Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli,na kuanzia wakati wa Kikwete ndio heshima ya ma-DC ilianza kuporomoka,nakumbuka David Kafulila(Tumbili) aliwahi kupata kesi mahakamani ya kumwambia DC mmoja kwenye jimbo lake kwamba "Ndio tatizo la raisi kuchagua DC mwenye hadhi sawa na changudoa"Kweli katiba mpya iweke wazi nafasi zote za kazi nchini ziombwe na waajiriwe watu kutokana na sifa zao. Mkapa aliweka ile tume alafu JK akaiondoa kwa kejeli kwamba nafasi za serikalini huwezi kuomba ila unachaguliwa au kuteuliwa nk mimi najua washikaji walikuwa wengi hivyo ilibidi ile tume ifutwe na mtendaji mkuu akastaafishwa
Huyu nepi awe anakaa kimya tu sumtymz, anazamisha boti sana [emoji38]Tunasema kila siku humu U-DC ni kazi za fadhila tu hazina maana yoyote
Ulikuwa hujui eeh! Mwenda zake alisema hawezi kumpa uongozi mtu ambaye hamfahamu vizuri, wenyewe waliokaribu na mteuaji wakiona nafasi iko wazi wanaanza kutuma vimemo.Kumbe UONGOZI yanapeana
Kama kuna aliyekuelewa ulichoandika basi naomba bani toka jfSidhani kwani Moses Nnauye alikuwa active sana enzi za Nyerere akiwa kanali na mhamasishaji (kamisaa) wa jeshi na na baadaye akastaafu enzi za Mzee Mwinyi akiwa Brigedia, cheo alichopata baada ya Vita ya Kagera ambapo makanali wengi walipandishwa kuwa mabrigedia. Kabla ya vita tulikuwa na mbrigedi wasiozidi watano. Sasa ukifuatilia historia ya Membe, inaonyesha kuwa enzi ambazo Moses Nnauye akiwa active kwenye politics, yeye ama alikuwa ni mtu junior sana na sehemu ya muda huo ndipo alipokuwa masomoni. Ila kwa sababu ya "nepotism" inawezekana alimjua kama "mtu wa kwetu" Mtama, basi.
Hukuelewa nini: lugha haikueleweka au content ndiyo haielewiki, na kwa nini.Kama kuna aliyekuelewa ulichoandika basi naomba bani toka jf
Kama ni ubodaboda Nape angeufanyia Bukumbi MwanzaMbona ipo wazi kabisa kama ya mbuzi...Nape bila kubebwa bebwa ungekuta ni dereva bodaboda tu huko Lindi.
kuna watu wanauwezo mkubwa mara 100 zaidi yake lakini ni nobody tu hapa bongo!.
Unamjua Doto James?Hii tabia JPM alianza kuishughulikia ila sasa imeanza kurudi kwa kasi.
Connection zetu ni za bia, utasikia njoo kitambaa cheupe upige mbili tatuTusiokuwa na connection tufanyeje? Tz ya Leo mambo yote ni connection, ole wa mtoto wa mkulima.
Amekuwa mzoga KWENDAZAKE sasaVijana acheni kauli chafu zina gharama yake kubwa!
Mzoga?Membe huyu?
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Naona Nape akikomba hapa msibani"Nilipokosa ubunge wa jimbo la Ubungo, Mzee Membe akanifata na kuniambia tulia kijana wangu. Mwaka 2015 nitakuachia jimbo la Mtama mimi nitakuwa namaliza muda wangu.
Kutokana na ukaribu wa Mzee Membe na Rais Kikwete nikapewa Ukuu wa Wilaya ya Masasi ambapo ni karibu na jimbo la Mtama" - Mh. Nape Nnauye akimuelezea Mh. membe.
Umejifunza ni nini hapo? Tafuta connection kwa hali na mali
Kaka mimi wewe ndo DC wangu😆😆😆😆😅 Acha kunishambulia kwa lugha za dharau utafikiri Mimi nimesema natafuta U DC hapa,Hata hivyo Nakusamehe bure maana Mimi Ni mtu wa watu nayependa amani na watu wote
Hivi Bukumbi ipo mkoa wa Mwanza? Mimi naijua ya mkoa wa TaboraKama ni ubodaboda Nape angeufanyia Bukumbi Mwanza
Lucas mwashambwaHivyo ndio ukuu wa wilaya unavyopatikana nashangaa Lucas Mwashambwa anazungusha wow wow wow tu huku jf