SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
mimi ni mpinzani na nitakuwa hivyo!! usiweke watu upande fulani kwa sababu ya kupishana mawazo, ni dalili ya kutojiamini ( inferiority)
my take ni alimaanisha nini?? wakati anaimba?? na statement hiyo haitoshi kwa maadui zake kuchukua chance na mwenye akili kamza zako akawaza seriali inahusika??
kamon!! you are better than that
Joh makini
Niki Wa II
Ney Wa mitego wakae vizuri
Hali si shwari
Hapa ni common sense tu usiite watu nyumbu. Clouds ilipovamiwa na video ikarushwa tukaona mbona ushahidi uko wazi tu bado kimya? Nyumbu ni pale mapenzi yanapokupofusha, unaona kama umpendaye hawezi kufanya hilo jambo. Unatizama pembeni kutafuta mchawi, pengine ni huyu,pengine ni yule. Kusema kuna anayetaka kuichafua serikali kwa kuwateka kina Roma na Ben ndo unyumbu wenyewe huo mkuuWatanzania wengi hawana akili kama yako, wengi wanaangalia upande mmoja na ndio wanaitwaga nyumbu!!
mtu yeyote anaweza kufanya uhalifu na akataka ukitokea muwaze aliyefanya ni mwingine
Kwani huu wimbo ni mpya mkuuHuu hapo mkuu sikiliza mwenyewe!!
Huo sio mpya mkuu ni wa wakati wa uchaguzi!Kwani huu wimbo ni mpya mkuu
Nani aliona au alishuhudia mahojiano kabla hawajabebwa?Ikiwa leo ni siku ya pili tangu ilipotolewa taarifa kuwa msanii Roma Mkatoliki alitekwa na watu wasiojulikana akiwa pamoja na Moni Centrozone, mtayarishaji wa muziki wa Tongwe Records, Bin Laden katika studio za Tongwe Records, Waziri wa zamani wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye amemlilia msanii huyo.
Nape emetoa kilio chake kupitia ukurasa wake wa Twitter, akitumia maneno matatu pekee yanayosomeka kwa hisia za ndani kuwa ni mtu anayemlilia mpendwa wake.
“Roma! Oooooh No!” ametweet Nape.
Mbunge huyo wa Mtama ameongeza nguvu kwa kilio cha wadau wa muziki pamoja na wasanii waliotumia mitandao ya kijamii kushinikiza ifahamike alipo msanii huyo na wenzake.
Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa jana na uongozi wa Tongwe Records, watekaji walifika katika studio hizo na kuwahoji waliokuwepo, kisha kuondoka nao wote pamoja na baadhi ya vifaa vinavyotumika kurekodia muziki, kwenda kusikojulikana.
Mke wa Roma, Nancy ameeleza kuwa alifika katika vituo kadhaa vya polisi jijini Dar es Salaam kuulizia taarifa za mumewe, lakini alielezwa kuwa taarifa za Roma hazikuwepo.
Akizungumza kwa uchungu kwenye vyombo mbalimbali vya habari, Nancy aliwaomba Watanzania kwa ujumla pamoja na vyombo vya usalama kusaidia kufahamu alipo mumewe.
“Serikali, waandishi wa habari, Watanzania, yeyote aliyeona, aliyesikia, anayeweza kutusaidia Roma yuko wapi naombeni msaada wenu,” alisema.
Leo mchana, wasanii wamekutana katika studio za Tongwe Records kwa lengo la kuzungumzia suala hilo zito ambalo limevunja mioyo ya wadau wa muziki, familia na ndugu wa Roma na wenzake.
mkuu unapotoa taarifa uwe unatumia akili kidogo... taarifa kama hii ukitafutwa sijui utaeleza nini.. umesikia wapi na utaisaidiaje jamii na ukishindwa kutoa neno utaonekana mchochezi... tuweni makini na kauli zetu jaman zisizo na uhakika..!!!!So sad mkuu,, inasemekana jamaa "kapotezwa"
Kwa hiyo alikuwa anaomba kila siku achinjwe na atupwe daraja la mkapa?Leta defender/Leta wajeda/
Leta wagambo Roma nimejitoa sadaka/
na mkitaka kuniua hakikisha sifii hapa/
Nichinjeni mkanitupe daraja la Mkapa /
Viva Roma vivaaaa
Vivaaaa roma vivaaaa aa eeeh
Bendera Bendera [emoji445][emoji445][emoji445]
Hili ni swali eeeh?Kwa hiyo alikuwa anaomba kila siku achinjwe na atupwe daraja la mkapa?
Uongo unaanzia hapa.... hapo studio walikuwepo watu wangapi? Ni nani alishuhudia hayo mahojiano na wakamuacha na kuchukua wengine? yeye alishuhudia hayo mahojiano?Ikiwa leo ni siku ya pili tangu ilipotolewa taarifa kuwa msanii Roma Mkatoliki alitekwa na watu wasiojulikana akiwa pamoja na Moni Centrozone, mtayarishaji wa muziki wa Tongwe Records, Bin Laden katika studio za Tongwe Records, Waziri wa zamani wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye amemlilia msanii huyo.
Nape emetoa kilio chake kupitia ukurasa wake wa Twitter, akitumia maneno matatu pekee yanayosomeka kwa hisia za ndani kuwa ni mtu anayemlilia mpendwa wake.
