Nape Amlilia Roma Mkatoliki, ‘Ooooooh No!’

usalama wa wananchi upo wapi.na hii tabia ya kuchukuwaa watu bila taarifa za ndugu na jamaa .si ngeni kwa mtindo huu.je wajibu wetu kama raia kujua sheria.
huyu ni roma leo kila mtu anataka kujua.je makapuku kama sisi..?
 
Hii tabia ya uvamizi wa studio na utekaji imeshakomaa sasa lazima ikomeshwe.
 
Watanzania wengi hawana akili kama yako, wengi wanaangalia upande mmoja na ndio wanaitwaga nyumbu!!


mtu yeyote anaweza kufanya uhalifu na akataka ukitokea muwaze aliyefanya ni mwingine
Shabikia tu lakini siku yakikugusa direct au indirect utakuja kusimulia aina ya uongozi tulionao kwa sasa
 
Daaaah...!!! Mbona haya mambo kipind cha nyuma hayakuwepo kwann kipind hiki ndo yamekuwa yakitokea na hakuna anayechukua hatua stahiki si vyombo vya dola wala si viongozi wanaohusika na masuala haya...!!! Tunaelekea wapi watanzania...?????
 
2 days zishapita. So alisilimia za kuwapata wakiwa hai zinazidi kupungua tu. Ndio maana wakawabeba wote kupoteza ushahidi wa ni nani hasa amewachukua. Ila Mungu atawalipia tu
 
Wa upande huo msijione mko salama kiviiiiiile, wakimaliza huku watahamia huko, Nani aliamini kuwa Nape angeweza kudhalilishwa na kutishiwa kupigwa risasi na wana usalama?

mimi ni mpinzani na nitakuwa hivyo!! usiweke watu upande fulani kwa sababu ya kupishana mawazo, ni dalili ya kutojiamini ( inferiority)

my take ni alimaanisha nini?? wakati anaimba?? na statement hiyo haitoshi kwa maadui zake kuchukua chance na mwenye akili kamza zako akawaza seriali inahusika??

kamon!! you are better than that
 
Leta defender/Leta wajeda/
Leta wagambo Roma nimejitoa sadaka/
na mkitaka kuniua hakikisha sifii hapa/
Nichinjeni mkanitupe daraja la Mkapa /


Viva Roma vivaaaa
Vivaaaa roma vivaaaa aa eeeh

Bendera Bendera [emoji445][emoji445][emoji445]
Joh makini
Niki Wa II
Ney Wa mitego wakae vizuri
Hali si shwari
 
Kuua watu hakutaisaidia serikali bali kuhatarisha amani ya nchi.
 
Vip kuhusu yule mwenyekiti kule pwani aliepigwa risasi ,ali tweet pia?

Au yule hakua binadamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…