Kama ipi!
Malalamiko kwake ni kelele!!!"Kumekuwa na kelele nyingi kutoka kwa wananchi ambao wanalalamikia suala la kuendelea kupokea jumbe mbalimbali ambazo hawakuziomba katika huduma na hivyo kugeuka kuwa ni kero badala ya huduma,naomba tuliangalie hili," alisema.
Kutokana na hali hiyo, Waziri huyo wa Mawasiliano aliyataka makampuni yote yakae na watoa huduma kujadiliana kuhusu jambo hilo na kuona namna ya kuondoa tabia hiyo (ujumbe) kwa mtu ambaye hakuomba.
Aisee mimi kuna siku nimewapigia voda nikawatolea uvivu. Nilikua nashangaa unakuta nna bando la data, nna bando la dakika na nna bando la sms. Cha ajabu kila nikiweka muda wa maongezi ili nifanye miamala ya simbanking nakuta hela yote imeliwa! Saa nyingine unakuta nimeweka hela dakika hiyo hiyo nikicheki balance nakuta 0.Pia Waache kutuunganisha huduma ambazo hatujaomba