Nape kutumbuliwa ni sawa, lkn kutelekezwa na dereva akiwa bado anatoa tuzo ukumbini siyo sawa

Nape kutumbuliwa ni sawa, lkn kutelekezwa na dereva akiwa bado anatoa tuzo ukumbini siyo sawa

Mitanzania kila kitu inalalamika hata yule mtu waliekua hawamtaki katumbuliwa ety wanalalamika kaachwa na gari .
 
And the ruling class is greatly responsible for that.
It is a game used to keep scores and lord it on others just to show who is boss.

The funny thing is, many of the poor people of Tanzania, who are the butt of all the bad jokes of sadism, enjoy seeing this sadism dished out to the ruling class.

It is as if they are saying "have some of this shit too, we get this daily, it's nice to see it dished out to you for a change".

Meanwhile the main work of eradicating this sadism everywhere escaoes them.

They are resigned to regard this sadism as a given, just as a part of natural life as the air they breathe.

Some are actually eagerly awaiting their turn at the helm one day, to dish out the same sadism. It will be their turn, earned justly with all the stripes.

Magufuli style.
 
Hivi Nape anapatikana kwa sasa mtandao gani baada ya kukimbia X ?
 
Kuna video clips zinatembea zikionesha gari ya serikali iliyo na plate namba ya waziri wa habari na mawasilno ikidondoka muda mfupi tu baada ya taarifa za kutumbuliwa kwa Nape kuwekwa mitandaoni. Wakati huo Nape ndiyo alikuwa meza kuu akigawa tuzo kama mgeni rasmi, na hata hotuba alikuwa bado hajatoa.

Hii si sawa. Hata kama alikuwa na mapungufu ktk uongozi wake ama kuna kosa kalifanya basi hakustahili kulipwa udhalilishaji huu. Huu siyo utamaduni wetu watanzania na hii si tu inamdhalilisha mhusika, bali inajenga chuki kwa ndugu, jamaa, marafiki, wananchi wa Jimbo lake na watanzania kwa ujumla dhidi ya mamlaka ya uteuzi.

Kama mtu aliteuliwa kwa heshima, akapewa majukumu fulani, basi hata siku ya kumuondoa aondolewe bila kudhalilishwa.

Uovu kama huu aliwahi kufanyiwa pia Dr. Mwigulu Nchemba kipindi cha rais kichaa. Dr. Mwigulu Nchemba alishushwa njiani akiwa safarini kuelekea Mwanza.

Tusiibomoe nchi yetu kwa tabia zetu mbaya na chuki zetu binafsi. Uongozi ni hekima

View attachment 3052842
Bumundq angebebwa kwenye gari la waziri yeye kama nani? Lile sio gari la mbunge wa viti maalumu jimbo la Mtama ni gari kwa ajili ya waziri wa habari.
 
Kuna video clips zinatembea zikionesha gari ya serikali iliyo na plate namba ya waziri wa habari na mawasilno ikidondoka muda mfupi tu baada ya taarifa za kutumbuliwa kwa Nape kuwekwa mitandaoni. Wakati huo Nape ndiyo alikuwa meza kuu akigawa tuzo kama mgeni rasmi, na hata hotuba alikuwa bado hajatoa.

Hii si sawa. Hata kama alikuwa na mapungufu ktk uongozi wake ama kuna kosa kalifanya basi hakustahili kulipwa udhalilishaji huu. Huu siyo utamaduni wetu watanzania na hii si tu inamdhalilisha mhusika, bali inajenga chuki kwa ndugu, jamaa, marafiki, wananchi wa Jimbo lake na watanzania kwa ujumla dhidi ya mamlaka ya uteuzi.

Kama mtu aliteuliwa kwa heshima, akapewa majukumu fulani, basi hata siku ya kumuondoa aondolewe bila kudhalilishwa.

Uovu kama huu aliwahi kufanyiwa pia Dr. Mwigulu Nchemba kipindi cha rais kichaa. Dr. Mwigulu Nchemba alishushwa njiani akiwa safarini kuelekea Mwanza.

Tusiibomoe nchi yetu kwa tabia zetu mbaya na chuki zetu binafsi. Uongozi ni hekima

View attachment 3052842
Dereva kaambiwa awe anambeba waziri sasa kama kashatenguliwa mnataka afanyaje.
Bolt na Uber si zipo angerequest
 
Tangu enzi za Mwalimu Nyerere, ukitenguliwa tu, dereva anatakiwa kuondoka mara moja na kwenda kureport kwa mwajiri wake kwaajili ya kupewa maelekezo.
Hii ni kumkosea heshima mtu, na ndio maana watu wengine tulijiapiza hatuwezi kufanya kazi serikalini Tanzania.

Ujinga ni mwingi sana.

