Hapo lazima atokomee kusikojulikana.tukiachana na hayo makosa ya kiuandishi, vipi maoni yako kuhusu kauli ya Nape?
Hik ki-mama ckpen-d mm,, nkiona ugorø kinachoandka kichefchefcollection= correction
Ni shule tu za kusomea ujinga.
Amewavua nguo wenzie au anawateka akili nyie wepesi wa kuzugwa?Yule mbunge maarufu wa kufunga bao la mkono amesema anajutia tamko lake la bao la mkono na pia kuzuia bunge kurushwa live ilikuwa ni hoja yake dhaifu ya kisiasaView attachment 1026228
In God we Trust
usengerema😛Mwisho kaona Ungese safi sana Nape.
Mafikizolo vs GweregwereLUMUMBA WATAPONDA 😎,
CCM ASILI WANAANZA KURUDISHA HESHIMA YAO.
Hawamuwezi tena. Kinyago walichokichonga sasa kimeshapata pumzi na kimeota mapembeNnape anzisheni mkakati wa kumng'oa huyu Msukuma..tulioyashuhudia hii miaka yanatosha.
kweli kabisa mkuuitakua wamemrudishia ubongo wake, kwa maana inasemekana ukipewa uteuzi na mwanyekiti basi ni sharti ukabidhi ubongo wako kwa sekretary, baada ya hapo utaishi kwa kufuata fikra za mwenyekiti, mtazame profesa kabudi, unadhani kuna ubongo wa profesa kule kichwani?? ni kamasi tupu na fikra za mwenyekiti.
pole pole mkuu, unaweza chukuliwa na wasiojulikana bwanaWameanza kujua sasa kuwa sio kila aliyevaa suti ni mzima, wengine ni vichaa
Atatumaliza watanzania wote basi kama ndiyo hivyopole pole mkuu, unaweza chukuliwa na wasiojulikana bwana
Baba mdogo Kikwete hayupo madarakani ... dogo anadhani bado ana nguvu nchini.....Yule mbunge maarufu wa kufunga bao la mkono amesema anajutia tamko lake la bao la mkono na pia kuzuia bunge kurushwa live ilikuwa ni hoja yake dhaifu ya kisiasaView attachment 1026228
In God we Trust
Mkuu umerudi, nilitaka nianzishe thread ya kukuulizia, nikajua wale wazungu wawili wanaoongea kisauzi afrika wameshakutwaa.Tetetete tetetetet zimemrudi
SWISSME