Nape: Bando ni huduma ya ziada, ukitaka lisiishe tumia salio la kawaida. Mbunge ataka liwe kisheria

Kama bando ni huduma ya ziada je kwenye huduma ya msingi tuseme 10k unapata mb ngapi
Hii huduma wanayoita ya ziada watu ndio wanaitumia sana na imeshakuwa ya msingi isiwe kigezo cha kuwazulumu wateja
Kwenye 10k wastani unapata Gb3.4
 
Bei elekezi dakika 1 =60 Mb 1 isizidi tsh 3/=
 
Huyu mjinga ameshaiona hii nchi ni ya mama yake.

Blalifool.
Kosa la Nape ni nini au kwa sababu kwa sababu siku hizi unamchukia Rais Samia ndio umeamua kujiunga na kundi la pinga Pinga?
 
Sioni kama uyo bwana nape kasimama upande wa wananchi,kwa hili, nazan kwake yeye ni sahihi kwa yote
 
Kosa la Nape ni nini au kwa sababu kwa sababu siku hizi unamchukia Rais Samia ndio umeamua kujiunga na kundi la pinga Pinga?
Kwa akili zako zilivyo ndogo mtu akiandika jambo ambalo halikufurahishi basi anakuchukia.
 
Asante mwenye akili kubwa ila siku zote mwenye chuki ajifichi
Vilaza ndivyo mlivyo siku zote.

Mkikosolewa you take things personal.

Hapo nakiri siwezi badilisha mtu wa aina hiyo.

Na hata akikasirika hainifanyi niache kusema ukweli.

Atajifunza tu huko mbele ya safari.
 
huo ndio msimamo wangu
 
haya wananchi wa jimbo la nape mkampe tena kura 2025 aendeleze kutetea wawekezaji kama vile wawekezaji ndo walimpigia kura
 
Hakuna asielipa Kodi hii nchi kila MTU analipa Kodi

Ukinunua hata Pipi dukani umelipa Kodi au hujui wewe taahira

πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ sasa nani hajui ilo, AJIRA + KODI hio sio kazi ndogo, sasa wewe umenunua pipi unataka bando ziwekwe kutokana na kitambi chako? πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…