wa ukae
JF-Expert Member
- Aug 11, 2008
- 2,720
- 2,151
Kwenye 10k wastani unapata Gb3.4Kama bando ni huduma ya ziada je kwenye huduma ya msingi tuseme 10k unapata mb ngapi
Hii huduma wanayoita ya ziada watu ndio wanaitumia sana na imeshakuwa ya msingi isiwe kigezo cha kuwazulumu wateja