Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
True kabisa, baada ya kuachana na Manecky, ile ladha tamu ya mziki wake imeshuka kwa kiwango cha juu,Hio shughuli ya producer manecky, diamond nje ya manecky hamna lolote la maana alilofanya zaidi ya kutoa nyimbo mbovu kimapigo na kimashairi.
Refer to: Ukimwona, Mawazo, Mbagala, Nitarejea, Nenda Kamwambie n.k
Naomba aufanyie kazi ushauri wa wadau maana mimi kama mimi ameshanikosa kwa sasa nabaki kusikiliza zake za zamani tu.