Watu wanaishi kama wanyama wa mwituni.
 
Mitanzania kila kitu inalalamika hata yule mtu waliekua hawamtaki katumbuliwa ety wanalalamika kaachwa na gari .
Na inawezekana hata hakuachwa na hiyo gari kwani video inayotembea inaonekana gari ikiondoka lakini haionyeshi nani alikuwa ndani ya gari ukiacha dereva.
 
Labda alipata maelekezo kutoka juu,ungekuwa wewe ndiyo dereva ungefanya nini?
 
Tatizo hapa sio maelekezo bali ni Elimu, Elimu, Elimu...........madereva wa viongozi hawana Elimu ya kutosha ya huduma (customer Service)
Nijuavyo Mtu akitenguliwa nafasi yake wakiwa field, dereva anatakiwa amrudishe muhusika alipomtoa/alipomchukua yaweza kuwa Nyumbani/ofisini au mahala pengine RASMI ambapo muhusika ataomba apelekwe na hapo ndipo patakuwa mwisho wa huduma.
Kushusha Kiongozi njiani ni kutokutumia maarifa kwani hata abiria akiwa hana nauli, anatakiwa kushushwa kituo rasmi na salama
 
Kuna video clips zinatembea zikionesha gari ya serikali iliyo na plate namba ya waziri wa habari na mawasilno ikidondoka muda mfupi tu baada ya taarifa za kutumbuliwa kwa Nape kuwekwa mitandaoni. Wakati huo Nape ndiyo alikuwa meza kuu akigawa tuzo kama mgeni rasmi, na hata hotuba alikuwa bado hajatoa.

Hii si sawa. Hata kama alikuwa na mapungufu ktk uongozi wake ama kuna kosa kalifanya basi hakustahili kulipwa udhalilishaji huu. Huu siyo utamaduni wetu watanzania na hii si tu inamdhalilisha mhusika, bali inajenga chuki kwa ndugu, jamaa, marafiki, wananchi wa Jimbo lake na watanzania kwa ujumla dhidi ya mamlaka ya uteuzi.

Kama mtu aliteuliwa kwa heshima, akapewa majukumu fulani, basi hata siku ya kumuondoa aondolewe bila kudhalilishwa.

Uovu kama huu aliwahi kufanyiwa pia Dr. Mwigulu Nchemba kipindi cha rais kichaa. Dr. Mwigulu Nchemba alishushwa njiani akiwa safarini kuelekea Mwanza.

Tusiibomoe nchi yetu kwa tabia zetu mbaya na chuki zetu binafsi. Uongozi ni hekima

View attachment 3052842
Ni kweli kabisa inaweza ikajenga chuki kwa sababu uwaziri ni kazi ya ukoo, kwa kweli Nimekuelewa mleta mada na ukifuatilia vzr ile wizara kabisa ni ya ukoo wa akina Nape.
 
Kuna video clips zinatembea zikionesha gari ya serikali iliyo na plate namba ya waziri wa habari na mawasilno ikidondoka muda mfupi tu baada ya taarifa za kutumbuliwa kwa Nape kuwekwa mitandaoni. Wakati huo Nape ndiyo alikuwa meza kuu akigawa tuzo kama mgeni rasmi, na hata hotuba alikuwa bado hajatoa.

Hii si sawa. Hata kama alikuwa na mapungufu ktk uongozi wake ama kuna kosa kalifanya basi hakustahili kulipwa udhalilishaji huu. Huu siyo utamaduni wetu watanzania na hii si tu inamdhalilisha mhusika, bali inajenga chuki kwa ndugu, jamaa, marafiki, wananchi wa Jimbo lake na watanzania kwa ujumla dhidi ya mamlaka ya uteuzi.

Kama mtu aliteuliwa kwa heshima, akapewa majukumu fulani, basi hata siku ya kumuondoa aondolewe bila kudhalilishwa.

Uovu kama huu aliwahi kufanyiwa pia Dr. Mwigulu Nchemba kipindi cha rais kichaa. Dr. Mwigulu Nchemba alishushwa njiani akiwa safarini kuelekea Mwanza.

Tusiibomoe nchi yetu kwa tabia zetu mbaya na chuki zetu binafsi. Uongozi ni hekima

View attachment 3052842
Mleta mada mm sikulaumu ila nalaumu utamaduni unaojionesha kichwani mwako kulingana na maandishi yako haya uliyoyaandika,yawezekana ww ni Nape Nauye ukihitaji ufanyiwe ustaarabu ambao ww umekiri hadharani tena kwa watanzania wote kwamba huna,umejidhihirisha ww ni fisadi na mwizi hadharani na mwenye jeuri na kiburi na dharau kwa watanzania wote kwa kuutangazia umma wa Tanzania lkn polisi wanakuangalia tu,wao wanaweza kukamata wezi wa kuku tu,na polisi hawa hawa ambao wanalea uovu leo hii wanalia kila kukicha kwa kupewa pensheni za dharau eti Tshs 20,000,000/=kwa kulitumikia Taifa kwa miaka 30 na mbunge ambae polisi amampigania na kusimamia wizi wa kura anapata Tshs milioni 300,000,000/= pensheni kwa kukaa bungeni kwa miaka mitano(5) nani ni zwazwa hapo.Ipo siku tutaongea lugha moja.
 
