Nape alichoongea ni ukweli mchungu; atabaki kuwa shujaa daima

Nape alichoongea ni ukweli mchungu; atabaki kuwa shujaa daima

Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Mh Nape Mosses Nnauye kasema ukweli usiopingika halafu huyu mama anakuja kumfuta kazi kinafiki wakati ukweli hata yeye mwenyewe Bi Tozo anaujua.

Pia soma > Uteuzi na Utenguzi: Nape, Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Na kibaya zaidi, Bi Tozo anamuondoa Nape na Makamba halafu anawajaza wazanzibar kwenye teuzi. Kama urais umemshinda bora aachie ngazi arudi kwao Zanzibar badala ya kuwaondoa watanganyika kwenye nafasi nyeti na kuwajaza wazanzibar.

Uliona wapi, kwa mfano, mzanzibar anateuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi au Waziri wa Mambo ya nje? Mambo ndani ya Tanganyika mzanzibar anayajulia wapi? Au mzanzibar anaiwakilishaje Tanganyika nje ya nchi? Mambo ya Tanganyika anayajua? Jamani acheni masikhara!

Haya mambo ya kinafiki anayofanya Rais Samia imefika wakati sasa Gen Z wa Tanganyika wachukue hatua kudai nchi yao kutoka mkoloni huyu wa kizanzibar. Mwanzoni alikuwa anateua waislamu wenzake kushika nyadhifa nyeti serikalini. Sasa ameona hilo halitoshi, ameanza kutujazia wazanzibar wenzake kwenye teuzi na nafasi nyeti za kuiwakilisha Tanganyika wakati Tanganyika hawaifahamu vizuri. Huu ujinga utakoma lini?

MaCCM na serikali yao ni majitu manafiki sana. Nape kusema ukweli inakuwa nongwa wakati hata mama Samia mwenyewe kuna siku alisema mambo hayo hayo aliyoyasema Nape. Alichokosea Nape ni kutamka hadharani. Hawakutaka aseme hadharani kuanika mbinu wanayotumia kushinda uchaguzi.

Mimi namuona Nape kama shujaa kwa sababu amethubutu kusema ukweli ambao sio kila mwanaCCM anayependa ujulikane. Nape daima atabakia kuwa shujaa kwa namna alivyowawezesha watanganyika kuufahamu uweli ambao CCM wamekuwa wakiutumia kushinda miaka nenda miaka rudi.

Rais Samia anajifanya haelewei magoli yamkono wakati mwaka 2020 alishirikiana na Magufuli hadharani kuiba uchaguzi uliomuweka madarakani hadi leo hii anakula bata ikulu kwa sababu ya uchaguzi wa wizi. Unafiq ni kitu kibaya sana.

Hongera Nape kwa kusema ukweli. Ushujaa wako umekugharimu kama ambavyo mashujaa wengi wa Afrika akina Lumumba, Steve Biko, Tom Mboya, Robert Ouko, Nelson Mandela na wengine wengi walivyopata gaharama kwa kuetetea maslahi ya waafrika. Nawe umeng'olewa madarakani kwa kutetea demokrasia ya nchi yetu.

Mungu mbarike Nape, Mungu ibariki Tanganyika.
Tulia Nape

Heri wawepo wapemba siyo nyie mbugila
 
NAPE'Zero brain 💯✅,Acha makasiriko na kaa Kwa kutulia.Mama.amenifurahisha Sana amalize na"" chemba la Taka "",hapo ata kua na uhakika na kura yangu.
 
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Mh Nape Mosses Nnauye kasema ukweli usiopingika halafu huyu mama anakuja kumfuta kazi kinafiki wakati ukweli hata yeye mwenyewe Bi Tozo anaujua.

Pia soma > Uteuzi na Utenguzi: Nape, Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Na kibaya zaidi, Bi Tozo anamuondoa Nape na Makamba halafu anawajaza wazanzibar kwenye teuzi. Kama urais umemshinda bora aachie ngazi arudi kwao Zanzibar badala ya kuwaondoa watanganyika kwenye nafasi nyeti na kuwajaza wazanzibar.

