Nape kutumbuliwa ni sawa, lkn kutelekezwa na dereva akiwa bado anatoa tuzo ukumbini siyo sawa

Nape kutumbuliwa ni sawa, lkn kutelekezwa na dereva akiwa bado anatoa tuzo ukumbini siyo sawa

Kuna video clips zinatembea zikionesha gari ya serikali iliyo na plate namba ya waziri wa habari na mawasilno ikidondoka muda mfupi tu baada ya taarifa za kutumbuliwa kwa Nape kuwekwa mitandaoni. Wakati huo Nape ndiyo alikuwa meza kuu akigawa tuzo kama mgeni rasmi, na hata hotuba alikuwa bado hajatoa.

Hii si sawa. Hata kama alikuwa na mapungufu ktk uongozi wake ama kuna kosa kalifanya basi hakustahili kulipwa udhalilishaji huu. Huu siyo utamaduni wetu watanzania na hii si tu inamdhalilisha mhusika, bali inajenga chuki kwa ndugu, jamaa, marafiki, wananchi wa Jimbo lake na watanzania kwa ujumla dhidi ya mamlaka ya uteuzi.

Kama mtu aliteuliwa kwa heshima, akapewa majukumu fulani, basi hata siku ya kumuondoa aondolewe bila kudhalilishwa.

Uovu kama huu aliwahi kufanyiwa pia Dr. Mwigulu Nchemba kipindi cha rais kichaa. Dr. Mwigulu Nchemba alishushwa njiani akiwa safarini kuelekea Mwanza.

Tusiibomoe nchi yetu kwa tabia zetu mbaya na chuki zetu binafsi. Uongozi ni hekima

View attachment 3052842
Ungekuwa wa maana sana kama ungekuwa na nyuzi humu ukikemea yale yasiyostahili ambayo alikua akiyatenda kwan hata yeye hakuwa anafanya uugwana.
 
Kuna video clips zinatembea zikionesha gari ya serikali iliyo na plate namba ya waziri wa habari na mawasilno ikidondoka muda mfupi tu baada ya taarifa za kutumbuliwa kwa Nape kuwekwa mitandaoni. Wakati huo Nape ndiyo alikuwa meza kuu akigawa tuzo kama mgeni rasmi, na hata hotuba alikuwa bado hajatoa.

Hii si sawa. Hata kama alikuwa na mapungufu ktk uongozi wake ama kuna kosa kalifanya basi hakustahili kulipwa udhalilishaji huu. Huu siyo utamaduni wetu watanzania na hii si tu inamdhalilisha mhusika, bali inajenga chuki kwa ndugu, jamaa, marafiki, wananchi wa Jimbo lake na watanzania kwa ujumla dhidi ya mamlaka ya uteuzi.

Kama mtu aliteuliwa kwa heshima, akapewa majukumu fulani, basi hata siku ya kumuondoa aondolewe bila kudhalilishwa.

Uovu kama huu aliwahi kufanyiwa pia Dr. Mwigulu Nchemba kipindi cha rais kichaa. Dr. Mwigulu Nchemba alishushwa njiani akiwa safarini kuelekea Mwanza.

Tusiibomoe nchi yetu kwa tabia zetu mbaya na chuki zetu binafsi. Uongozi ni hekima

View attachment 3052842
Wewe ndiyo kichaa. Mjinga wewe na jitu la hovyo
 
Nape hafai kuwa hata kiongozi wa kijiji kwa sababu anaropoka ovyo na anacho kisema huwa akijuwi mpaka akosolewe mitandaoni ndipo anapo omba msamaha .Nape hafai kabisa alivyo fanyiwa ni haki yake kwani anaropoka ovyo pasipo na kuchaguwa maneno ya kuzungumza Nape anamwaga mtama kwenye kuku wengi. Nape anachosema ni ukweli mtupu kuwa CCM wakati wa uchaguzi inatumia goli la mkono kushinda uchaguzi kuna halali nusu, haramu nusu na haramu kamili alisema ukweli kwa Wananchi lakini boss wake Mama Abdul amaechukizwa kwa kauli zake Nape ndipo alipo mtumbuwa Uwaziri.

KAULI YA WAZIRI NAPE ILIYOMPONZA HII HAPA |TUTASHINDA HATA KWA BAO LA MKONO​



View:

Kumbe Nape ana makampuni matano ya simu😄

The man is so rich!
 
