Nape alichoongea ni ukweli mchungu; atabaki kuwa shujaa daima

Nape alichoongea ni ukweli mchungu; atabaki kuwa shujaa daima

Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Mh Nape Mosses Nnauye kasema ukweli usiopingika halafu huyu mama anakuja kumfuta kazi kinafiki wakati ukweli hata yeye mwenyewe Bi Tozo anaujua.

Pia soma > Uteuzi na Utenguzi: Nape, Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Na kibaya zaidi, Bi Tozo anamuondoa Nape na Makamba halafu anawajaza wazanzibar kwenye teuzi. Kama urais umemshinda bora aachie ngazi arudi kwao Zanzibar badala ya kuwaondoa watanganyika kwenye nafasi nyeti na kuwajaza wazanzibar.

Uliona wapi, kwa mfano, mzanzibar anateuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi au Waziri wa Mambo ya nje? Mambo ndani ya Tanganyika mzanzibar anayajulia wapi? Au mzanzibar anaiwakilishaje Tanganyika nje ya nchi? Mambo ya Tanganyika anayajua? Jamani acheni masikhara!

Haya mambo ya kinafiki anayofanya Rais Samia imefika wakati sasa Gen Z wa Tanganyika wachukue hatua kudai nchi yao kutoka mkoloni huyu wa kizanzibar. Mwanzoni alikuwa anateua waislamu wenzake kushika nyadhifa nyeti serikalini. Sasa ameona hilo halitoshi, ameanza kutujazia wazanzibar wenzake kwenye teuzi na nafasi nyeti za kuiwakilisha Tanganyika wakati Tanganyika hawaifahamu vizuri. Huu ujinga utakoma lini?

MaCCM na serikali yao ni majitu manafiki sana. Nape kusema ukweli inakuwa nongwa wakati hata mama Samia mwenyewe kuna siku alisema mambo hayo hayo aliyoyasema Nape. Alichokosea Nape ni kutamka hadharani. Hawakutaka aseme hadharani kuanika mbinu wanayotumia kushinda uchaguzi.

Mimi namuona Nape kama shujaa kwa sababu amethubutu kusema ukweli ambao sio kila mwanaCCM anayependa ujulikane. Nape daima atabakia kuwa shujaa kwa namna alivyowawezesha watanganyika kuufahamu uweli ambao CCM wamekuwa wakiutumia kushinda miaka nenda miaka rudi.

Rais Samia anajifanya haelewei magoli yamkono wakati mwaka 2020 alishirikiana na Magufuli hadharani kuiba uchaguzi uliomuweka madarakani hadi leo hii anakula bata ikulu kwa sababu ya uchaguzi wa wizi. Unafiq ni kitu kibaya sana.

Hongera Nape kwa kusema ukweli. Ushujaa wako umekugharimu kama ambavyo mashujaa wengi wa Afrika akina Lumumba, Steve Biko, Tom Mboya, Robert Ouko, Nelson Mandela na wengine wengi walivyopata gaharama kwa kuetetea maslahi ya waafrika. Nawe umeng'olewa madarakani kwa kutetea demokrasia ya nchi yetu.

Mungu mbarike Nape, Mungu ibariki Tanganyika.
Tanganyika inatafunwa na Zanzibar uteuzi wa wazir wa mambo ya nje ni wa kimkakati zaidi bado mkuu wa majeshi tu amalize kazi.
 
Salim Ahmed Salim ni Mzanzibari na amewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Tumeshakuwa na mawaziri wa Mambo ya Ndani Kibao Wazanzibari wakiongozwa na Ali Hassan Mwinyi.
Kwahiyo wakati huo Wazir wa mambo ya ndani na WA mambo ya nje wote walikuwa wanatoka Zanzibar?
 
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Mh Nape Mosses Nnauye kasema ukweli usiopingika halafu huyu mama anakuja kumfuta kazi kinafiki wakati ukweli hata yeye mwenyewe Bi Tozo anaujua.

