gwakipanga
JF-Expert Member
- Dec 1, 2011
- 794
- 638
Siku hizi sheria ya vyama vya siasa inaruhusu kupokea hela za wafahdhiri? Nape unatakiwa udhibitishe pasipo shaka kiasi gani walipokea na serikali ilikata kodi kiasi gani? Kinyume na hapo wewe ni sawa na kamba koche mavi yanakaa kichwani huwezi kufikiri vizuri.