Uliona wapi, kwa mfano, mzanzibar anateuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi au Waziri wa Mambo ya nje? Mambo ndani ya Tanganyika mzanzibar anayajulia wapi? Au mzanzibar anaiwakilishaje Tanganyika nje ya nchi? Mambo ya Tanganyika anayajua? Jamani acheni masikhara!

Haya mambo ya kinafiki anayofanya Rais Samia imefika wakati sasa Gen Z wa Tanganyika wachukue hatua kudai nchi yao kutoka mkoloni huyu wa kizanzibar. Mwanzoni alikuwa anateua waislamu wenzake kushika nyadhifa nyeti serikalini. Sasa ameona hilo halitoshi, ameanza kutujazia wazanzibar wenzake kwenye teuzi na nafasi nyeti za kuiwakilisha Tanganyika wakati Tanganyika hawaifahamu vizuri. Huu ujinga utakoma lini?

MaCCM na serikali yao ni majitu manafiki sana. Nape kusema ukweli inakuwa nongwa wakati hata mama Samia mwenyewe kuna siku alisema mambo hayo hayo aliyoyasema Nape. Alichokosea Nape ni kutamka hadharani. Hawakutaka aseme hadharani kuanika mbinu wanayotumia kushinda uchaguzi.

Mimi namuona Nape kama shujaa kwa sababu amethubutu kusema ukweli ambao sio kila mwanaCCM anayependa ujulikane. Nape daima atabakia kuwa shujaa kwa namna alivyowawezesha watanganyika kuufahamu uweli ambao CCM wamekuwa wakiutumia kushinda miaka nenda miaka rudi.

Rais Samia anajifanya haelewei magoli yamkono wakati mwaka 2020 alishirikiana na Magufuli hadharani kuiba uchaguzi uliomuweka madarakani hadi leo hii anakula bata ikulu kwa sababu ya uchaguzi wa wizi. Unafiq ni kitu kibaya sana.

Hongera Nape kwa kusema ukweli. Ushujaa wako umekugharimu kama ambavyo mashujaa wengi wa Afrika akina Lumumba, Steve Biko, Tom Mboya, Robert Ouko, Nelson Mandela na wengine wengi walivyopata gaharama kwa kuetetea maslahi ya waafrika. Nawe umeng'olewa madarakani kwa kutetea demokrasia ya nchi yetu.

Mungu mbarike Nape, Mungu ibariki Tanganyika.
Kwako na kwao ni shujaa wa goli la mkono,ila kwa wengine inaweza kuwa sio.
 
Nashauri uteuzi ufuate utalaam, weledi, ufahamu wa eneo la uteuzi na uwe mwananchi ambaye amekubali kutumikia nchi yake pasipo shaka na uteuzi usifuate DINI, eneo, ukabila, urafiki, uchawa, jinsia n.k.
Thubutu
 
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Mh Nape Mosses Nnauye kasema ukweli usiopingika halafu huyu mama anakuja kumfuta kazi kinafiki wakati ukweli hata yeye mwenyewe Bi Tozo anaujua.

Pia soma > Uteuzi na Utenguzi: Nape, Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Na kibaya zaidi, Bi Tozo anamuondoa Nape na Makamba halafu anawajaza wazanzibar kwenye teuzi. Kama urais umemshinda bora aachie ngazi arudi kwao Zanzibar badala ya kuwaondoa watanganyika kwenye nafasi nyeti na kuwajaza wazanzibar.

Uliona wapi, kwa mfano, mzanzibar anateuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi au Waziri wa Mambo ya nje? Mambo ndani ya Tanganyika mzanzibar anayajulia wapi? Au mzanzibar anaiwakilishaje Tanganyika nje ya nchi? Mambo ya Tanganyika anayajua? Jamani acheni masikhara!

Haya mambo ya kinafiki anayofanya Rais Samia imefika wakati sasa Gen Z wa Tanganyika wachukue hatua kudai nchi yao kutoka mkoloni huyu wa kizanzibar. Mwanzoni alikuwa anateua waislamu wenzake kushika nyadhifa nyeti serikalini. Sasa ameona hilo halitoshi, ameanza kutujazia wazanzibar wenzake kwenye teuzi na nafasi nyeti za kuiwakilisha Tanganyika wakati Tanganyika hawaifahamu vizuri. Huu ujinga utakoma lini?