“Roma! Oooooh No!” ametweet Nape.
Mbunge huyo wa Mtama ameongeza nguvu kwa kilio cha wadau wa muziki pamoja na wasanii waliotumia mitandao ya kijamii kushinikiza ifahamike alipo msanii huyo na wenzake.
Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa jana na uongozi wa Tongwe Records, watekaji walifika katika studio hizo na kuwahoji waliokuwepo, kisha kuondoka nao wote pamoja na baadhi ya vifaa vinavyotumika kurekodia muziki, kwenda kusikojulikana.
Mke wa Roma, Nancy ameeleza kuwa alifika katika vituo kadhaa vya polisi jijini Dar es Salaam kuulizia taarifa za mumewe, lakini alielezwa kuwa taarifa za Roma hazikuwepo.
Akizungumza kwa uchungu kwenye vyombo mbalimbali vya habari, Nancy aliwaomba Watanzania kwa ujumla pamoja na vyombo vya usalama kusaidia kufahamu alipo mumewe.
“Serikali, waandishi wa habari, Watanzania, yeyote aliyeona, aliyesikia, anayeweza kutusaidia Roma yuko wapi naombeni msaada wenu,” alisema.
Leo mchana, wasanii wamekutana katika studio za Tongwe Records kwa lengo la kuzungumzia suala hilo zito ambalo limevunja mioyo ya wadau wa muziki, familia na ndugu wa Roma na wenzake.
Ukitaka uuliwe ndani ya dakika 3, kairipoti Nchi hukoHali ya tanzania kwa sasa ni ya kuripoti UN security Council, dunia ijue nini kinaendelea Tanzania. Hawajui ndiyo hata jana balozi wa EU alionekana happy with Tanzania which is contrary to EU human rights policy!
Hivi huwa wanapelekwa wapi?atapotea hvyo hvyo kama saanane..watu wataongea after one months wanasahau...kama sa8 alivyopotezwa
Ni kweli usemayo. Hasa ukifuatilia yule jamaa aliemgasi Nape kumbe wala sio Polisi. Wale waliomuua Mvungi nao majambazi. Baadhi ya wabongo wanasahau haraka. Kuna yule jaji wa kesi ya mauaji ya kimbari.Watanzania wengi hawana akili kama yako, wengi wanaangalia upande mmoja na ndio wanaitwaga nyumbu!!
mtu yeyote anaweza kufanya uhalifu na akataka ukitokea muwaze aliyefanya ni mwingine
Kuna habari gani kuhudu Mr Roma? Kasema nini kafanya nini kibaya labda? Alitishiwa? Je, inawezekana katekwa na mjambazi? Au wenzie wanabugomvu fulani? Kwa nini tushuke polisi?Hali ya tanzania kwa sasa ni ya kuripoti UN security Council, dunia ijue nini kinaendelea Tanzania. Hawajui ndiyo hata jana balozi wa EU alionekana happy with Tanzania which is contrary to EU human rights policy!
Ingekuwa ni mimi wale wote walioimba eti wana imani na mtu fulani wote NINGEWAPOTEZA![emoji24][emoji24][emoji33]
Ikiwa leo ni siku ya pili tangu ilipotolewa taarifa kuwa msanii Roma Mkatoliki alitekwa na watu wasiojulikana akiwa pamoja na Moni Centrozone, mtayarishaji wa muziki wa Tongwe Records, Bin Laden katika studio za Tongwe Records, Waziri wa zamani wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye amemlilia msanii huyo.
Nape emetoa kilio chake kupitia ukurasa wake wa Twitter, akitumia maneno matatu pekee yanayosomeka kwa hisia za ndani kuwa ni mtu anayemlilia mpendwa wake.
“Roma! Oooooh No!” ametweet Nape.
Mbunge huyo wa Mtama ameongeza nguvu kwa kilio cha wadau wa muziki pamoja na wasanii waliotumia mitandao ya kijamii kushinikiza ifahamike alipo msanii huyo na wenzake.
Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa jana na uongozi wa Tongwe Records, watekaji walifika katika studio hizo na kuwahoji waliokuwepo, kisha kuondoka nao wote pamoja na baadhi ya vifaa vinavyotumika kurekodia muziki, kwenda kusikojulikana.
Mke wa Roma, Nancy ameeleza kuwa alifika katika vituo kadhaa vya polisi jijini Dar es Salaam kuulizia taarifa za mumewe, lakini alielezwa kuwa taarifa za Roma hazikuwepo.
Akizungumza kwa uchungu kwenye vyombo mbalimbali vya habari, Nancy aliwaomba Watanzania kwa ujumla pamoja na vyombo vya usalama kusaidia kufahamu alipo mumewe.
“Serikali, waandishi wa habari, Watanzania, yeyote aliyeona, aliyesikia, anayeweza kutusaidia Roma yuko wapi naombeni msaada wenu,” alisema.
Leo mchana, wasanii wamekutana katika studio za Tongwe Records kwa lengo la kuzungumzia suala hilo zito ambalo limevunja mioyo ya wadau wa muziki, familia na ndugu wa Roma na wenzake.
Watchit![emoji29]So sad mkuu,, inasemekana jamaa "kapotezwa"