Nape Amlilia Roma Mkatoliki, ‘Ooooooh No!’

Nape Amlilia Roma Mkatoliki, ‘Ooooooh No!’

Watanzania wengi hawana akili kama yako, wengi wanaangalia upande mmoja na ndio wanaitwaga nyumbu!!


mtu yeyote anaweza kufanya uhalifu na akataka ukitokea muwaze aliyefanya ni mwingine

Unawaonea waTZ bure, records za watekaji ni jeshi la polisi na usalama sasa tukio linapotokea suspects wa kwanza unafikiri atatoka wapi.
Records za Bashite na Bwanaake za hivi karibuni moja kwa moja zinawaweka kama suspects no.1 hawataki kukosolewa na waliochini yao wanajipendekeza kuwafurahisha.
Bashite akivamia mnasema yeye ndio mwenyekiti wa ulinzi na usalama, usalama ukitoweka hamtaki aulizwe yeye, nyie michezo yenu ni ajabu sana.
 
hii ni conspiracy au vipi? Lazima kuna watu watakuwa wana-pose kama walinzi halali ili kufanya uhalifu au kuharibu reputation ya wabaya wao.
Umeunganisha tukio lipi na lipi hadi ukafikia hiyo conclusion?! Na kama kuna watu wanao-pose kama walinzi halali ili kuichafua serikali bila shaka kama ilivyokuwa kwa Nape; kwanini hawakamatwi?!
 
Leta defender/Leta wajeda/
Leta wagambo Roma nimejitoa sadaka/
na mkitaka kuniua hakikisha sifii hapa/
Nichinjeni mkanitupe daraja la Mkapa /


Viva Roma vivaaaa
Vivaaaa roma vivaaaa aa eeeh

Bendera Bendera [emoji445][emoji445][emoji445]
Sasa cha ajabu ni nini alishajitabilia.
Akatafutwe daraja la mkapa.
 
Ni mapema sana kufahamu nani yuko juu ya upoteaji wa wanamuziki.
Isije ikawa ni njama ya kundi fulani kutafuta
msaada wa kupaza sauti kupitia sanaa au kundi lingine kutumia mwanya huo kufutilia mbali kile kinachoitwa muziki wa uhanarakati.
Lakini pia wasanii/msanii mwenyewe anaweza kujiteka/kujificha ili tu aurejeshe umaarufu wake
uliopotea ili atakapotoa wimbo apate atension/kiki.
Ni vyema tukavuta subra na kuchunga mdimi zetu
kwani lolote lawezekana.
 
Umeunganisha tukio lipi na lipi hadi ukafikia hiyo conclusion?! Na kama kuna watu wanao-pose kama walinzi halali ili kuichafua serikali bila shaka kama ilivyokuwa kwa Nape; kwanini hawakamatwi?!
hawa ni wale walitaka kumpiga risasi nape
 
Sijawahi kufuatilia kabisa kazi zake, baada ya tatizo hili ndo nahangaika kumfahamu huyu ndugu yetu aisee. Jina sio geni ila kazi zake ndo hivyo
Dah, pole Sana Mkuu, Inshort hakuna Msanii alikua anaomba nyimbo kosovu kama yeye, hata 2015 Dr Slaa alipojitoa UKAWA alimuimba, hebu fuatilia nyimbo zake Youtube.. Utamuelewa..
 
Ni mapema sana kufahamu nani yuko juu ya upoteaji wa wanamuziki.
Isije ikawa ni mjama ya kundi fulani kutafuta
msaada wa kupaza sauti kupitia sanaa au kundi lingine kutumia mwanya huo kufutilia mbali kile kinachoitwa muziki wa uhanarakati.
Lakini pia wasanii/msanii mwenyewe anaweza kujiteka/kujificha ili tu aurejeshe umaarufu wake
uliopotea ili atakapotoa wimbo apate atension/kiki.
Ni vyema tukavuta subra na kuchunga mdimi zetu
kwani lolote lawezekana.
ben yuko wapi?
 
Watanzania wengi hawana akili kama yako, wengi wanaangalia upande mmoja na ndio wanaitwaga nyumbu!!


mtu yeyote anaweza kufanya uhalifu na akataka ukitokea muwaze aliyefanya ni mwingine
Sa kama ni mtu yeyote then si ndo kazi ya maaskari sa kufatilizia? Umesikia kuna askari wamelizungumzia? Kwn nani anatakiwa awe responsible kwa ulinzi wetu?
 
Unawaonea waTZ bure, records za watekaji ni jeshi la polisi na usalama sasa tukio linapotokea suspects wa kwanza unafikiri atatoka wapi.
Records za Bashite na Bwanaake za hivi karibuni moja kwa moja zinawaweka kama suspects no.1 hawataki kukosolewa na waliochini yao wanajipendekeza kuwafurahisha.
Bashite akivamia mnasema yeye ndio mwenyekiti wa ulinzi na usalama, usalama ukitoweka hamtaki aulizwe yeye, nyie michezo yenu ni ajabu sana.

sasa mkuu, si unawajua kuwa hao ndio suspects

then unafanya nini?? unasema tu yanaisha huku umejifungia na mke wako na watoto wako , au unafanya nini?

maana kwa akili za kawaida, ningetamani hao unaoita suspects ndio wafanye kazi, tena mkuu bila aibu unamwita bashite na Bwanaake?? seriously?? unajua mvute madawa lakini msifikie to this extent

haya ukiwa na kende zako mbili, mwaka sasa unakatika hatumuoni wala kumsikia Ben saa nane, na Roma atapotea hivi hivi na wewe kama umepaka lipstic kwenye midomo yako unasema suspect na yule na yule

get up! stand up!! lets do something acha ujinga
 
Sa kama ni mtu yeyote then si ndo kazi ya maaskari sa kufatilizia? Umesikia kuna askari wamelizungumzia? Kwn nani anatakiwa awe responsible kwa ulinzi wetu?

Kumbe unajua ni kazi yao? sasa si uwaache wampate?? au kuna timelines/deadlines?

ujinga ni pale unapolaumu askari, na wao ndio suspects?? na umekaa tu mwaka mzima Ben kapotea mnakaa tu na kunyoosha yule anahusika

mkiambiwa wengi wenu si riziki mnaona mnatukanwa

wewe na kuandika kwenye keyboard huna uwezo wa kuandamana peke yako!! achilia mbali kuwakaumbusha akina mbowe na msigwa na Lissu!!

hata wewe ukipotea leo usitegemee Lissu, na mbowe watafanya lolote lile

mnaongea sana
 
Sina imani tena na chochote kile kwenye hii nchi,kuanzia executive, judiciary wala parliamentary. Na nimenote kitu humu wanaoongea ujinga wengi ni polisi ndo hawataki kusemwa vibaya
 
Back
Top Bottom