Nape: CCM itashinda tu uchaguzi mkuu ujao hata kwa goli la mkono

Nape: CCM itashinda tu uchaguzi mkuu ujao hata kwa goli la mkono

Kauli ya NAPE kwamba CCM itashinda hata kwa goli la mkono haiwezi kuachwa ipite bila ufafanuzi toka Nape,siku nyingi kumekuwa na kelele ya kukosa tume huru nchini.Hivyo Mzee Lubuva ebi tueleze chama tawala watawezaje kufunga goli la mkono na wewe ukiwa Refa?
 
vitu vingine hutokea kama ndoto.
Utakapo jikuta katika mahakama ya kimataifa,
ndipo utaelewa goli la mkuu ni halali na wala si la mkono.
tuna ushahidi kwa vurugu na mauaji mlioyapanga.
 
Ukawa washakula 230m za mafao wote kimyaaaa,wanasubiri uchaguzi umeisha washapigwa bao ndio walielie,the time is now,ongeeni msikike dhidi ya kauli hizi,ni harufu mbaya,kwa nini mpo kimya??
 
Kauli kama hizi zinaweza kuwafanya watu wasusie kupiga kura

Hapana mkuu, hapa tuko uwanja wa vita ni mapambano mpaka mwisho hakuna kususa hii ni janja ya CCM na tume yao ya uchaguzi. Msikate tamaa vita si lelemama
 
CCM wanawakati mgumu bora wangekaa kimya.......mashabiki tunasubiri hilo goli la mkono tuingie wenyewe uwanjani kulikataa hilo goli .....
 
kauli hii, inaonyesha jinsi gani ccm haipo ktk matumaini ya ushindi.

ccm wanaweweseka sn.
 
nape ameongea ukweli. maana kwenye mechi hii refarii ana timu yake.si ajabu baada ya kuacha huo urefarii akagombea cheo kupitia ccm.
 
sometimes ni vigumu kuwaelewa wapinzani wa Tanzania,kwa kuwa kabla ya yote tulijua richa ya kushindwa kwa katiba ya ccm walau kungekuwa na tume huru,tuwaelewaje nyie ukawa.
 
Tutauana mpaka apatikane mshindi kwa upanga!
 
Huyu wanatakiwa wamuondoe kwenye hii nafasi anakizalilisha chama!
 
EmmaGMangwela

NEC ITOE MAELEZO SAHIHI JUU YA HILI!!

HATA KAMA UTAIBA KURA UNATUAMBIA MPAKA SISI WAIBIWA!!!
ubabe gani huu bana!!!
 
Last edited by a moderator:
Hizi kauli za Nape ni mbaya sana , mbaya zaidi kwenye Chama chake hakuna anayemkanusha. Zitakuja kuleta machafuko.

Kwa kauli hizi hata kama upinzani utashindwa Oktoba . Hata kama watashindwa kihalali sidhani kama watakubali.

Aina hii ya viongozi kama Nape sijui huwa wanafikiria nini.

Nafikiri Nape ni katibu mwenezi wa hovyo kuwahi kutokea kwenye CCM.
Ni hatari sana kuwa na viongozi wa chama hata ktk nchi kutoa kauli ambazo hawajui kipimo cha matokeo yake!
 
Nape anaeneza chuki badala ya sera na huyo Kinana wake anakaa kimya watafurai mwaka huu hakuna mjinga mjinga wote sasa ni Digital...
 
EmmaGMangwela

Yaaani naona maneno ya ovyo kabisa kwa katibu wa nncr anategemea makundi ndio ukawa ishinde this means bila makundi ccm ukawa haina nafas ama
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom