Nape: CHADEMA wamepewa fedha na wazungu kuvuruga mchakato wa katiba

Nape: CHADEMA wamepewa fedha na wazungu kuvuruga mchakato wa katiba

Nape aache umbea kama ana ujasiri wa kiume mbona hakuzitaja hizo nchi?

Ataje nchi ya Kizungu, ataonja joto la jiwe. Hawezi kuthubutu kutaja hata siku mmoja maana wenzetu wakakoroma siyo yeye tena atakayehojiwa bali JK.
 
Hilo gazeti halijaandika aliyasema hayo akiwa baa gani?..,
 
nape aache kupotosha ni nani anaingilia mchakato kama sio ma ccm kuingiza maoni ambayo wa tz hatujayatoa na kufanya mambo bila znz nape anatakiwa atambue kuwa watanzania wa sasa hawajui kusoma lakini picha wanailewa kachelewa sana
 
Ajabu ni kwamba hata wale ambao maisha yao yote yanategemea sana
serikali chini ya chama tawala cha ccm
mnaanza kutoa maneno ya kashfa. chama waeleze hawa watu.
 
Last edited by a moderator:
Mwenzako Mwigu Kachamba alijipanga kuimaliza CDM imkala kwake sasa na ww albino naona unajitahidi nikuambie this time ni anguko lako

Kwi kwi kwi....Nakumbuka kauli ya Wassira kuwa "Chadema itakufa 2013".......Chama ndo kwanza kina chanja mbuga...
 
Mfa maji haachi kutapatapa. Hivyo muache atapetape lakini amin amin nawaambia kifo chake kimewadia kwa kasi na dalili za kufa ndio hizi.
 
Azitaje hizo nchi, pia kwa CCM navyowafahamu ingekuwa ni kweli, tungemuona Kibaraka KOVA kwenye media anatangaza kuwashughulikia haraka sana. Na ungekuwa ndio mtaji wao mkubwa kuelekea 2015, propaganda za NEPI zakitoto sana. Ajipange upya.
 
Tunajua ccm wanaburuzwa na nguvu ya umma kutengeneza katiba, haijawahi kuwa ajenda yao. Watalopoka mengi lakini mwishowe watatekeleza ajenda ya Umma, katiba itapatikana tu. Pole sana Nape, mwulize Kombaini alipobanwa athibitishe kuhusu hayo madai yako alijificha wapi.
 
Azitaje hizo nchi, pia
kwa CCM navyowafahamu ingekuwa ni kweli, tungemuona Kibaraka KOVA
kwenye media anatangaza kuwashughulikia haraka sana. Na ungekuwa ndio
mtaji wao mkubwa kuelekea 2015, propaganda za NEPI zakitoto sana.
Ajipange upya.

mkuu, Nape ni kiongozi wa chama tawala ambacho kina mikono mirefu. hivyo kauli ya Nape si ya kupuuzwa wala kuingiziwa mizaha. watanzania tutafakari kwa pamoja na hawa wanasiasa uchwara ambao wanazoea kutumiwa kuvuruga nchi yetu tuwakatae kabisa
 
Tunajua ccm
wanaburuzwa na nguvu ya umma kutengeneza katiba, haijawahi kuwa ajenda
yao. Watalopoka mengi lakini mwishowe watatekeleza ajenda ya Umma,
katiba itapatikana tu. Pole sana Nape, mwulize Kombaini alipobanwa
athibitishe kuhusu hayo madai yako alijificha wapi.

mkuu, nguvu gani hiyo ya umma unayodai? kama ni ya wazinzi, wavuta bangi na wasagaji sawa
 
Mbona ccm inaviongozi wa kuropoka ropokeni na ishu za biashara zenu za madawa kila mkiamka chadema mkilala chadema sijui 2015 mtapokuwa wapinzani mtaropokaje
 
hongera sana Nape kwa kuwaEleza ukweli watanzania. CHADEMA ni janga la taifa na vyombo vya dola vinatakiwa kuwa makini sana wakati huu
 
kwa hiyo ziara ya dr slaa Washington inalenga kupeleka mrejesho wa jinsi walivyotumia fedha walizopata?
 
Wacheni kumtukana nape kaleta mada yake bora mujadili muhoji hizo hela anazo sema zimekuja kwa kuharibu katiba mpya zimeandikwa wapi?muu lizeni vizuri wazungu gani wametuma pesa na kwenye account ya nani?aweke data zote sisi wananchi tujadili na kama ni hela haramu bank kuu ipo lazima wanavielelezo vyakutosha tusikurupuke tu

Nape mbona ni tabia yake kuongea mambo ambayo hayana ushahidi, alimradi amuonyeshe mwenyekiti wake kuwa yuko kazini. Aliyoyasema na kushutumu nyuma hajaweza kutoa vielelezo itakuwa hivi vya leo! Huwa anajiongelea tu aonekane kuwa yuko hai.
Hakuna raia wa kudanganywa sasa hivi, watu wote wanaelewa kinachoendelea, hata watoto wadogo wanaelewa, wala huyu si wakuumiza vichwa, anajaribu ku-justify mshahara wake.
 
Back
Top Bottom