Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na laana ya kudhalilisha Wazee haijawahi kumuacha mtu salama !Laana ya kumtukana Magufuli itamwandama maisha yote
Tajiri anakosaje nauli ??😳🙄Sasa kama hauna nauli inakuwaje?
alikodi uber mkuu alikodi noah yangu mm ndo nlkua naendeshaDuuuuh ni noma, kwahiyo baada ya kuondoka ikaja gari ya kumbeba kama mbunge?
Kuna video clips zinatembea zikionesha gari ya serikali iliyo na plate namba ya waziri wa habari na mawasilno ikidondoka muda mfupi tu baada ya taarifa za kutumbuliwa kwa Nape kuwekwa mitandaoni. Wakati huo Nape ndiyo alikuwa meza kuu akigawa tuzo kama mgeni rasmi, na hata hotuba alikuwa bado hajatoa.
Hii si sawa. Hata kama alikuwa na mapungufu ktk uongozi wake ama kuna kosa kalifanya basi hakustahili kulipwa udhalilishaji huu. Huu siyo utamaduni wetu watanzania na hii si tu inamdhalilisha mhusika, bali inajenga chuki kwa ndugu, jamaa, marafiki, wananchi wa Jimbo lake na watanzania kwa ujumla dhidi ya mamlaka ya uteuzi.
Kama mtu aliteuliwa kwa heshima, akapewa majukumu fulani, basi hata siku ya kumuondoa aondolewe bila kudhalilishwa.
Uovu kama huu aliwahi kufanyiwa pia Dr. Mwigulu Nchemba kipindi cha rais kichaa. Dr. Mwigulu Nchemba alishushwa njiani akiwa safarini kuelekea Mwanza.
Tusiibomoe nchi yetu kwa tabia zetu mbaya na chuki zetu binafsi. Uongozi ni hekima
View attachment 3052842
Machozi hayakuwa yanamlenga lenga?alikodi uber mkuu alikodi noah yangu mm ndo nlkua naendesha
SIKUFICHI MKUU SEAT YA NYUMA NDO ALIKAA ILIKUA IMEJAA KAMASI MIKSA MACHOZI ALIKIA SANA MPKA NIKAWA NAMPA MAHOPE ATAKUA SAWA 😆🤣 AKAREQUEST NGOMA YA KUMASAVA YA DIAMONDMachozi hayakuwa yanamlenga lenga?
Pedesheee...Nepi ...mtoto ya Nape...bolingo na ngai..yeyeyeeeTajiri anakosaje nauli ??😳🙄
Kama ungejua jinsi Nape ana vyo mistreat subordinates wake, usingeandika hii kitu. Dereva alikuwa analipa kısası. Atajitetea kuwa hakuwa na namba plates za STK na yeye kazi yake ni kuendesha Waziri siyo Nape. Hivyo alienda kwa Waziri!Kuna video clips zinatembea zikionesha gari ya serikali iliyo na plate namba ya waziri wa habari na mawasilno ikidondoka muda mfupi tu baada ya taarifa za kutumbuliwa kwa Nape kuwekwa mitandaoni. Wakati huo Nape ndiyo alikuwa meza kuu akigawa tuzo kama mgeni rasmi, na hata hotuba alikuwa bado hajatoa.
Hii si sawa. Hata kama alikuwa na mapungufu ktk uongozi wake ama kuna kosa kalifanya basi hakustahili kulipwa udhalilishaji huu. Huu siyo utamaduni wetu watanzania na hii si tu inamdhalilisha mhusika, bali inajenga chuki kwa ndugu, jamaa, marafiki, wananchi wa Jimbo lake na watanzania kwa ujumla dhidi ya mamlaka ya uteuzi.
Kama mtu aliteuliwa kwa heshima, akapewa majukumu fulani, basi hata siku ya kumuondoa aondolewe bila kudhalilishwa.
Uovu kama huu aliwahi kufanyiwa pia Dr. Mwigulu Nchemba kipindi cha rais kichaa. Dr. Mwigulu Nchemba alishushwa njiani akiwa safarini kuelekea Mwanza.
Tusiibomoe nchi yetu kwa tabia zetu mbaya na chuki zetu binafsi. Uongozi ni hekima
View attachment 3052842
Huo ndio utaratibu siku zote.Ww umeona kwa Nape?Kuna video clips zinatembea zikionesha gari ya serikali iliyo na plate namba ya waziri wa habari na mawasilno ikidondoka muda mfupi tu baada ya taarifa za kutumbuliwa kwa Nape kuwekwa mitandaoni. Wakati huo Nape ndiyo alikuwa meza kuu akigawa tuzo kama mgeni rasmi, na hata hotuba alikuwa bado hajatoa.
Hii si sawa. Hata kama alikuwa na mapungufu ktk uongozi wake ama kuna kosa kalifanya basi hakustahili kulipwa udhalilishaji huu. Huu siyo utamaduni wetu watanzania na hii si tu inamdhalilisha mhusika, bali inajenga chuki kwa ndugu, jamaa, marafiki, wananchi wa Jimbo lake na watanzania kwa ujumla dhidi ya mamlaka ya uteuzi.
Kama mtu aliteuliwa kwa heshima, akapewa majukumu fulani, basi hata siku ya kumuondoa aondolewe bila kudhalilishwa.
Uovu kama huu aliwahi kufanyiwa pia Dr. Mwigulu Nchemba kipindi cha rais kichaa. Dr. Mwigulu Nchemba alishushwa njiani akiwa safarini kuelekea Mwanza.
Tusiibomoe nchi yetu kwa tabia zetu mbaya na chuki zetu binafsi. Uongozi ni hekima
View attachment 3052842
Waziri hachagui dreva,huyo dreva ana bosi wake na ndiye alimwamuru arudishe gari ofisini na huyo TO naye alipokea maagizo, kumbuka Nape amefukuzwa kazi,ile kutenguliwa ni polite language tu.Mmmmm hizo protocol za chuki aio sawaaa....anģetoa nembo Waziri iwe STK au STL amrudishe home Salama