Napataje mkopo kwa dhamana ya kiwanja

Mkuu kiwanja umesema ni 20x20..ni upande wa 20 ipi unaoface kaskazini? Ikiwa ni 20 ya pili utapata mkopo ila ikiwa ni 20 ya kwanza nina mashaka!
 
Mkuu kiwanja umesema ni 20x20..ni upande wa 20 ipi unaoface kaskazini? Ikiwa ni 20 ya pili utapata mkopo ila ikiwa ni 20 ya kwanza nina mashaka!
Sijakuelewa mkuu
 
mkuu una rudisha baada ya muda gani?

Na una rudisha ngapi?, ushahidi wa kuonyesha kiwanja ni chako?
 
Kuna mlevi mmoja anasema dhamana ya kiwanja mara nyingi mkopaji hukitelekeza ila ukuweka dhamana ambayo inashawishi utapata mkopo kutoka hata kwenye account binafsi ya meneja wa bank husika. Imagine mkeo ni pisi kali,umtume kwenda kuulizia taratibu za kibenki.. nakuapia huo mkeka hautachanika.
 
Kuwa serious kidogo unaleta habari za boss wa feruz mzee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…