Pia soma > Uteuzi na Utenguzi: Nape, Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Na kibaya zaidi, Bi Tozo anamuondoa Nape na Makamba halafu anawajaza wazanzibar kwenye teuzi. Kama urais umemshinda bora aachie ngazi arudi kwao Zanzibar badala ya kuwaondoa watanganyika kwenye nafasi nyeti na kuwajaza wazanzibar.

Uliona wapi, kwa mfano, mzanzibar anateuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi au Waziri wa Mambo ya nje? Mambo ndani ya Tanganyika mzanzibar anayajulia wapi? Au mzanzibar anaiwakilishaje Tanganyika nje ya nchi? Mambo ya Tanganyika anayajua? Jamani acheni masikhara!

Haya mambo ya kinafiki anayofanya Rais Samia imefika wakati sasa Gen Z wa Tanganyika wachukue hatua kudai nchi yao kutoka mkoloni huyu wa kizanzibar. Mwanzoni alikuwa anateua waislamu wenzake kushika nyadhifa nyeti serikalini. Sasa ameona hilo halitoshi, ameanza kutujazia wazanzibar wenzake kwenye teuzi na nafasi nyeti za kuiwakilisha Tanganyika wakati Tanganyika hawaifahamu vizuri. Huu ujinga utakoma lini?

MaCCM na serikali yao ni majitu manafiki sana. Nape kusema ukweli inakuwa nongwa wakati hata mama Samia mwenyewe kuna siku alisema mambo hayo hayo aliyoyasema Nape. Alichokosea Nape ni kutamka hadharani. Hawakutaka aseme hadharani kuanika mbinu wanayotumia kushinda uchaguzi.

Mimi namuona Nape kama shujaa kwa sababu amethubutu kusema ukweli ambao sio kila mwanaCCM anayependa ujulikane. Nape daima atabakia kuwa shujaa kwa namna alivyowawezesha watanganyika kuufahamu uweli ambao CCM wamekuwa wakiutumia kushinda miaka nenda miaka rudi.

Rais Samia anajifanya haelewei magoli yamkono wakati mwaka 2020 alishirikiana na Magufuli hadharani kuiba uchaguzi uliomuweka madarakani hadi leo hii anakula bata ikulu kwa sababu ya uchaguzi wa wizi. Unafiq ni kitu kibaya sana.

Hongera Nape kwa kusema ukweli. Ushujaa wako umekugharimu kama ambavyo mashujaa wengi wa Afrika akina Lumumba, Steve Biko, Tom Mboya, Robert Ouko, Nelson Mandela na wengine wengi walivyopata gaharama kwa kuetetea maslahi ya waafrika. Nawe umeng'olewa madarakani kwa kutetea demokrasia ya nchi yetu.

Mungu mbarike Nape, Mungu ibariki Tanganyika.
Pole mkuu ndugu zako wameshaondolewa kubali yaishe. Kwataarifa yako Wizara za Mambo ya Ndani na ya Nje ni Wizara za Jamhuri ya Muungano hivyo zinaweza kuongozwa na Mtz wa Tanganyika au toka Zanzibar hivyo Mama hajafanya kosa lolote kubali tu ndugu zako Nape na Makamba hawafai kuongoza Watz.
 
Pole mkuu ndugu zako wameshaondolewa kubali yaishe. Kwataarifa yako Wizara za Mambo ya Ndani na ya Nje ni Wizara za Jamhuri ya Muungano hivyo zinaweza kuongozwa na Mtz wa Tanganyika au toka Zanzibar hivyo Mama hajafanya kosa lolote kubali tu ndugu zako Nape na Makamba hawafai kuongoza Watz.
Sasa hata kama hawafai ndio mama atujazie mizanzibar kwenye wizara za Tanganyika? Hebu kuwa serious kidogo mkuu.
 
