Nape: CHADEMA wamepewa fedha na wazungu kuvuruga mchakato wa katiba

Ndio maana kichwa cha nepi kimefanana na sabur kumbe ndio akili ilipohamia?vuvuzela una ushahidi au unaropoka kama unakata gogo?poor nepi.......
 
Ndio tatizo la hizi degree za madesa. Eti jamaa nae ana masters! Kweli hivi vyuo walivyosoma huyu jamaa na Lyatonga Mrema, ni kiboko!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums


Ndio tatizo lilipo kaka kwani Mkuu wa Magogoni kafanya kila kitu kuwa rahisi hata Urais siku hizi ni rahisi tu..
 
Albino na sisi ni watu tunaostahili heshima,,we mwendawazimu unayetutumia kama tusi kwa Nape Ukome kabisa.....
 
anadhani badi tuko enzi za udanganyika.
kama kiongozi mkubwa CCM anaongea pumba kiasi hiki je anaowaongoza?
hayo ni maneno ya mfa maji
 
Hiki ni kituko cha mwaka,jamaa anabwabwaja kama kakurupuka usingizini.
 
mbona maneno yako hayana mtiririko unaoeleweka. unarukaruka tu! mara hili mara lile. subiri viroba vimalizike kichwani ndiyo uchangie


Sawa Mliberali, kachukue buku 7 zako Lumumba tayari umechangia.
 
Inatia aibu sana, kiongozi wa chama anapotoa mambo ya kufikirika kwa kuunganisha matukio.
Nape alikuwa wapi kuueleza umma wa Watanzania kuhusu hizo fedha kabla ya vurugu za bungeni?!
Siasa ya bongo ni kuunga kuunga maneno tu......Aibu
 
Ili ujue kwamba nape ni hamnazo,anasema kwamba ''Nasikia wenzetu wamepewa fedha''anasikia kutoka kwa nani? Je amefanyia uchunguzi wa kina hilo swala?...katibu uenenezi unapanda jukwaani kwa maneno ya kusikia! Kweli nape kaishiwa anasubiri matukio ili apate la kusema.
 
Huwa sijusumbui kusoma utumbo wa KILAZA aitwaye NEPIIII !! Crazy Idiot!!
 
Asa kama ndo ivo na wao ndo wanajua miamala yote ya pesa pesa izo zinapitia wapi!?! Basi hawako makini.....! Kama ndo ivo bas uwanja wa ndege pale wameweka vivuli. Ujinga wa NAPE ndo unaifanya CCM ionekane imechoka kupita vile nnavoweza kuielezea!
 
Pesa za wazungu ndo zinazoendesha nchi yetu sababu hata mwenyekiti wa ccm huwa anatuaga kwenda huko huko kwa wazungu kuhememia. Ungeanza kumkataza mwenyekiti wako ndo uwaseme chadema ingekua na mantiki kidogo vinginevyo ni zengwe la kisiasa tu.
 
Piga ua hakuna mtanzania wa leo anayeweza kukubaliana na madai ya Nepi, hata magamba wenyewe akina HK, MN wanajua Nepi kaingia cha kike!!
 
Mahitaji ya kambi ya upinzani kuhusu mswada wa katiba ni ya msingi kabisa,haihitaji propaganda kuwa kuna msukumo wa fedha toka kwa wafadhili.
Ni hoja dhaifu sana kwa na inashangaza kwa mtu wa hadhi ya Nape kutoka kihivo anajichora sana.
Asamehewe bure maana hajui atendalo.
 
Nape umeanza tena kuropoka jamani?unajuaje mwisho wa cdm we ni nabii utaweweseka sana cdm 2unasonga mbele
 
Hii ndiyo taabu ya kurithisha watoto siasa badala ya mali .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…