Nape: Bando ni huduma ya ziada, ukitaka lisiishe tumia salio la kawaida. Mbunge ataka liwe kisheria

Basi wazifute hizo offer zao, wasitunyanyase mbwa hawa.
 
Rushwa ni mbaya sana, Waziri amekuwa mtetezi wa makampuni ya kutoa huduma badala ya wananchi. Mbichwa mkubwa empty kabisa huyu
 
Huku TiGO/ZANTEL kule Taifa Gesi, nchi hii sasa ni rasmi wapo watu na viatu. Utetezi wa viongozi hutegemea uwepo wa vitu hivi viwili, lakini ni lazima maslahi yawe ya kibiashara zaidi. Kundi la wanamtandao lipo upya kikazi zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anyway. Lakini mbona basi hilo bundle halina uhalisia? Mbona wanakuuzia sms 300 ukituma 8 wanakuambia umekaribia kikomo zikifika 10 zimeisha still uko ndani ya muda?

Hivi ni kweli kwamba hizi dakika za makampuni ya simu wanazotuuzia kwenye muda wa maongezi Ndio dakika zinazotumika huku Duniani kwenye kuhesabu muda? Naomba tupate majibu Nitakuja na evidence za Airtel
 
Sasa hivi 1000 ni mb 300 imagine...

Wakati mwaka mmoja uliopita 1000 ilikuwa GB moja...


#mimi lazima nikimbie hii nchi
 
Kwa hiyo promotion ndiyo inahalalisha udanganyifu wa biashara? Kuwa objective Mkuu.
 
Mimi huwa najiuliza vitu nakosa majibu. Hivi kuna mtu anaelalamika bando la wiki sijui mwezi, au huko juu huwa mnaenda kuwaambia sisi tunalalamika nini?

Tatizo lilipo ni kwamba, unaamka kila siku kifurushi bei iko juu imepanda ghafla, unakuta ulikua unanunua kifurushi cha 15,000 gb 8.3 ghafla wanakupa gb 7 sasa unajiuliza mbona hawatoi taarifa kwamba vifurushi vitapanda,

Najua humu kuna makampuni ya simu kwani mnadhani hatujui kwamba mnapokea barua kutoka kwenye mamlaka ila wao hawatangazi public. Kwanini viongozi wetu mnakamua wananchi then mnakuja public kuropoka? Bei za vifurushi zinapanda kiholela sana.
 
Wengi wenu hamkuwa mmezaliwa kipindi hatuna kitu kinaitwa bundle au kifurushi
 
CCM oyeeeeeeeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…