Nape: Kampuni za simu haziibi vifurushi vya intaneti vya wateja

Nape: Kampuni za simu haziibi vifurushi vya intaneti vya wateja

Kwa mimi ninaefahamu nimeprotect kila mahali bado nalalamika unaniambiaje sheikh?
Wanaiba, mtu ukijiunga wiki piga ua, kifurushi lazima kikate siku ya nne au tano,. Hata kama umetumia twitter tu , [emoji23][emoji23]
Hata iwe GB ngapi wanahakikisha wanakata kabla ya siku uliyojiunga
 
Pamoja na uelewa mdogo wa watumiaji wa smart phone lakini haiondoi ukweli kuwa makampuni ya simu wanafanya wizi sana tena sana....

Yani mnataka kusema watanzania wote wanao lalamika basi hawajui kutumia smart phone hahahaha
Yani yeye Nape ndio anajua kutumia smart phone kuliko watanzania wengine?
Hapo ameshavuta chake hata 300M, unadhani atatetea wananchi tena?
 
Watanzania wengi hawajui matumizi sahihi ya bando. Kuna watu wanaruhusu apps kuji-update na ku-run at the background hivyo kupelekea bando kutumika.
hichi unachosema mimi nakijua toka niko O-level, juzi hapa nimenunua gb nikaweka sim card kwenye Halotel router then nikaconnect kwenye pc yenye window 7 ambayo nimezima update zote (kwa kutokana na exp nimekuwa nikifanya hivi toka niko form 1 na nilikuwa natumia kwa masaa kadhaa) lakini jambo la kushangaza mb ziliisha wakati nilitumia JF tu tena ndani ya nusu saa
nikaunga gb 1 tena,mara hii nilitumia kwenye simu tu,nayo iliisha ndani ya nusu saa,nikawapigia Halotel muhudumu akadai nimezitumia mimi nikamuuliza umewahi kuona wapi gb 1 iishe ndani ya nusu saa kwa kuingia google tu,alinijibu "ahsante kwa kutumia halotel"akakata simu
Wakati mnatutuhumu watanzania hatujui kutumia simu janja mnapaswa kujua tunaolalamika tuna experience miaka mingi ya smartphone/computer na tumesomea haya mambo,mimi natumia internet toka primaly alafu leo mtu anakuja kusema hatuna utaalamu na smartphone !!! na Elimu niliyosoma ni bure ?
 
Hii kitu nilishawahi kuiandikia uzi hapa nakumbuka miaka miwili au mitatu iliyopita.

Na nilielezea vema ni kwa namna gani hizi simu za kisasa especially hizi cheap brand kama Tecno, Infinix,itel, na zinginezo namna zinaconsume bundle bila sisi kujua.

Niliwaelezea vema kuwa ndani ya hizi simu huwa ukishaanza kutumia baada ya kununua kuna app huwa zinaji install na kuanza kurun back ground data collection na kuzituma pale unapoweka bundle au kuwasha data.

Mimi nilitafiti sana na nilitumia mita ya simu kustudy data use. Kiwango cha bundle kilikuwa kinakwenda sawa na ujazo nilionunua ila kwa kasi isiyo ya kawaida.

Hili tatizo limeshakemewa pale South Africa na walitishia kuzikataza simu hizo kuingizwa kule kwasababu kupandikiza secret apps zinazoconsume data kwa siri kwenye simu za watu na kutumia taarifa binafsi kugenerate business information kwaajiri ya makampuni yanayotengeneza bidhaa mbali mbali.

Nimekuwa nikitrack bundle uses na kitu kilichotokea ni kuwa huwa nikipata sms ya kunambia bundle limeisha nikicheki mita ya simu nakuta inasoma bundle limesha pia kama kile kiwango cha bundle nililonunua kilivyoisha.

Mfano nikinunua 2GB then kabla sijajiunga kwanza naiset mita ya simu isome 2GB kwenye Total bundle then ninapoanza kutumia inanisomea ile ninayotumia huku ile total ikipungua kulingana na ninavyotumia .... Ikifika tu 1.9GB utaona sms inaingia bundle yako imeisha , nikirudi kwenye mita naona pia 2GB used.

So hapo ndipo nikajua simu za sasa zinakuja na apps zinazotumia data kwenye background bila sisi kujua. Na ndipo hapo shida inapoanzia kwasababu ya kutokujua tunabakia kulaumu makampuni ya simu na kuona yanatuibia ila kiukweli majizi halisi ni hizi simu in the background...... Zinakwapua data kisiri sana. Na hizo apps ni bug apps maana hazionekani zimefichwa sana.
mkuu,background apps zinatumiaga kbs tu,na unaweza kuzi restrict kama mimi nime restrict lakini bado gb zinaisha kifala
mitandao inatuibia na niwajinga sana,una gb zako unaingia mitandao tena ya nje huko alafu wanakuwekea vi tangazo vya mitandao yetu hii ya ndani mfano Tigo,halotel nk sasa unajiuliza inakuwaje
mimi kampuni ya Tigo inanitumia kila siku sio chini y sms kumi,hapo napo tunawasingizia ?
 
Ndo uwezo wake huo na ndio aina ya watu anaowataka mama yetu saa 100

Sent using Jamii Forums mobile app
Nape na baadhi ya watu hawana uelewa wa data lakini wanatushutumu sisi ndio hatuelewi
mimi miaka yote sikuwa nimewahi kuona background app inatumia 1gb tena sio kwa ku update !! pc yenyewe ukitaka ku update ilikuwaga haimalizi mb 500
kwa kifupi miaka miwili hii tumeibiwa sana
 
Back
Top Bottom