Nape alichoongea ni ukweli mchungu; atabaki kuwa shujaa daima

tpaul

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2008
Posts
24,225
Reaction score
22,632
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Mh Nape Mosses Nnauye kasema ukweli usiopingika halafu huyu mama anakuja kumfuta kazi kinafiki wakati ukweli hata yeye mwenyewe Bi Tozo anaujua.

Pia soma > Uteuzi na Utenguzi: Nape, Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Na kibaya zaidi, Bi Tozo anamuondoa Nape na Makamba halafu anawajaza wazanzibar kwenye teuzi. Kama urais umemshinda bora aachie ngazi arudi kwao Zanzibar badala ya kuwaondoa watanganyika kwenye nafasi nyeti na kuwajaza wazanzibar.

Uliona wapi, kwa mfano, mzanzibar anateuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi au Waziri wa Mambo ya nje? Mambo ndani ya Tanganyika mzanzibar anayajulia wapi? Au mzanzibar anaiwakilishaje Tanganyika nje ya nchi? Mambo ya Tanganyika anayajua? Jamani acheni masikhara!

Haya mambo ya kinafiki anayofanya Rais Samia imefika wakati sasa Gen Z wa Tanganyika wachukue hatua kudai nchi yao kutoka mkoloni huyu wa kizanzibar. Mwanzoni alikuwa anateua waislamu wenzake kushika nyadhifa nyeti serikalini. Sasa ameona hilo halitoshi, ameanza kutujazia wazanzibar wenzake kwenye teuzi na nafasi nyeti za kuiwakilisha Tanganyika wakati Tanganyika hawaifahamu vizuri. Huu ujinga utakoma lini?

MaCCM na serikali yao ni majitu manafiki sana. Nape kusema ukweli inakuwa nongwa wakati hata mama Samia mwenyewe kuna siku alisema mambo hayo hayo aliyoyasema Nape. Alichokosea Nape ni kutamka hadharani. Hawakutaka aseme hadharani kuanika mbinu wanayotumia kushinda uchaguzi.

Mimi namuona Nape kama shujaa kwa sababu amethubutu kusema ukweli ambao sio kila mwanaCCM anayependa ujulikane. Nape daima atabakia kuwa shujaa kwa namna alivyowawezesha watanganyika kuufahamu uweli ambao CCM wamekuwa wakiutumia kushinda miaka nenda miaka rudi.

Rais Samia anajifanya haelewei magoli ya mkono wakati mwaka 2020 alishirikiana na Magufuli kuiba uchaguzi uliomuweka madarakani hadi leo hii anakula bata ikulu kwa sababu ya uchaguzi wa wizi. Unafiq ni kitu kibaya sana.

Hongera Nape kwa kusema ukweli. Ushujaa wako umekugharimu kama ambavyo mashujaa wengi wa Afrika akina Lumumba, Steve Biko, Tom Mboya, Robert Ouko, Nelson Mandela na wengine wengi walivyopata gaharama kwa kuetetea maslahi ya waafrika. Nawe umeng'olewa madarakani kwa kutetea demokrasia ya nchi yetu.

Mungu mbarike Nape, Mungu ibariki Tanganyika.
 
Salim Ahmed Salim ni Mzanzibari na amewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Tumeshakuwa na mawaziri wa Mambo ya Ndani Kibao Wazanzibari wakiongozwa na Ali Hassan Mwinyi.
Hatuwezi kurudia makosa kwa kurudia makosa. Yale yalikuwa makosa ya kiufundi aliyofanya Mwl Nyerere na aliomba radhi kwa hilo. Kwanini tuendelee kurudia kufanya makosa wakati ukweli tunaujua?
 
Chawa kama chawa ... Boss wako ndio kaenda na Maji ... Pole kaweke nguvu Mtama
 
Aguswe tako Asha, Rashid uchukie hyo Gen Z ya Tanganyika labda ww na mkeo ndy mtoke mkampiganie mwanaume aliyo tenguliwa kwenye ulaji lakn sy ss weny akli zetu tuliwambia tunaitaj katba mpya mtak sasa tuwasaidienye nyie wagalatia?
 
Chawa wa Nape mmetumwa au ni Nape mwenyewe unazidi kujiharibia. ungetulia.CCM na Nchi kwanza Nape baadaye
 
Acha ujinga.
 
Huo ni mkakati wa kisiasa hapo hao wanakuja kuongeza nguvu kwenye chama....nadhani kazi ya Mwenezi inakwenda kulainika zaidi.
Hao wote ni viongozi muhimu sana katika ksukuma chama wakati huu hivyo ni vigumu kuwa Wizarani by the moment...!
Ni mtazamo wangu tu.
 
Haituhusuuuu sisi tupo busy na

Na sisi watanzania wazalendo wa kwelii tulihuzunishwa sanaa na Nape ,Makamba kurudishwaa kwenye serikalii

Hawafaiiii hawana jipya hao wanatembela tuu nyota za baba zaoo


Yaani wameshindwa kuonyesha maturity kama ya Ridhiwani

Wakefield mbali hayatuhusuu

However nahisi ni mkakati wa kisiasaa huuu.

Tusubiririi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…