Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
Hata atumbuliwe au aachwe hana msaada kwangu atajua mwenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halijielewi hili jituUbinafsi umekujaa hadi kwenye nyayo zako.
Unakemea udhalilishaji huku ukidhalilisha marehemu!
Aliyekwambia katiba ya JMTZ inaruhusu wagonjwa wa akili yaani vichaa kuruhusiwa kuongoza Taifa ni nani?
Acha upumbaf na chuki zako wakati ukiongelea mambo ya maana.
Hamjawahi kuona waziri anapigwa pingu?Labda pia hapakuwa na mawasiliano mazuri au yenye urafiki kati yake na dereva wake
Unadhani wote waliokuwa pale walikuwa na usafiri wao? Kuna bajaji, pikipiki, teksi au unaona hajabu yeye kupanda bodaboda.Utaratibu na Sheria Katika Hali kama hiyo ya kutumbuliwa ukiwa katikati ya majukumu ipoje kwenye suala usafiri?
Ungekuwa wa maana sana kama ungekuwa na nyuzi humu ukikemea yale yasiyostahili ambayo alikua akiyatenda kwan hata yeye hakuwa anafanya uugwana.Kuna video clips zinatembea zikionesha gari ya serikali iliyo na plate namba ya waziri wa habari na mawasilno ikidondoka muda mfupi tu baada ya taarifa za kutumbuliwa kwa Nape kuwekwa mitandaoni. Wakati huo Nape ndiyo alikuwa meza kuu akigawa tuzo kama mgeni rasmi, na hata hotuba alikuwa bado hajatoa.
Hii si sawa. Hata kama alikuwa na mapungufu ktk uongozi wake ama kuna kosa kalifanya basi hakustahili kulipwa udhalilishaji huu. Huu siyo utamaduni wetu watanzania na hii si tu inamdhalilisha mhusika, bali inajenga chuki kwa ndugu, jamaa, marafiki, wananchi wa Jimbo lake na watanzania kwa ujumla dhidi ya mamlaka ya uteuzi.
Kama mtu aliteuliwa kwa heshima, akapewa majukumu fulani, basi hata siku ya kumuondoa aondolewe bila kudhalilishwa.
Uovu kama huu aliwahi kufanyiwa pia Dr. Mwigulu Nchemba kipindi cha rais kichaa. Dr. Mwigulu Nchemba alishushwa njiani akiwa safarini kuelekea Mwanza.
Tusiibomoe nchi yetu kwa tabia zetu mbaya na chuki zetu binafsi. Uongozi ni hekima
View attachment 3052842
Wewe ndiyo kichaa. Mjinga wewe na jitu la hovyoKuna video clips zinatembea zikionesha gari ya serikali iliyo na plate namba ya waziri wa habari na mawasilno ikidondoka muda mfupi tu baada ya taarifa za kutumbuliwa kwa Nape kuwekwa mitandaoni. Wakati huo Nape ndiyo alikuwa meza kuu akigawa tuzo kama mgeni rasmi, na hata hotuba alikuwa bado hajatoa.
Hii si sawa. Hata kama alikuwa na mapungufu ktk uongozi wake ama kuna kosa kalifanya basi hakustahili kulipwa udhalilishaji huu. Huu siyo utamaduni wetu watanzania na hii si tu inamdhalilisha mhusika, bali inajenga chuki kwa ndugu, jamaa, marafiki, wananchi wa Jimbo lake na watanzania kwa ujumla dhidi ya mamlaka ya uteuzi.
Kama mtu aliteuliwa kwa heshima, akapewa majukumu fulani, basi hata siku ya kumuondoa aondolewe bila kudhalilishwa.
Uovu kama huu aliwahi kufanyiwa pia Dr. Mwigulu Nchemba kipindi cha rais kichaa. Dr. Mwigulu Nchemba alishushwa njiani akiwa safarini kuelekea Mwanza.