MaCCM na serikali yao ni majitu manafiki sana. Nape kusema ukweli inakuwa nongwa wakati hata mama Samia mwenyewe kuna siku alisema mambo hayo hayo aliyoyasema Nape. Alichokosea Nape ni kutamka hadharani. Hawakutaka aseme hadharani kuanika mbinu wanayotumia kushinda uchaguzi.

Mimi namuona Nape kama shujaa kwa sababu amethubutu kusema ukweli ambao sio kila mwanaCCM anayependa ujulikane. Nape daima atabakia kuwa shujaa kwa namna alivyowawezesha watanganyika kuufahamu uweli ambao CCM wamekuwa wakiutumia kushinda miaka nenda miaka rudi.

Rais Samia anajifanya haelewei magoli yamkono wakati mwaka 2020 alishirikiana na Magufuli hadharani kuiba uchaguzi uliomuweka madarakani hadi leo hii anakula bata ikulu kwa sababu ya uchaguzi wa wizi. Unafiq ni kitu kibaya sana.

Hongera Nape kwa kusema ukweli. Ushujaa wako umekugharimu kama ambavyo mashujaa wengi wa Afrika akina Lumumba, Steve Biko, Tom Mboya, Robert Ouko, Nelson Mandela na wengine wengi walivyopata gaharama kwa kuetetea maslahi ya waafrika. Nawe umeng'olewa madarakani kwa kutetea demokrasia ya nchi yetu.

Mungu mbarike Nape, Mungu ibariki Tanganyika.

Nape ni mapepe hakutakiwa hata kuwa waziri. Tatizo la vijana hawa wajinga jinga kupewa uongozi pamoja na makamba, Mwigulu, Ridhiwani wote wajinga jinga. Kuna vijana wengine bora kuliko hawa
 
Salim Ahmed Salim ni Mzanzibari na amewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Tumeshakuwa na mawaziri wa Mambo ya Ndani Kibao Wazanzibari wakiongozwa na Ali Hassan Mwinyi.
Katoba ya Zanzibar ya wakati huo unaijua wewe?
 
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Mh Nape Mosses Nnauye kasema ukweli usiopingika halafu huyu mama anakuja kumfuta kazi kinafiki wakati ukweli hata yeye mwenyewe Bi Tozo anaujua.

Pia soma > Uteuzi na Utenguzi: Nape, Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Na kibaya zaidi, Bi Tozo anamuondoa Nape na Makamba halafu anawajaza wazanzibar kwenye teuzi. Kama urais umemshinda bora aachie ngazi arudi kwao Zanzibar badala ya kuwaondoa watanganyika kwenye nafasi nyeti na kuwajaza wazanzibar.

Uliona wapi, kwa mfano, mzanzibar anateuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi au Waziri wa Mambo ya nje? Mambo ndani ya Tanganyika mzanzibar anayajulia wapi? Au mzanzibar anaiwakilishaje Tanganyika nje ya nchi? Mambo ya Tanganyika anayajua? Jamani acheni masikhara!

Haya mambo ya kinafiki anayofanya Rais Samia imefika wakati sasa Gen Z wa Tanganyika wachukue hatua kudai nchi yao kutoka mkoloni huyu wa kizanzibar. Mwanzoni alikuwa anateua waislamu wenzake kushika nyadhifa nyeti serikalini. Sasa ameona hilo halitoshi, ameanza kutujazia wazanzibar wenzake kwenye teuzi na nafasi nyeti za kuiwakilisha Tanganyika wakati Tanganyika hawaifahamu vizuri. Huu ujinga utakoma lini?

MaCCM na serikali yao ni majitu manafiki sana. Nape kusema ukweli inakuwa nongwa wakati hata mama Samia mwenyewe kuna siku alisema mambo hayo hayo aliyoyasema Nape. Alichokosea Nape ni kutamka hadharani. Hawakutaka aseme hadharani kuanika mbinu wanayotumia kushinda uchaguzi.

