Nape: Membe alinisaidia kwa Rais Kikwete nikapewa u-DC

Nape: Membe alinisaidia kwa Rais Kikwete nikapewa u-DC

Tunasema kila siku humu U-DC ni kazi za fadhila tu hazina maana yoyote
Kweli katiba mpya iweke wazi nafasi zote za kazi nchini ziombwe na waajiriwe watu kutokana na sifa zao. Mkapa aliweka ile tume alafu JK akaiondoa kwa kejeli kwamba nafasi za serikalini huwezi kuomba ila unachaguliwa au kuteuliwa nk mimi najua washikaji walikuwa wengi hivyo ilibidi ile tume ifutwe na mtendaji mkuu akastaafishwa
 
Hivyo ndio ukuu wa wilaya unavyopatikana nashangaa Lucas Mwashambwa anazungusha wo wo wo tu huku jf
Umenifanya nicheke sana huku lingusenguse!!!,ungekua jirani Nami ningekualika kwa matembezi ya asubuhi kwenye vitindi vya ulanzi, hewa inakua imetulia, ni sauti za ndege tu zinazosikika na unapata experience ya ku share mbeta na ndege, karibu sana mkuu
 
"Nilipokosa ubunge wa jimbo la Ubungo, Mzee Membe akanifata na kuniambia tulia kijana wangu. Mwaka 2015 nitakuachia jimbo la Mtama mimi nitakuwa namaliza muda wangu.

Kutokana na ukaribu wa Mzee Membe na Rais Kikwete nikapewa Ukuu wa Wilaya ya Masasi ambapo ni karibu na jimbo la Mtama" - Mh. Nape Nnauye akimuelezea Mh. membe.

Umejifunza ni nini hapo? Tafuta connection kwa hali na mali
Do kuna watu hawana aibu kabisa
 
"Nilipokosa ubunge wa jimbo la Ubungo, Mzee Membe akanifata na kuniambia tulia kijana wangu. Mwaka 2015 nitakuachia jimbo la Mtama mimi nitakuwa namaliza muda wangu.

Kutokana na ukaribu wa Mzee Membe na Rais Kikwete nikapewa Ukuu wa Wilaya ya Masasi ambapo ni karibu na jimbo la Mtama" - Mh. Nape Nnauye akimuelezea Mh. membe.

Umejifunza ni nini hapo? Tafuta connection kwa hali na mali
The dogs are vomiting the shameful shits
 
Nani anamjua nani!?

Keki ya Taifa inaliwa na wachache.

Babako alikuwa Nani nchi hii upewe ulaji.
 
Hizi kazi za kupeana ndio mwisho we tu naambulia viongozi vilaza hapa, nchi kinazidi zama kwenye bahati ya matope.
 
"Nilipokosa ubunge wa jimbo la Ubungo, Mzee Membe akanifata na kuniambia tulia kijana wangu. Mwaka 2015 nitakuachia jimbo la Mtama mimi nitakuwa namaliza muda wangu.

Kutokana na ukaribu wa Mzee Membe na Rais Kikwete nikapewa Ukuu wa Wilaya ya Masasi ambapo ni karibu na jimbo la Mtama" - Mh. Nape Nnauye akimuelezea Mh. membe.

Umejifunza ni nini hapo? Tafuta connection kwa hali na mali
Halafu hizi kauli za kupeana u dc, uwazir, ukuu wa mkoa nazichukia sana. Bora katika katiba ijayo ama zifutwe hizo nafasi au watu waombe na wapimwe kama wana uwezo na siyo kupeana. Haifai kabisa.
 
Mbona ipo wazi kabisa kama ya mbuzi...Nape bila kubebwa bebwa ungekuta ni dereva bodaboda tu huko Lindi.
kuna watu wanauwezo mkubwa mara 100 zaidi yake lakini ni nobody tu hapa bongo!.
Lindi alipenda tu kugombea ubunge. Nape kwao na kwa mamaake alikokulia nankusomea ni Ngudu, Kwimba mkoani Mwanza. Kwa kifupi ni Sukuma Gang aliyehasi!!!!!
 
Back
Top Bottom