Nape: Bando ni huduma ya ziada, ukitaka lisiishe tumia salio la kawaida. Mbunge ataka liwe kisheria

Nape yupo sahihi bundles ni uwema wa kampuni kuturahisishia Sisi wananchi
 
Tatizo hujaelewa, Bundle ni added service ( Huduma ya nyongeza ) ambayo hiari kwa kampuni kutoa

Leo hii makampuni ya naweza kufuta vifurushi vyao, na wasiwe na kitu cha kufanywa.
 
HAYUKO SAHIHI HATA KIDOGO , SIMU UNAYOTUMIA SIO YA CONTRACT KATI YAKO NA KAMPUNI YA SIMU. SIMU YAKO IPO KWENYE HUDUMA ZA PAY AS YOU GO, KWAHIYO KAMPUNI YA SIMU HAIWEZI KUKUPANGIA MATUMIZI YA BANDO HATA KIDOGO
 
Na matumizi yalikuaje hiyo zamani bila bando?
SIMU UNAYOTUMIA SIO YA CONTRACT KATI YAKO NA KAMPUNI YA SIMU , SIMU YAKO IKO KWENYE FORMAT YA PAY AS YOU GO HIVYO BASI HUNA MKATABA NA MWENYE SIMU, HAWAKUPANGII MATUMIZI . NI WEZI TU WAKUBWA
 
Hakuna sehemu duniani unapewa service bila kikomo cha matumizi.

Ili wapate wateja inabidi matumizi yawepo
TEMBEA UONE , KUNA MAKAMPUNI MENGINE KAMA DATA ZAKO HUJAMALIZA ZINA ROLL UP MWEZI UNAOFUATA
 
Bando sio ziada ni kifurushi cha mkataba. Kinachobanwa kwa mkataba . Mkataba unaomsaidia mwenye kutoa huduma kulazimisha hela yako iwe ktk hesabu zake za kipindi. Na mara nyingine ni kama kuuza bia zinazokaribia kuexpore kwa bei ya promotions .
 
Hata ile kununua muda na kupewa SMS na mb . Sio offer kihivyo Ila ni mbinu ya kukuomjesha kitu ili utamani kuingia katika huduma ingine au wakuibie kama hutumii. Ila Katika hesabu imeju.liahwa ndani.
 
Kipindi kile alivonyolewa na mwendazake alikuwaga na point sana karudishwa ameanza tena michongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…