Mimi namuona Nape kama shujaa kwa sababu amethubutu kusema ukweli ambao sio kila mwanaCCM anayependa ujulikane. Nape daima atabakia kuwa shujaa kwa namna alivyowawezesha watanganyika kuufahamu uweli ambao CCM wamekuwa wakiutumia kushinda miaka nenda miaka rudi.

Rais Samia anajifanya haelewei magoli yamkono wakati mwaka 2020 alishirikiana na Magufuli hadharani kuiba uchaguzi uliomuweka madarakani hadi leo hii anakula bata ikulu kwa sababu ya uchaguzi wa wizi. Unafiq ni kitu kibaya sana.

Hongera Nape kwa kusema ukweli. Ushujaa wako umekugharimu kama ambavyo mashujaa wengi wa Afrika akina Lumumba, Steve Biko, Tom Mboya, Robert Ouko, Nelson Mandela na wengine wengi walivyopata gaharama kwa kuetetea maslahi ya waafrika. Nawe umeng'olewa madarakani kwa kutetea demokrasia ya nchi yetu.

Mungu mbarike Nape, Mungu ibariki Tanganyika.
Nape kutolewa uwaziri sababu ya kauli yake ya kweli ya"mbinu za ushindi" si haki, maana hata aliyemtoa uwaziri naye basi ilitakiwa awe amefutwa kazi ( na sisi tukiomuajiri) kwa ile kauli yake kwamba "hata ukipiga kura kwingine, CCM ndiyo itakayounda serikali", maana kauli zote zinafanana.

Nimeamini kuwa Tanzania kuongea ukweli ni dhambi na kosa kubwa sana.

Nape hana uwezo wa kiuongozi kama ambavyo wengi wa mawaziri wasivyokuwa na uwezo, lakini hili la kuongea ukweli lazima apongezwe sana na sisi wapenda ukweli.
 
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Mh Nape Mosses Nnauye kasema ukweli usiopingika halafu huyu mama anakuja kumfuta kazi kinafiki wakati ukweli hata yeye mwenyewe Bi Tozo anaujua.

Pia soma > Uteuzi na Utenguzi: Nape, Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Na kibaya zaidi, Bi Tozo anamuondoa Nape na Makamba halafu anawajaza wazanzibar kwenye teuzi. Kama urais umemshinda bora aachie ngazi arudi kwao Zanzibar badala ya kuwaondoa watanganyika kwenye nafasi nyeti na kuwajaza wazanzibar.

Uliona wapi, kwa mfano, mzanzibar anateuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi au Waziri wa Mambo ya nje? Mambo ndani ya Tanganyika mzanzibar anayajulia wapi? Au mzanzibar anaiwakilishaje Tanganyika nje ya nchi? Mambo ya Tanganyika anayajua? Jamani acheni masikhara!

Haya mambo ya kinafiki anayofanya Rais Samia imefika wakati sasa Gen Z wa Tanganyika wachukue hatua kudai nchi yao kutoka mkoloni huyu wa kizanzibar. Mwanzoni alikuwa anateua waislamu wenzake kushika nyadhifa nyeti serikalini. Sasa ameona hilo halitoshi, ameanza kutujazia wazanzibar wenzake kwenye teuzi na nafasi nyeti za kuiwakilisha Tanganyika wakati Tanganyika hawaifahamu vizuri. Huu ujinga utakoma lini?

MaCCM na serikali yao ni majitu manafiki sana. Nape kusema ukweli inakuwa nongwa wakati hata mama Samia mwenyewe kuna siku alisema mambo hayo hayo aliyoyasema Nape. Alichokosea Nape ni kutamka hadharani. Hawakutaka aseme hadharani kuanika mbinu wanayotumia kushinda uchaguzi.

Mimi namuona Nape kama shujaa kwa sababu amethubutu kusema ukweli ambao sio kila mwanaCCM anayependa ujulikane. Nape daima atabakia kuwa shujaa kwa namna alivyowawezesha watanganyika kuufahamu uweli ambao CCM wamekuwa wakiutumia kushinda miaka nenda miaka rudi.