Tusiibomoe nchi yetu kwa tabia zetu mbaya na chuki zetu binafsi. Uongozi ni hekima
View attachment 3052842
Hakika.... Watu wanapaswa kujua hili.... Gari ni ya waziri...Hiyo Gari inabeba Waziri na Siyo vinginevyo
Pesa/Nauli.maana ni Sapraiz ilikuwaBolt zipo
Nape hafai kuwa hata kiongozi wa kijiji kwa sababu anaropoka ovyo na anacho kisema huwa akijuwi mpaka akosolewe mitandaoni ndipo anapo omba msamaha .Nape hafai kabisa alivyo fanyiwa ni haki yake kwani anaropoka ovyo pasipo na kuchaguwa maneno ya kuzungumza Nape anamwaga mtama kwenye kuku wengi. Nape anachosema ni ukweli mtupu kuwa CCM wakati wa uchaguzi inatumia goli la mkono kushinda uchaguzi kuna halali nusu, haramu nusu na haramu kamili alisema ukweli kwa Wananchi lakini boss wake Mama Abdul amaechukizwa kwa kauli zake Nape ndipo alipo mtumbuwa Uwaziri.
KAULI YA WAZIRI NAPE ILIYOMPONZA HII HAPA |TUTASHINDA HATA KWA BAO LA MKONO
View:
Wanapaswa kutenguliwa kwa staha, sasa unamvizia mtu ameenda kutoa tuzo alafu unamtumbulia huko huko. Alafu dereva anasepa, sio sahihi kabisa.Angetenguliwa wapo katikatika Mikumi angemshusha? simpendi Nape lakini hoja yako ni ya hovyo
Sasa kama sheria iko hivyo, inapaswa watumbuliwe wakiwa kwenye mazingira rafiki, kutumbuliwa isiwe ni suala la dharulambona ndio huwaga ndo utaratibu hata kama yupo mikumi anakuacha !!
sasa anakupakia kama nani
Huyo dereva unamchukulia poa sana SI ndio!!?Kuna video clips zinatembea zikionesha gari ya serikali iliyo na plate namba ya waziri wa habari na mawasilno ikidondoka muda mfupi tu baada ya taarifa za kutumbuliwa kwa Nape kuwekwa mitandaoni. Wakati huo Nape ndiyo alikuwa meza kuu akigawa tuzo kama mgeni rasmi, na hata hotuba alikuwa bado hajatoa.
Hii si sawa. Hata kama alikuwa na mapungufu ktk uongozi wake ama kuna kosa kalifanya basi hakustahili kulipwa udhalilishaji huu. Huu siyo utamaduni wetu watanzania na hii si tu inamdhalilisha mhusika, bali inajenga chuki kwa ndugu, jamaa, marafiki, wananchi wa Jimbo lake na watanzania kwa ujumla dhidi ya mamlaka ya uteuzi.
Kama mtu aliteuliwa kwa heshima, akapewa majukumu fulani, basi hata siku ya kumuondoa aondolewe bila kudhalilishwa.
Uovu kama huu aliwahi kufanyiwa pia Dr. Mwigulu Nchemba kipindi cha rais kichaa. Dr. Mwigulu Nchemba alishushwa njiani akiwa safarini kuelekea Mwanza.
Tusiibomoe nchi yetu kwa tabia zetu mbaya na chuki zetu binafsi. Uongozi ni hekima
View attachment 3052842
Kumbe na wewe huwa una akili dogo ukiacha mambo yako 😀😀🤣🤣Angetenguliwa wapo katikatika Mikumi angemshusha? simpendi Nape lakini hoja yako ni ya hovyo
Natetea ujinga au hao kina Nape ndiyo wanataka ujinga? Ni hivi: Huu ni utaratibu wa kijinga sana na haikutakiwa kuwa hivyo. Infact mimi kwanza sikuwa nimeamini kuwa anaweza kufanyiwa namna hiyo. Ila sasa: amefanyiwa hivi kwa sababu nchi yetu viongozi hawajali na wanaendesha nchi kama wanavyotaka. Kosa la nani? Hao kina Nape uliwahi kuwasikia wanajadili au kutaka mabadiliko? Kwa nini wanapokuwa kwenye madaraka wanajisahau na kushabikia uongozi wa watu kujiamulia wenyewe? Huoni hapa amevuna alichopanda?Hapa unatetea tu ujinga. Huyu waziri katumbuliwa, lakini bado anawajibika kurudi ofisini kukabidhi ofisi na mali nyingine alizokabidhiwa. Kwa hadhi yake sio sahihi kuachwa ukumbini/barabarani bila usafiri. Jamii yetu inapaswa kustaarabika na sio kuwa jamii ya kudhalilishana. Wengine pia mna wivu wa kike au wa kimasikini ukiona mtu kateleza unafirahi na kusema acha wote tule kisamvu. Pengine hutawahi kufika alipofika. Anyways, maccm yatajuana huko.