Sasa hata kama hawafai ndio mama atujazie mizanzibar kwenye wizara za Tanganyika? Hebu kuwa serious kidogo mkuu.
Wizara za Tanganyika ni Tamisemi, Afya, Michezo, Kazi, Habari n.k. Lakini hizo za Mambo ya Ndani, Ulinzi, Nje n.k ni za Jamhuri ya Muungano hivyo Mtz toka bara au Zanzibar anawezahudumu.
 
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Mh Nape Mosses Nnauye kasema ukweli usiopingika halafu huyu mama anakuja kumfuta kazi kinafiki wakati ukweli hata yeye mwenyewe Bi Tozo anaujua.

Pia soma > Uteuzi na Utenguzi: Nape, Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Na kibaya zaidi, Bi Tozo anamuondoa Nape na Makamba halafu anawajaza wazanzibar kwenye teuzi. Kama urais umemshinda bora aachie ngazi arudi kwao Zanzibar badala ya kuwaondoa watanganyika kwenye nafasi nyeti na kuwajaza wazanzibar.

Uliona wapi, kwa mfano, mzanzibar anateuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi au Waziri wa Mambo ya nje? Mambo ndani ya Tanganyika mzanzibar anayajulia wapi? Au mzanzibar anaiwakilishaje Tanganyika nje ya nchi? Mambo ya Tanganyika anayajua? Jamani acheni masikhara!

Haya mambo ya kinafiki anayofanya Rais Samia imefika wakati sasa Gen Z wa Tanganyika wachukue hatua kudai nchi yao kutoka mkoloni huyu wa kizanzibar. Mwanzoni alikuwa anateua waislamu wenzake kushika nyadhifa nyeti serikalini. Sasa ameona hilo halitoshi, ameanza kutujazia wazanzibar wenzake kwenye teuzi na nafasi nyeti za kuiwakilisha Tanganyika wakati Tanganyika hawaifahamu vizuri. Huu ujinga utakoma lini?

MaCCM na serikali yao ni majitu manafiki sana. Nape kusema ukweli inakuwa nongwa wakati hata mama Samia mwenyewe kuna siku alisema mambo hayo hayo aliyoyasema Nape. Alichokosea Nape ni kutamka hadharani. Hawakutaka aseme hadharani kuanika mbinu wanayotumia kushinda uchaguzi.

Mimi namuona Nape kama shujaa kwa sababu amethubutu kusema ukweli ambao sio kila mwanaCCM anayependa ujulikane. Nape daima atabakia kuwa shujaa kwa namna alivyowawezesha watanganyika kuufahamu uweli ambao CCM wamekuwa wakiutumia kushinda miaka nenda miaka rudi.

Rais Samia anajifanya haelewei magoli yamkono wakati mwaka 2020 alishirikiana na Magufuli hadharani kuiba uchaguzi uliomuweka madarakani hadi leo hii anakula bata ikulu kwa sababu ya uchaguzi wa wizi. Unafiq ni kitu kibaya sana.

Hongera Nape kwa kusema ukweli. Ushujaa wako umekugharimu kama ambavyo mashujaa wengi wa Afrika akina Lumumba, Steve Biko, Tom Mboya, Robert Ouko, Nelson Mandela na wengine wengi walivyopata gaharama kwa kuetetea maslahi ya waafrika. Nawe umeng'olewa madarakani kwa kutetea demokrasia ya nchi yetu.

Mungu mbarike Nape, Mungu ibariki Tanganyika.
WEYE MLETA UZI UBONGO WAKO UMEJAA FUNZA HATA HUJUI KAMA WIZARA YA MAMBO YA NDANI NA NJE NI WIZARA ZA JAMHURI YA MUUNGANO WA NCHI 2 ....SASA KITU GANI HAPO CHA KUSHANGAA KUWEKWA WAZANZIBARI???
 
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Mh Nape Mosses Nnauye kasema ukweli usiopingika halafu huyu mama anakuja kumfuta kazi kinafiki wakati ukweli hata yeye mwenyewe Bi Tozo anaujua.

