinzani.

Sera mbovu za kutengeneza na kutoa ajira kwa vijana, kukuza uchumi/furusa za uchumi na kuzuia ufisadi vyote hivi vinaongeza hasira na jazba miongoni mwa watanzania kuichukia nchi yao.

Kwa utajiri ambao nchi yetu imebarikiwa kama ccm ingekuwa ipo kwa ajili ya watanzania tangu uhuru tungekuwa mbali Sana.

Naichukia sana Tanzania kwasabb ya ccm.

Hunishindi mimi kwenye hiyo chuki dhidi ya hii shithole country.
 
Ni kweli CCM janga,lakini hii nchi hakuna wapinzani kuna wachumia tumbo,wapinzani wa kweli watatoka CCM tu ,lakini nje na CCM wapinzani are not yet born

Hao wapinzani wa kweli hawatokagi tu huko ndani ya CCM? Au wanasubiri watoke CCM siku ikiwa nje ya dola? Nchi inazidi kuharibiwa lakini hao wapinzani wa kweli huko ndani ya CCM hawatoki!
 
Hata uhuru wa kuangalia taarifa ya habari mtu unakosa!! Ukifikiria kukutana na kusifu na kuabudu? Bora tamthilia nipunguze mawazo

Toka Magufuli aingie madarakani ni nadra sana mimi kuangalia taarifa za habari kwenye redio na TV stations za Tanzania. Yaani ni kinyaa .
 
Hao wapinzani wa kweli hawatokagi tu huko ndani ya CCM? Au wanasubiri watoke CCM siku ikiwa nje ya dola? Nchi inazidi kuharibiwa lakini hao wapinzani wa kweli huko ndani ya CCM hawatoki!
Tuchochee fitina kwa wingi,wataparaganyika tu
 
Toka Magufuli aingie madarakani ni nadra sana mimi kuangalia taarifa za habari kwenye redio na TV stations za Tanzania. Yaani ni kinyaa .
Sasa marehemu anakujaje hapo na hayupo kwenye utawala?,utawala ni wa awamu ya nne?,au umekaririshwa?
 
Back
Top Bottom