Angetenguliwa wapo katikatika Mikumi angemshusha? simpendi Nape lakini hoja yako ni ya hovyo
Wanapaswa kutenguliwa kwa staha, sasa unamvizia mtu ameenda kutoa tuzo alafu unamtumbulia huko huko. Alafu dereva anasepa, sio sahihi kabisa.
 
Naona lichawa la Makamba na Nape umeumia kweli waume zako kutumbuliwa
 
Huyo kumuita mwenzie KIROBOTO.
Ni udhalilishaji pia.
 
Kuna video clips zinatembea zikionesha gari ya serikali iliyo na plate namba ya waziri wa habari na mawasilno ikidondoka muda mfupi tu baada ya taarifa za kutumbuliwa kwa Nape kuwekwa mitandaoni. Wakati huo Nape ndiyo alikuwa meza kuu akigawa tuzo kama mgeni rasmi, na hata hotuba alikuwa bado hajatoa.

Hii si sawa. Hata kama alikuwa na mapungufu ktk uongozi wake ama kuna kosa kalifanya basi hakustahili kulipwa udhalilishaji huu. Huu siyo utamaduni wetu watanzania na hii si tu inamdhalilisha mhusika, bali inajenga chuki kwa ndugu, jamaa, marafiki, wananchi wa Jimbo lake na watanzania kwa ujumla dhidi ya mamlaka ya uteuzi.

Kama mtu aliteuliwa kwa heshima, akapewa majukumu fulani, basi hata siku ya kumuondoa aondolewe bila kudhalilishwa.

Uovu kama huu aliwahi kufanyiwa pia Dr. Mwigulu Nchemba kipindi cha rais kichaa. Dr. Mwigulu Nchemba alishushwa njiani akiwa safarini kuelekea Mwanza.

Tusiibomoe nchi yetu kwa tabia zetu mbaya na chuki zetu binafsi. Uongozi ni hekima

View attachment 3052842
Huyo dereva unamchukulia poa sana SI ndio!!?

Dr Mpango alikua na mtumishi pale kwake kwa muda mrefu sana,alipofariki akashangaa anapigiwa mizinga na gwaride la kijeshi kabisa!

Hakuficha mshangao wake "waheshimuni sana watumishi na madereva mlionao kwenye ofisi za serikali"

Huyo dereva anaweza akawa chanzo kikuu cha taarifa za mtumbuliwa,na alifuata maelekezo aliyopewa hajafanya Kwa bahati mbaya!!

Nadhani ndio maana nilisoma tetesi za mtumbuliwa kuumwa Presha!!

Mawazo huru ya mlipa kodi asiekwepa!!

Mungu ibariki Tanzania niipendayo sana!
 
Hapa unatetea tu ujinga. Huyu waziri katumbuliwa, lakini bado anawajibika kurudi ofisini kukabidhi ofisi na mali nyingine alizokabidhiwa. Kwa hadhi yake sio sahihi kuachwa ukumbini/barabarani bila usafiri. Jamii yetu inapaswa kustaarabika na sio kuwa jamii ya kudhalilishana. Wengine pia mna wivu wa kike au wa kimasikini ukiona mtu kateleza unafirahi na kusema acha wote tule kisamvu. Pengine hutawahi kufika alipofika. Anyways, maccm yatajuana huko.
Natetea ujinga au hao kina Nape ndiyo wanataka ujinga? Ni hivi: Huu ni utaratibu wa kijinga sana na haikutakiwa kuwa hivyo. Infact mimi kwanza sikuwa nimeamini kuwa anaweza kufanyiwa namna hiyo. Ila sasa: amefanyiwa hivi kwa sababu nchi yetu viongozi hawajali na wanaendesha nchi kama wanavyotaka. Kosa la nani? Hao kina Nape uliwahi kuwasikia wanajadili au kutaka mabadiliko? Kwa nini wanapokuwa kwenye madaraka wanajisahau na kushabikia uongozi wa watu kujiamulia wenyewe? Huoni hapa amevuna alichopanda?
 
Hii ni Itifaki na itabaki hivyo. Hata Rais anapokabidhi madaraka utanuana ADC wake anahama position mara moja..!
 
Back
Top Bottom