Pia soma > Uteuzi na Utenguzi: Nape, Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Na kibaya zaidi, Bi Tozo anamuondoa Nape na Makamba halafu anawajaza wazanzibar kwenye teuzi. Kama urais umemshinda bora aachie ngazi arudi kwao Zanzibar badala ya kuwaondoa watanganyika kwenye nafasi nyeti na kuwajaza wazanzibar.

Uliona wapi, kwa mfano, mzanzibar anateuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi au Waziri wa Mambo ya nje? Mambo ndani ya Tanganyika mzanzibar anayajulia wapi? Au mzanzibar anaiwakilishaje Tanganyika nje ya nchi? Mambo ya Tanganyika anayajua? Jamani acheni masikhara!

Haya mambo ya kinafiki anayofanya Rais Samia imefika wakati sasa Gen Z wa Tanganyika wachukue hatua kudai nchi yao kutoka mkoloni huyu wa kizanzibar. Mwanzoni alikuwa anateua waislamu wenzake kushika nyadhifa nyeti serikalini. Sasa ameona hilo halitoshi, ameanza kutujazia wazanzibar wenzake kwenye teuzi na nafasi nyeti za kuiwakilisha Tanganyika wakati Tanganyika hawaifahamu vizuri. Huu ujinga utakoma lini?

MaCCM na serikali yao ni majitu manafiki sana. Nape kusema ukweli inakuwa nongwa wakati hata mama Samia mwenyewe kuna siku alisema mambo hayo hayo aliyoyasema Nape. Alichokosea Nape ni kutamka hadharani. Hawakutaka aseme hadharani kuanika mbinu wanayotumia kushinda uchaguzi.

Mimi namuona Nape kama shujaa kwa sababu amethubutu kusema ukweli ambao sio kila mwanaCCM anayependa ujulikane. Nape daima atabakia kuwa shujaa kwa namna alivyowawezesha watanganyika kuufahamu uweli ambao CCM wamekuwa wakiutumia kushinda miaka nenda miaka rudi.

Rais Samia anajifanya haelewei magoli yamkono wakati mwaka 2020 alishirikiana na Magufuli hadharani kuiba uchaguzi uliomuweka madarakani hadi leo hii anakula bata ikulu kwa sababu ya uchaguzi wa wizi. Unafiq ni kitu kibaya sana.

Hongera Nape kwa kusema ukweli. Ushujaa wako umekugharimu kama ambavyo mashujaa wengi wa Afrika akina Lumumba, Steve Biko, Tom Mboya, Robert Ouko, Nelson Mandela na wengine wengi walivyopata gaharama kwa kuetetea maslahi ya waafrika. Nawe umeng'olewa madarakani kwa kutetea demokrasia ya nchi yetu.

Mungu mbarike Nape, Mungu ibariki Tanganyika.
😆😆😆😆
 
Huu upumbavu wa kusema mnadai Tanganyika inabidi udhibitiwe. Wewe kamteue Nape awe mumeo kama unaona kaonewa.
 
Huo ni mkakati wa kisiasa hapo hao wanakuja kuongeza nguvu kwenye chama....nadhani kazi ya Mwenezi inakwenda kulainika zaidi.
Hao wote ni viongozi muhimu sana katika ksukuma chama wakati huu hivyo ni vigumu kuwa Wizarani by the moment...!
Ni mtazamo wangu tu.
 
Huu upumbavu wa kusema mnadai Tanganyika inabidi udhibitiwe. Wewe kamteue Nape awe mumeo kama unaona kaonewa.
Mkuu suala la uzanzibar halitokani na kutumbuliwa kwa Nape bali linatokana na Bi Tozo kuwajaza wazanzibar wenzake kwenye teuzi chungu nzima hasa zile zinazowahusu watanganyika. Wewe unaona huu ubaguzi anaoufanya Chifu Hangaya ni sahihi au uchawa umekulemea mkuu?
 
