Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Ccm hakuna aliye msafiWachunguzeni wote Wanaolalamika KWA Sasa baada ya mwendazake kuondoka alafu rudini KWA historia zao za nyuma,mtapata picha halisi kwann wanalalamika sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ccm hakuna aliye msafiWachunguzeni wote Wanaolalamika KWA Sasa baada ya mwendazake kuondoka alafu rudini KWA historia zao za nyuma,mtapata picha halisi kwann wanalalamika sasa
Awamu ya 5 ama ya 6?Mbunge wa MTAMA Nape Nnauye amesema deni la Taifa limekuwa kwa kasi sana ndani ya miaka 5 iliyopita na kusema japo Serikali inadai ni himilivu hali sio nzuri....
Madeni makubwa na sugu ndiyo sukuma gang wanang'ang'ania kuwa ni legacy ya ndugu yaoWera wera wera nafuu umeongea NAPE kuliko wale wakusfu pambio!!!
Ujue kuna madudu nyuma ya pazia!!!
Mbunge wa MTAMA Nape Nnauye amesema deni la Taifa limekuwa kwa kasi sana ndani ya miaka 5 iliyopita na kusema japo Serikali inadai ni himilivu hali sio nzuri...
Wacha Mugambo waruke na kukanyaganaSafi sana Mungu hawafichi wannafiki ...watavuana naninoo Hadi wanananiiii
Ngosha alikaribia kuifilisi NchiHuyu na ndugu zake nyumbu wa Chadema ni pete na kidole ,wote wanafanya siasa za maigizo huku wakiwaibia waTZ.
Awamu ya tano ilizibiti mijizi yote,sa hivi imeanza kuamka na kupiga kelele hoja mfu.Uzuri aliyepo ni mlengo wao ndo Mana wanapayukwa tu
Siyo MAENDELEO bali ni MAENDEREEEOOOO"Wapinzani walitukawiza Sana kuleta maendeleo" ilisikika minong'ono ya mamluki waeneza ujinga vichwan mwa wadanganyika.
Walivuruga chaguzi mbalimbali kwa tamaa za Madaraka, ili wajilimbikizie ufisadi watakavyo...
Pamoja na kwamba Nape ni mnafiki, lakini kasema ukweli kuwa dhalimu alikuwa anakopa kiboya ili kusaka sifa za kijinga. Uchunguzi ufanyike ili ifahamike dhalimu alipeleka wapi hela na genge lake la sukuma gang.Wachunguzeni wote Wanaolalamika KWA Sasa baada ya mwendazake kuondoka alafu rudini KWA historia zao za nyuma,mtapata picha halisi kwann wanalalamika sasa
Mandereeeooo hayana vyama.Shujaa wenu alikuwa mpigaji wa kutisha huku akijivika kilemba cha uzarendo
Aisee awamu iliyokuwa inahubiri utawala bora na nidhamu ya matumizi ya fedha za umma.Nasikia polepole ni bonge ya bilionea[emoji16]
Masikini Bashiru reeooo yupo hoiiiiiiHii ndio CCM Ina democrasia ndani yake sio Ile saccos ya chadema mwenyekiti alikuwa anawakata mishahara na posho wabunge wa wake na ni marufuku kuhoji na mpaka sasa hazijulikani zilienda wapi hizo pesa
Which is healthy and good for the common mwananchi. Ni katika mazingira kama haya opposition inatakiwa ku-seize opportunity.Safari hii lazima CCM wagawane mbao, chama kimepasuka ndani kwa ndani, kila mmoja anamsaka mchawi wake.
Na bado. SI daily wanakopa ila hawana strategic planning za kulipa zaidi ya kuwakandamiza wananchi kwenye tozo!Deni la Taifa limefikia Trillions 77 hii ni kutoka katika ripoti ya BoT.
Kumbe miradi ipo! Nikifikiri zimepigwa kama zile za escrow!Hivi kumbe ile miradi sio fedha za ndani 😀😀😀😀