Shida ni kwamba, hawa viongozi tunaowachagua sisi wenyewe wengu wao hawana msaada kwetu sisi tuliowaweka hapo walipo. Hudharau wananchi na kutojali kabisa shida zao. Siku za chaguzi zinapofika ndio huwa wanaonekana kuwa karibu na wananchi ikiwezekana kula nao chakula magengeni huku wakitegemea tutawachagua tena.
Lakini pia wanajiamini kwamba hata tusipowapigia kura wana uhakika watafanya WAFANYAVYO siku zote na watatangazwa kuwa ni washindi.
Hii ni dharau sana kwa wapiga kura.
Sasa kwanini umwonee huruma mtu adharirishae watu waziwazi akidharirishwa?? Hizi huruma kwa wasio tuhurumia zinatuponza sana ndio maana nchi haiendelei. Hatuwi wakali kwa watu tulio wapa dhamana wanapofanya ndivyo sivyo.
Pia huwezi jua, baada ya kutenguliwa huyu mtu inawezekana dereva alipokea simu kutoka juu kwamba gari irudishwe/itolewe eneo hilo isitumiwe tena na huyo jamaa.
Inawezekana pia uhusiano wa mtu huyo na dereva haukua mzuri. Hivyo hakuona kosa kumuacha mtu huyo eneo hilo akiamini kazi yake ni kumbeba mtu mwenye cheo cha Uwaziri wa Habari na si mwingine.
NB: HURUMA ZINATUPONZA SANA
 
Mlaumu aliyemtumbua.dereva hana kosa.
Ila Samia alimtegea kiutamu🤣🤣🤣
Dereva angekuwa na utu angembeba kama abiria siti ya nyuma yake kwani hadhi ya waziri ni siti ya mbele karibu na bendera. Huku nyuma hata mchepuko unakaa.
 
Kiini Cha tatizo ni Katiba mbovu ambayo imemvika Rais u-Mungu mtu, nchi badala ya kuebdeshwa kwa mifumo ya kisheria inaendeshwa kwa hisani na huduma za Rais wa nchi. Kila mtu katika nchi hii hajui wala Hana uhakika kwamba kesho kitatokea nini. Hatujui bayana kesho Rais wa nchi ataamkaje na ataamua nini juu yetu!!?
Ni lazima wa-Tanzania tukatae kabisa kuendelea kuishi maisha ya kubahatisha ya namna hii, enough is enough!
 
Kuna video clips zinatembea zikionesha gari ya serikali iliyo na plate namba ya waziri wa habari na mawasilno ikidondoka muda mfupi tu baada ya taarifa za kutumbuliwa kwa Nape kuwekwa mitandaoni. Wakati huo Nape ndiyo alikuwa meza kuu akigawa tuzo kama mgeni rasmi, na hata hotuba alikuwa bado hajatoa.

Hii si sawa. Hata kama alikuwa na mapungufu ktk uongozi wake ama kuna kosa kalifanya basi hakustahili kulipwa udhalilishaji huu. Huu siyo utamaduni wetu watanzania na hii si tu inamdhalilisha mhusika, bali inajenga chuki kwa ndugu, jamaa, marafiki, wananchi wa Jimbo lake na watanzania kwa ujumla dhidi ya mamlaka ya uteuzi.

Kama mtu aliteuliwa kwa heshima, akapewa majukumu fulani, basi hata siku ya kumuondoa aondolewe bila kudhalilishwa.

Uovu kama huu aliwahi kufanyiwa pia Dr. Mwigulu Nchemba kipindi cha rais kichaa. Dr. Mwigulu Nchemba alishushwa njiani akiwa safarini kuelekea Mwanza.

Tusiibomoe nchi yetu kwa tabia zetu mbaya na chuki zetu binafsi. Uongozi ni hekima

View attachment 3052842
"inajenga chuki kwa ndugu, jamaa, marafiki, wananchi wa Jimbo lake na watanzania kwa ujumla dhidi ya mamlaka ya uteuzi"! Nani alikuambia kuwa sisi wote tunaipenda CCM, ila ujue tonge likikudondoka liache usiliokote.
 
Back
Top Bottom