Rais Samia anajifanya haelewei magoli yamkono wakati mwaka 2020 alishirikiana na Magufuli hadharani kuiba uchaguzi uliomuweka madarakani hadi leo hii anakula bata ikulu kwa sababu ya uchaguzi wa wizi. Unafiq ni kitu kibaya sana.

Hongera Nape kwa kusema ukweli. Ushujaa wako umekugharimu kama ambavyo mashujaa wengi wa Afrika akina Lumumba, Steve Biko, Tom Mboya, Robert Ouko, Nelson Mandela na wengine wengi walivyopata gaharama kwa kuetetea maslahi ya waafrika. Nawe umeng'olewa madarakani kwa kutetea demokrasia ya nchi yetu.

Mungu mbarike Nape, Mungu ibariki Tanganyika.
Unapozungumzia Tanganyika kumbuka Rwanda na Burundi zilikuwa sehemu ya Tanganyika,lakini pia 50km kutoka Pwani ya Bahari ya Hindi ilikuwa chini ya utawala wa Sultan.
Je tukubali Tanganyika irudi ili Rwanda na Burundi ziwe sehemu yake..na wakati huo huo hizo 50Km kutoka Pwani ya Bahari ya Hindi ziwe ni sehemu ya Zanzibar...?
 
Hatuwezi kurudia makosa kwa kurudia makosa. Yale yalikuwa makosa ya kiufundi aliyofanya Mwl Nyerere na aliomba radhi kwa hilo. Kwanini tuendelee kurudia kufanya makosa wakati ukweli tunaujua?
Aliomba Radhi kwa kuchagua Wazanzibari kushika Wadhifa? Acha masihara. Tatizo letu sisi ni wajanja mno mitandaoni, ni wapi Hayati JPM na RAIS Samia Waliiba Kura?
 
Uwe na adabu kwa kiongozi wetu acha ujinga wako.
 
Aliomba Radhi kwa kuchagua Wazanzibari kushika Wadhifa? Acha masihara. Tatizo letu sisi ni wajanja mno mitandaoni, ni wapi Hayati JPM na RAIS Samia Waliiba Kura?
Magufuli na Samia hawakuiba kura bali waliba uchaguz wote.. Wewe kebge ina nwaka 2020 ulikuwa umejufa? Majitu kama wewe ndio mnasavabisha nchi hii ichekewe kupata maendeleo.
 
Kama posti zenyewe ndo hizi...ndomaana wakenya wanatudharau....watu tumefungwa na uchawa wa vyama hatupo real kabisa...motherf*
 
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Mh Nape Mosses Nnauye kasema ukweli usiopingika halafu huyu mama anakuja kumfuta kazi kinafiki wakati ukweli hata yeye mwenyewe Bi Tozo anaujua.

Pia soma > Uteuzi na Utenguzi: Nape, Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Na kibaya zaidi, Bi Tozo anamuondoa Nape na Makamba halafu anawajaza wazanzibar kwenye teuzi. Kama urais umemshinda bora aachie ngazi arudi kwao Zanzibar badala ya kuwaondoa watanganyika kwenye nafasi nyeti na kuwajaza wazanzibar.

Uliona wapi, kwa mfano, mzanzibar anateuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi au Waziri wa Mambo ya nje? Mambo ndani ya Tanganyika mzanzibar anayajulia wapi? Au mzanzibar anaiwakilishaje Tanganyika nje ya nchi? Mambo ya Tanganyika anayajua? Jamani acheni masikhara!

Haya mambo ya kinafiki anayofanya Rais Samia imefika wakati sasa Gen Z wa Tanganyika wachukue hatua kudai nchi yao kutoka mkoloni huyu wa kizanzibar. Mwanzoni alikuwa anateua waislamu wenzake kushika nyadhifa nyeti serikalini. Sasa ameona hilo halitoshi, ameanza kutujazia wazanzibar wenzake kwenye teuzi na nafasi nyeti za kuiwakilisha Tanganyika wakati Tanganyika hawaifahamu vizuri. Huu ujinga utakoma lini?

