Napata wapi mtu wa kuongea naye?

tamuuuuu chukua namba hii ya Phycologist anaitwa Dr Nkwabi Sabasaba 0717685138 mpigie mweleze yote yanayokusibu atakupa muongozo. Pole sana rafiki yetu Changamoto ndio msingi wa hii Dunia na kinachotukwamisha namna ya kuzikabiri
 

Pole sana, kuna wakati kunahitajika faraja tu hakuna cha ziada.
Karibu.
 
Nimeshauri huko juu kinachowaharibu wengi ni kuangalia maisha ya wengine mitandaoni hata huyoo Diamond ana stress kibao sema tu ndio hivyo mtandaoni anaonekana ana guud lyf kumbe sio kweli
 

[emoji7][emoji7][emoji7]
 
mlale Aaliyyah Manyanza

Nakuombea kheri kwa unayoyapitia. Sijui umesinzia sahivi.. kesho utaamka poa mwaya. tamuuuuu
Yakikuzidia ongea na kioo
Ulikua unakula mkono leo
Una bahati sana
Umekutana na simba aliyejeruhiwa
Mimi namuombea njaa castle anapoteza mechezo 3 mimi nashinda 3 naingia top 4
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…