Hivi Arsenal au Cytzen ameshawahi kubeba UEFA na Club World Cup trophy??π€£π€£π€£Amna kitu π
unaharibu uzi wa watuHivi Arsenal au Cytzen ameshawahi kubeba UEFA na Club World Cup trophy??π€£π€£π€£
ππUkorofi tuHivi Arsenal au Cytzen ameshawahi kubeba UEFA na Club World Cup trophy??π€£π€£π€£
Nimempa solution yote rafiki yetu kazi kwake kumpigia simu mtaalamu tu.ππUkorofi tu
Naunga mkonoTo yeye tumekuchagua msikilize mdau..
Kwani ni mwanaume huyu??π³π³π³Jikaze mwanagu.... hata hivyo wanaume tunakufa mapema π relax....
Ni muda mrefu sasa natamani nipate mtu wa kuongea naye,nipate wasaa wa kubadilishana mawazo na nimwambie historia ya maisha yangu kwa ujumla kule nilikotoka,niliyopitia, nilipo na changamoto ninazopitia currently but nakosa nisemezane na nani?
Ila kiukweli natamani iwe hivo maana like naona nazidiwa na I wish niitoe hii sumu ninayoona kama inanizidi ndani yangu.Kuna msukumo unanisukuma kufanya hivyo.
Sijui nifanyeje?
Nimeshauri huko juu kinachowaharibu wengi ni kuangalia maisha ya wengine mitandaoni hata huyoo Diamond ana stress kibao sema tu ndio hivyo mtandaoni anaonekana ana guud lyf kumbe sio kweliwe jamaa uko na shida kisaikologia kama unangalia movie za kikorea acha naona zina haribu watu wengi sana.
take your time kujifunza new skills kusoma vitu tofauti. mfano mm na soma cosmology just for funny,jaribu na ww utafute kitu unacho penda ufanye,
Acha kutumia instagram inaonekana uko rahis kuafectiwa na maisha au mitizamo ya watu wengine.
Kunitajia timu yangu Sijapenda
Namshukuru Mungu no matter how hard the situation is, huwa nahakikisha nina mtu wa kumueleza hata kama dunia yangu inataka kugawanyika vipande vidogo vidogo na akanielewa bila kunihukumu, tena wengine tulikutana tu humu humu JF..!!
Ninachotaka kukuambia ni kuwa humu ndani kuna raia wa kila namna ila bado wapo wale watu ambao ni bora kabisa hutojuta kuwafahamu, tafuta kamtu kako kamoja ambako katakuwa nawe, iwe jua iwe mvua..!!
Pole sana sana kwa unayoyapitia, Mungu atakuvusha salama, msihi tu kuwa kamwe asikuache uaibike, haijalishi itakuwa mbaya kiasi gani ila hatokuacha, na kumbuka kamwe Mungu hawezi kukupa jaribu kubwa kuliko ustahimilivu wako, 'DHAHABU huwezi ng'ara mpaka kwanza upite kwenye moto'..!! USIOGOPE..!
Shikamoo Darling[emoji7][emoji7][emoji7]
Asante dearNawe pia dear
waache maramojaNimeshauri huko juu kinachowaharibu wengi ni kuangalia maisha ya wengine mitandaoni hata huyoo Diamond ana stress kibao sema tu ndio hivyo mtandaoni anaonekana ana guud lyf kumbe sio kweli
Ni ujinga na ulofa wao ndivyo vinawaua mapemaJikaze mwanagu.... hata hivyo wanaume tunakufa mapema [emoji23] relax....
πππdahAsante dear