Idimulwa
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,944
- 2,459
Sasa kama hauna nauli inakuwaje?Hiyo Gari inabeba Waziri na Siyo vinginevyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kama hauna nauli inakuwaje?Hiyo Gari inabeba Waziri na Siyo vinginevyo
Labda dereva wake alikuwa anatania kama yeye alivyotutaniaKuna video clips zinatembea zikionesha gari ya serikali iliyo na plate namba ya waziri wa habari na mawasilno ikidondoka muda mfupi tu baada ya taarifa za kutumbuliwa kwa Nape kuwekwa mitandaoni. Wakati huo Nape ndiyo alikuwa meza kuu akigawa tuzo kama mgeni rasmi, na hata hotuba alikuwa bado hajatoa.
Hii si sawa. Hata kama alikuwa na mapungufu ktk uongozi wake ama kuna kosa kalifanya basi hakustahili kulipwa udhalilishaji huu. Huu siyo utamaduni wetu watanzania na hii si tu inamdhalilisha mhusika, bali inajenga chuki kwa ndugu, jamaa, marafiki, wananchi wa Jimbo lake na watanzania kwa ujumla dhidi ya mamlaka ya uteuzi.
Kama mtu aliteuliwa kwa heshima, akapewa majukumu fulani, basi hata siku ya kumuondoa aondolewe bila kudhalilishwa.
Uovu kama huu aliwahi kufanyiwa pia Dr. Mwigulu Nchemba kipindi cha rais kichaa. Dr. Mwigulu Nchemba alishushwa njiani akiwa safarini kuelekea Mwanza.
Tusiibomoe nchi yetu kwa tabia zetu mbaya na chuki zetu binafsi. Uongozi ni hekima
View attachment 3052842
wewe Nape jifunze kuheshimu watu Dunia inabadilika snKuna video clips zinatembea zikionesha gari ya serikali iliyo na plate namba ya waziri wa habari na mawasilno ikidondoka muda mfupi tu baada ya taarifa za kutumbuliwa kwa Nape kuwekwa mitandaoni. Wakati huo Nape ndiyo alikuwa meza kuu akigawa tuzo kama mgeni rasmi, na hata hotuba alikuwa bado hajatoa.
Hii si sawa. Hata kama alikuwa na mapungufu ktk uongozi wake ama kuna kosa kalifanya basi hakustahili kulipwa udhalilishaji huu. Huu siyo utamaduni wetu watanzania na hii si tu inamdhalilisha mhusika, bali inajenga chuki kwa ndugu, jamaa, marafiki, wananchi wa Jimbo lake na watanzania kwa ujumla dhidi ya mamlaka ya uteuzi.
Kama mtu aliteuliwa kwa heshima, akapewa majukumu fulani, basi hata siku ya kumuondoa aondolewe bila kudhalilishwa.
Uovu kama huu aliwahi kufanyiwa pia Dr. Mwigulu Nchemba kipindi cha rais kichaa. Dr. Mwigulu Nchemba alishushwa njiani akiwa safarini kuelekea Mwanza.
Tusiibomoe nchi yetu kwa tabia zetu mbaya na chuki zetu binafsi. Uongozi ni hekima
View attachment 3052842
Hapa umesemaHiyo Gari inabeba Waziri na Siyo vinginevyo
Hiz protocol nyingne hatariHiyo Gari inabeba Waziri na Siyo vinginevyo
Nasikia aliondoka na bodaDuuuuh ni noma, kwahiyo baada ya kuondoka ikaja gari ya kumbeba kama mbunge?
Sasa wewe ulitaka gari ya Waziri imbebe mbunge mkuu? Unajua pritokali za utenguzi with immediate effect? Usitetee ujinga mkuu.Kuna video clips zinatembea zikionesha gari ya serikali iliyo na plate namba ya waziri wa habari na mawasilno ikidondoka muda mfupi tu baada ya taarifa za kutumbuliwa kwa Nape kuwekwa mitandaoni. Wakati huo Nape ndiyo alikuwa meza kuu akigawa tuzo kama mgeni rasmi, na hata hotuba alikuwa bado hajatoa.
Hii si sawa. Hata kama alikuwa na mapungufu ktk uongozi wake ama kuna kosa kalifanya basi hakustahili kulipwa udhalilishaji huu. Huu siyo utamaduni wetu watanzania na hii si tu inamdhalilisha mhusika, bali inajenga chuki kwa ndugu, jamaa, marafiki, wananchi wa Jimbo lake na watanzania kwa ujumla dhidi ya mamlaka ya uteuzi.
Kama mtu aliteuliwa kwa heshima, akapewa majukumu fulani, basi hata siku ya kumuondoa aondolewe bila kudhalilishwa.
Uovu kama huu aliwahi kufanyiwa pia Dr. Mwigulu Nchemba kipindi cha rais kichaa. Dr. Mwigulu Nchemba alishushwa njiani akiwa safarini kuelekea Mwanza.
Tusiibomoe nchi yetu kwa tabia zetu mbaya na chuki zetu binafsi. Uongozi ni hekima
View attachment 3052842
Kweli kabisa mkuu. Kama dereva angembeba basi naye angetumbuliwa.Ni sawa tu, sasa ushavuliwa uwaziri uendelee kusubiriwa kwa cheo gani ? huoni kwamba dereva kama angemsubiri angekua anahatarisha ajira yake.
Hapa unatetea tu ujinga. Huyu waziri katumbuliwa, lakini bado anawajibika kurudi ofisini kukabidhi ofisi na mali nyingine alizokabidhiwa. Kwa hadhi yake sio sahihi kuachwa ukumbini/barabarani bila usafiri. Jamii yetu inapaswa kustaarabika na sio kuwa jamii ya kudhalilishana. Wengine pia mna wivu wa kike au wa kimasikini ukiona mtu kateleza unafirahi na kusema acha wote tule kisamvu. Pengine hutawahi kufika alipofika. Anyways, maccm yatajuana huko.Ndiyo vizuri ili wajue umuhimu wa kubadili mfumo na siyo kumwacha mtu mmoja anayeitwa rais kufanya atakavyo. Huyu ni mmoja ya mawaziri ambao hawakuona umuhimu wa kukaa upande wa wananchi.