Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
Wakuu sote tunajua kaka na dada hairuhusiwi.
Mtoto wa anko kuna jamii haziruhusu ila wengine wanaruhusu.
hivi kuna muongozo wowote mahali wa ndugu gani unaweza kuoana naye na yupi haurusiwi?
Je ni utashi tu au haya yameandikwa mahali?
Mtoto wa anko kuna jamii haziruhusu ila wengine wanaruhusu.
hivi kuna muongozo wowote mahali wa ndugu gani unaweza kuoana naye na yupi haurusiwi?
Je ni utashi tu au haya yameandikwa mahali?