Tumesikia usisahau kuondoka na mzoga kwenda nao rundo"Nilipokosa ubunge wa jimbo la Ubungo, Mzee Membe akanifata na kuniambia tulia kijana wangu. Mwaka 2015 nitakuachia jimbo la Mtama mimi nitakuwa namaliza muda wangu.
Kutokana na ukaribu wa Mzee Membe na Rais Kikwete nikapewa Ukuu wa Wilaya ya Masasi ambapo ni karibu na jimbo la Mtama" - Mh. Nape Nnauye akimuelezea Mh. membe.
Umejifunza ni nini hapo? Tafuta connection kwa hali na mali
Chunga mdomo maanake unafanyiwa vetting tayari. Ukilamba cheo kwenye serikali ya Mama usisahau kupita humu mara moja moja kusalimia. Usije kuwa km wenzio kina Kitila Mkumbo na Wilbroad Slaaπππππ Acha kunishambulia kwa lugha za dharau utafikiri Mimi nimesema natafuta U DC hapa,Hata hivyo Nakusamehe bure maana Mimi Ni mtu wa watu nayependa amani na watu wote
Huko kwenu US nako bila shaka ipo.Inaitwa nepotism!
Sidhani kwani Moses Nnauye alikuwa active sana enzi za Nyerere akiwa kanali na mhamasishaji (kamisaa) wa jeshi na na baadaye akastaafu enzi za Mzee Mwinyi akiwa Brigedia, cheo alichopata baada ya Vita ya Kagera ambapo makanali wengi walipandishwa kuwa mabrigedia. Kabla ya vita tulikuwa na mbrigedi wasiozidi watano. Sasa ukifuatilia historia ya Membe, inaonyesha kuwa enzi ambazo Moses Nnauye akiwa active kwenye politics, yeye ama alikuwa ni mtu junior sana na sehemu ya muda huo ndipo alipokuwa masomoni. Ila kwa sababu ya "nepotism" inawezekana alimjua kama "mtu wa kwetu" Mtama, basi.Hivi membe aliwai fanya kazi na baba yake nape?
Kwetu ni Tabora. Kitamaduni hatukuwa nayo ila siku hizi ipo kisiasa!Huko kwenu US nako bila shaka ipo.
Mwendo wa Tanazia itanifanyia nini na siyo nitaifanyia nini TanzaniaKutokana na ukaribu wa Mzee Membe na Rais Kikwete nikapewa Ukuu wa Wilaya ya Masasi ambapo ni karibu na jimbo la Mtama" - Mh. Nape Nnauye akimuelezea Mh. membe.
Nakubaliana naweIla kwa sababu ya "nepotism" inawezekana alimjua kama "mtu wa kwetu" Mtama, basi.
Huyo mwamba anadhalilisha jina la "Lucas"Hivyo ndio ukuu wa wilaya unavyopatikana nashangaa Lucas Mwashambwa anazungusha wo wo wo tu huku jf
OK sawa.....Sidhani kwani Moses Nnauye alikuwa active sana enzi za Nyerere akiwa kanali na mhamasishaji (kamisaa) wa jeshi na na baadaye akastaafu enzi za Mzee Mwinyi akiwa Brigedia, cheo alichopata baada ya Vita ya Kagera ambapo makanali wengi walipandishwa kuwa mabrigedia. Kabla ya vita tulikuwa na mbrigedi wasiozidi watano. Sasa ukifuatilia historia ya Membe, inaonyesha kuwa enzi ambazo Moses Nnauye akiwa active kwenye politics, yeye ama alikuwa ni mtu junior sana na sehemu ya muda huo ndipo alipokuwa masomoni. Ila kwa sababu ya "nepotism" inawezekana alimjua kama "mtu wa kwetu" Mtama, basi.
Unapewa mbinu unakasirika,haya endelea kuandika uchawa wako utajichosha buuure.πππππ Acha kunishambulia kwa lugha za dharau utafikiri Mimi nimesema natafuta U DC hapa,Hata hivyo Nakusamehe bure maana Mimi Ni mtu wa watu nayependa amani na watu wote
Kauli kama yake Nape , basi imejibu maswali mengi ,kwamba no connection no job , Huyu bwana Membe kaniumiza sana ,sikuwahi kua karibu nae , but Nape najua umeumia ila chagua maneno ya kutumia"Nilipokosa ubunge wa jimbo la Ubungo, Mzee Membe akanifata na kuniambia tulia kijana wangu. Mwaka 2015 nitakuachia jimbo la Mtama mimi nitakuwa namaliza muda wangu.
Kutokana na ukaribu wa Mzee Membe na Rais Kikwete nikapewa Ukuu wa Wilaya ya Masasi ambapo ni karibu na jimbo la Mtama" - Mh. Nape Nnauye akimuelezea Mh. membe.
Umejifunza ni nini hapo? Tafuta connection kwa hali na mali
Hata kule ufipani? Watake radhi tafadhali!