KweliHaya mambo ni kama kuumwa tu, ukienda hospital unaweza kujiona wewe hauumwi sababu utakutana na watu wanamaugonjwa hadi utashangaa.
Vivo hivyo kwenye kichwa cha mtu, kuna experience mtu akikusimulia au ukijua ashazipitia unaweza kuona wewe maisha yanakupendelea.
ππ ndo team gan hiyo?Not our day FC π
Next season nakupeleka Anfield kuangalia ball π€£π€£π€£Lala. Daraja limekatika
Hufatilii mpira eehee πππ ndo team gan hiyo?
Nyumbu Lia Lia huyo. Team Magwayaππ ndo team gan hiyo?
Nafuatilia sana, sasa naona unawasema blues wemda ww ni arsenalHufatilii mpira eehee π
πππππ halima maguire huyu huyuNyumbu Lia Lia huyo. Tea Magwaya
AsubutuuNyumbu Lia Lia huyo. Team Magwaya
πTuache mnatusimanga tuChelsea imekuwa punching bag kila timu inajichukulia points tu sasa hivi. Ombeni Cytzen apoteze japo game mbili na nyingi mshinde game zote πππ
Maguire mtu mbadiiππππππππ halima maguire huyu huyu
timu mbovu sana aseeππTuache mnatusimanga tu
Team ni Liverpool TU pale England ππππTuache mnatusimanga tu
kichwa kizito sana yule jamaaMaguire mtu mbadiiπππ
Wewe ni Me au Ke?Ni muda mrefu sasa natamani nipate mtu wa kuongea naye,nipate wasaa wa kubadilishana mawazo na nimwambie historia ya maisha yangu kwa ujumla kule nilikotoka,niliyopitia, nilipo na changamoto ninazopitia currently but nakosa nisemezane na nani?
Ila kiukweli natamani iwe hivo maana like naona nazidiwa na I wish niitoe hii sumu ninayoona kama inanizidi ndani yangu.Kuna msukumo unanisukuma kufanya hivyo.
Sijui nifanyeje?
haya amkeniiπ lipuli ya nunez au nyingine??Team ni Liverpool TU pale England πππ
Yule toka aondoke Leicester dishi limeyumba kabisa lake halijui pale OT πππMaguire mtu mbadiiπππ
YNWAhaya amkeniiπ lipuli ya nunez au nyingine??
we arsenalAsubutuu
Nyumbu huyoo π€£π€£π€£we arsenal
we arsenal
Yule toka aondoke Leicester dishi limeyumba kabisa lake halijui pale OT πππ
Mmekosa cha kushauri eehee, Mnaamua kuharibu uzi wa watu ππhaya amkeniiπ lipuli ya nunez au nyingine??