Nape alichomoa betri mambo yakawa hadharani wakati wenyewe walitaka mambo yao yaendelee kuwa siri sasa moto umemulipukia mzee wa CCM kupita kwa magori ya mikono..
 
Nape alichomoa betri mambo yakawa hadharani wakati wenyewe walitaka mambo yao yaendelee kuwa siri sasa moto umemulipukia mzee wa CCM kupita kwa magori ya mikono..
Watu hawapendi kuambiwa ukweli hadharani. Walitaka iwe siri yao yamoyoni. Asante Nape kwa kusema ukweli; u.ekuweka huru. Nape sio mnafiq na hajawahi kuwa hivyo.
 
Hatuwezi kurudia makosa kwa kurudia makosa. Yale yalikuwa makosa ya kiufundi aliyofanya Mwl Nyerere na aliomba radhi kwa hilo. Kwanini tuendelee kurudia kufanya makosa wakati ukweli tunaujua?
Aliomba radhi lini kwa teuzi hizi za wazanzibari.
 
WEYE MLETA UZI UBONGO WAKO UMEJAA FUNZA HATA HUJUI KAMA WIZARA YA MAMBO YA NDANI NA NJE NI WIZARA ZA JAMHURI YA MUUNGANO WA NCHI 2 ....SASA KITU GANI HAPO CHA KUSHANGAA KUWEKWA WAZANZIBARI???
Nitajie mtanganyika mmoia tu anayeongoza wizara yoyote huko kwenu Zanzibar.
 
Salim Ahmed Salim ni Mzanzibari na amewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Tumeshakuwa na mawaziri wa Mambo ya Ndani Kibao Wazanzibari wakiongozwa na Ali Hassan Mwinyi.
Haijawahi kutokea mambo ya ndani na ya nje kuongozwa na wazanzibari kwa wakati mmoja. Huyu bitozo kazidi kwa ubaguzi na upendeleo
 
Haijawahi kutokea mambo ya ndani na ya nje kuongozwa na wazanzibari kwa wakati mmoja. Huyu bitozo kazidi kwa ubaguzi na upendeleo
Hili ni tatuzo kubwa sana mkuu. Kumbe hata wewe umrona? Lakini bado kuna machawa hayaelewi
 
Mkuu suala la uzanzibar halitokani na kutumbuliwa kwa Nape bali linatokana na Bi Tozo kuwajaza wazanzibar wenzake kwenye teuzi chungu nzima hasa zile zinazowahusu watanganyika. Wewe unaona huu ubaguzi anaoufanya Chifu Hangaya ni sahihi au uchawa umekulemea mkuu?
Huo upumbavu mnaojazana hauna faida yoyote.
 
Sijui niandike nini,lakini acha tu nione demokrasia ya tanzania imejaa upuuz upuuzi tu
Sio sahihi kusema Nape ni shujaa kwa Yale aliyoyasema kwa Byabato ile ilikuwa siasa tu.Angesema rasmi kama Waziri,au kwenye vikao rasmi tungejua kamaanisha.tujifunze !"ukiwa unaongea ongea sana Kuna siku utaongea Kila ambacho hakisemwi"
 
Wizara za Tanganyika ni Tamisemi, Afya, Michezo, Kazi, Habari n.k. Lakini hizo za Mambo ya Ndani, Ulinzi, Nje n.k ni za Jamhuri ya Muungano hivyo Mtz toka bara au Zanzibar anawezahudumu.
Mzanzibar kutoka Nungwi anaijua Tanganyika ya Tandahimba, Nangulukulu, Naliendele, Namtumbo, etc. Acha masikhara mkuu.

Na je kama hizo wizara haziwahusu mbona wakati wa mijadala ya wizara hizo bungeni mbona akina Mdebwedo hawatoki nje ya bunge?
 
Back
Top Bottom