MaCCM na serikali yao ni majitu manafiki sana. Nape kusema ukweli inakuwa nongwa wakati hata mama Samia mwenyewe kuna siku alisema mambo hayo hayo aliyoyasema Nape. Alichokosea Nape ni kutamka hadharani. Hawakutaka aseme hadharani kuanika mbinu wanayotumia kushinda uchaguzi.

Mimi namuona Nape kama shujaa kwa sababu amethubutu kusema ukweli ambao sio kila mwanaCCM anayependa ujulikane. Nape daima atabakia kuwa shujaa kwa namna alivyowawezesha watanganyika kuufahamu uweli ambao CCM wamekuwa wakiutumia kushinda miaka nenda miaka rudi.

Rais Samia anajifanya haelewei magoli yamkono wakati mwaka 2020 alishirikiana na Magufuli hadharani kuiba uchaguzi uliomuweka madarakani hadi leo hii anakula bata ikulu kwa sababu ya uchaguzi wa wizi. Unafiq ni kitu kibaya sana.

Hongera Nape kwa kusema ukweli. Ushujaa wako umekugharimu kama ambavyo mashujaa wengi wa Afrika akina Lumumba, Steve Biko, Tom Mboya, Robert Ouko, Nelson Mandela na wengine wengi walivyopata gaharama kwa kuetetea maslahi ya waafrika. Nawe umeng'olewa madarakani kwa kutetea demokrasia ya nchi yetu.

Mungu mbarike Nape, Mungu ibariki Tanganyika.
Shujaa wa nchi hii ni Mwalimu Julius Kambarage Nyerere period.
 
Jamani mtu akichukua hatua shida, asipochukua hatua shida, kweli hatujui tunataka nini?
Ifike hatua tuwe wazalendo siyo ushabiki kwa kila kitu.
 
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Mh Nape Mosses Nnauye kasema ukweli usiopingika halafu huyu mama anakuja kumfuta kazi kinafiki wakati ukweli hata yeye mwenyewe Bi Tozo anaujua.

Pia soma > Uteuzi na Utenguzi: Nape, Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Na kibaya zaidi, Bi Tozo anamuondoa Nape na Makamba halafu anawajaza wazanzibar kwenye teuzi. Kama urais umemshinda bora aachie ngazi arudi kwao Zanzibar badala ya kuwaondoa watanganyika kwenye nafasi nyeti na kuwajaza wazanzibar.

Uliona wapi, kwa mfano, mzanzibar anateuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi au Waziri wa Mambo ya nje? Mambo ndani ya Tanganyika mzanzibar anayajulia wapi? Au mzanzibar anaiwakilishaje Tanganyika nje ya nchi? Mambo ya Tanganyika anayajua? Jamani acheni masikhara!

Haya mambo ya kinafiki anayofanya Rais Samia imefika wakati sasa Gen Z wa Tanganyika wachukue hatua kudai nchi yao kutoka mkoloni huyu wa kizanzibar. Mwanzoni alikuwa anateua waislamu wenzake kushika nyadhifa nyeti serikalini. Sasa ameona hilo halitoshi, ameanza kutujazia wazanzibar wenzake kwenye teuzi na nafasi nyeti za kuiwakilisha Tanganyika wakati Tanganyika hawaifahamu vizuri. Huu ujinga utakoma lini?

MaCCM na serikali yao ni majitu manafiki sana. Nape kusema ukweli inakuwa nongwa wakati hata mama Samia mwenyewe kuna siku alisema mambo hayo hayo aliyoyasema Nape. Alichokosea Nape ni kutamka hadharani. Hawakutaka aseme hadharani kuanika mbinu wanayotumia kushinda uchaguzi.

Mimi namuona Nape kama shujaa kwa sababu amethubutu kusema ukweli ambao sio kila mwanaCCM anayependa ujulikane. Nape daima atabakia kuwa shujaa kwa namna alivyowawezesha watanganyika kuufahamu uweli ambao CCM wamekuwa wakiutumia kushinda miaka nenda miaka rudi.

Rais Samia anajifanya haelewei magoli yamkono wakati mwaka 2020 alishirikiana na Magufuli hadharani kuiba uchaguzi uliomuweka madarakani hadi leo hii anakula bata ikulu kwa sababu ya uchaguzi wa wizi. Unafiq ni kitu kibaya sana.

