Nape kutumbuliwa ni sawa, lkn kutelekezwa na dereva akiwa bado anatoa tuzo ukumbini siyo sawa

Nape kutumbuliwa ni sawa, lkn kutelekezwa na dereva akiwa bado anatoa tuzo ukumbini siyo sawa

Ila inategemea uhusiano wake na dereva, ashindwe kumwambia njoo nikupe lifti? Alikuwa anamuendesha basi tu.
 
Nilikuwa eneo la tukio. Dereva hakumuacha bali alibadili namba ya gari to a normal one (T….DME) akaondoka naye kwa speed kali.
 
Screenshot_2024-07-22-20-53-21-1.png
 
Unadhani wote waliokuwa pale walikuwa na usafiri wao? Kuna bajaji, pikipiki, teksi au unaona hajabu yeye kupanda bodaboda.
Jibu swali langu.

NB: Swali langu langu halina mlengwa wowote
 
Nape mjinga Sana. Ni yeye kipindi Cha Magufuli alishadadia Bunge live lisitishwe na kufungua magazeti. Ila alipotishiwa bastola wananchi wakawa upande wake. Aliporusdishwa kwenye uwaziri kiburi kikatifi na kuwageuka wananchi. Very stupid idiot, asirudi Tena serikalini.
 
N kweli nape kadhalilishwa lakin dereva n mtu mdogo tu inawezekana amepewa amri kutoka juu
 
Kuna video clips zinatembea zikionesha gari ya serikali iliyo na plate namba ya waziri wa habari na mawasilno ikidondoka muda mfupi tu baada ya taarifa za kutumbuliwa kwa Nape kuwekwa mitandaoni. Wakati huo Nape ndiyo alikuwa meza kuu akigawa tuzo kama mgeni rasmi, na hata hotuba alikuwa bado hajatoa.

Hii si sawa. Hata kama alikuwa na mapungufu ktk uongozi wake ama kuna kosa kalifanya basi hakustahili kulipwa udhalilishaji huu. Huu siyo utamaduni wetu watanzania na hii si tu inamdhalilisha mhusika, bali inajenga chuki kwa ndugu, jamaa, marafiki, wananchi wa Jimbo lake na watanzania kwa ujumla dhidi ya mamlaka ya uteuzi.

Kama mtu aliteuliwa kwa heshima, akapewa majukumu fulani, basi hata siku ya kumuondoa aondolewe bila kudhalilishwa.

Uovu kama huu aliwahi kufanyiwa pia Dr. Mwigulu Nchemba kipindi cha rais kichaa. Dr. Mwigulu Nchemba alishushwa njiani akiwa safarini kuelekea Mwanza.

Tusiibomoe nchi yetu kwa tabia zetu mbaya na chuki zetu binafsi. Uongozi ni hekima

View attachment 3052842

Kuna video clips zinatembea zikionesha gari ya serikali iliyo na plate namba ya waziri wa habari na mawasilno ikidondoka muda mfupi tu baada ya taarifa za kutumbuliwa kwa Nape kuwekwa mitandaoni. Wakati huo Nape ndiyo alikuwa meza kuu akigawa tuzo kama mgeni rasmi, na hata hotuba alikuwa bado hajatoa.

Hii si sawa. Hata kama alikuwa na mapungufu ktk uongozi wake ama kuna kosa kalifanya basi hakustahili kulipwa udhalilishaji huu. Huu siyo utamaduni wetu watanzania na hii si tu inamdhalilisha mhusika, bali inajenga chuki kwa ndugu, jamaa, marafiki, wananchi wa Jimbo lake na watanzania kwa ujumla dhidi ya mamlaka ya uteuzi.

Kama mtu aliteuliwa kwa heshima, akapewa majukumu fulani, basi hata siku ya kumuondoa aondolewe bila kudhalilishwa.

Uovu kama huu aliwahi kufanyiwa pia Dr. Mwigulu Nchemba kipindi cha rais kichaa. Dr. Mwigulu Nchemba alishushwa njiani akiwa safarini kuelekea Mwanza.

Tusiibomoe nchi yetu kwa tabia zetu mbaya na chuki zetu binafsi. Uongozi ni hekima

View attachment 3052842
Huu ni Mtego kwa Upinza, wawe makini
Zile mbinu za Bao la Nkono zilizokua zikielezwa tunazozan ndo sabab yakutulbuliwa tukio hilo mkijichanganya tu kumuonea huruma nakuwakaribisha Upnzani mmeishaa,, Save the 📅
 
Inafuatana na aliishi vipi na dereva wake.

Ukiona dereva kaamua 'ubaya ubwela' jua chini kunatokota.

Hapana, hauhusiani na maisha kati ya dereva na mhusika, bali ni taratibu za kikazi. Dereva amepewa kazi ya kumwendesha waziri, hivyo akiteuliwa mwingine, analazimika kwenda haraka kwa boss mpya.
 
Angetenguliwa wapo katikatika Mikumi angemshusha? simpendi Nape lakini hoja yako ni ya hovyo

Angepelekwa eneo la karibu zaidi la makazi ya watu, ndipo atashushwa. Hata Chalamila alipotenguliwa ukuu wa mkoa, alidandia lift, akapanda kwenye noah, kurudi kwake.
 
Waziri hachagui dreva,huyo dreva ana bosi wake na ndiye alimwamuru arudishe gari ofisini na huyo TO naye alipokea maagizo, kumbuka Nape amefukuzwa kazi,ile kutenguliwa ni polite language tu.
Amefukuzwa Kazi !!😳😱
Nadhani walikuwa wanapima maji kwa mguu. !
Kazi ndio imeanza !
Naona kila aliyekuwa akipima maji kwa mguu atazolewa na maji !👍🙌
 
Utaratibu na Sheria Katika Hali kama hiyo ya kutumbuliwa ukiwa katikati ya majukumu ipoje kwenye suala usafiri?

Tangu enzi za Mwalimu Nyerere, ukitenguliwa tu, dereva anatakiwa kuondoka mara moja na kwenda kureport kwa mwajiri wake kwaajili ya kupewa maelekezo.
 
Back
Top Bottom