Hongera Nape kwa kusema ukweli. Ushujaa wako umekugharimu kama ambavyo mashujaa wengi wa Afrika akina Lumumba, Steve Biko, Tom Mboya, Robert Ouko, Nelson Mandela na wengine wengi walivyopata gaharama kwa kuetetea maslahi ya waafrika. Nawe umeng'olewa madarakani kwa kutetea demokrasia ya nchi yetu.

Mungu mbarike Nape, Mungu ibariki Tanganyika.
Paragraph ya tatu inakuonyesha wewe ni mtu usiye na busara ya ubongo wala mikono! Pia wala hujui mambo ya Muungano. Tumia hii smart phone yako uliyoandika huu uhovyo hovyo kwa kumjua mtu anaitwa Balozi Ahmed Hassan Diria, Dk. Salimu Ahmed Salimu, Ali Ameir Mohmed na Omar Ramadhan Mapuri.🙏🙏🙏
 
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Mh Nape Mosses Nnauye kasema ukweli usiopingika halafu huyu mama anakuja kumfuta kazi kinafiki wakati ukweli hata yeye mwenyewe Bi Tozo anaujua.

Pia soma > Uteuzi na Utenguzi: Nape, Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Na kibaya zaidi, Bi Tozo anamuondoa Nape na Makamba halafu anawajaza wazanzibar kwenye teuzi. Kama urais umemshinda bora aachie ngazi arudi kwao Zanzibar badala ya kuwaondoa watanganyika kwenye nafasi nyeti na kuwajaza wazanzibar.

Uliona wapi, kwa mfano, mzanzibar anateuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi au Waziri wa Mambo ya nje? Mambo ndani ya Tanganyika mzanzibar anayajulia wapi? Au mzanzibar anaiwakilishaje Tanganyika nje ya nchi? Mambo ya Tanganyika anayajua? Jamani acheni masikhara!

Haya mambo ya kinafiki anayofanya Rais Samia imefika wakati sasa Gen Z wa Tanganyika wachukue hatua kudai nchi yao kutoka mkoloni huyu wa kizanzibar. Mwanzoni alikuwa anateua waislamu wenzake kushika nyadhifa nyeti serikalini. Sasa ameona hilo halitoshi, ameanza kutujazia wazanzibar wenzake kwenye teuzi na nafasi nyeti za kuiwakilisha Tanganyika wakati Tanganyika hawaifahamu vizuri. Huu ujinga utakoma lini?

MaCCM na serikali yao ni majitu manafiki sana. Nape kusema ukweli inakuwa nongwa wakati hata mama Samia mwenyewe kuna siku alisema mambo hayo hayo aliyoyasema Nape. Alichokosea Nape ni kutamka hadharani. Hawakutaka aseme hadharani kuanika mbinu wanayotumia kushinda uchaguzi.

Mimi namuona Nape kama shujaa kwa sababu amethubutu kusema ukweli ambao sio kila mwanaCCM anayependa ujulikane. Nape daima atabakia kuwa shujaa kwa namna alivyowawezesha watanganyika kuufahamu uweli ambao CCM wamekuwa wakiutumia kushinda miaka nenda miaka rudi.

Rais Samia anajifanya haelewei magoli yamkono wakati mwaka 2020 alishirikiana na Magufuli hadharani kuiba uchaguzi uliomuweka madarakani hadi leo hii anakula bata ikulu kwa sababu ya uchaguzi wa wizi. Unafiq ni kitu kibaya sana.

Hongera Nape kwa kusema ukweli. Ushujaa wako umekugharimu kama ambavyo mashujaa wengi wa Afrika akina Lumumba, Steve Biko, Tom Mboya, Robert Ouko, Nelson Mandela na wengine wengi walivyopata gaharama kwa kuetetea maslahi ya waafrika. Nawe umeng'olewa madarakani kwa kutetea demokrasia ya nchi yetu.

Mungu mbarike Nape, Mungu ibariki Tanganyika.
Neno shujaa mliheshimu, hamna mtu anakuwa shujaa kwa vitu minor na vya kipumbavu
 
Back
Top Bottom