bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,794
- 7,551
Kwani ni nani asiyechumia tumbo?Nape ni mchumia tumbo
Tunatofautiana mbinu tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani ni nani asiyechumia tumbo?Nape ni mchumia tumbo
Genta anafanana na oscar oscarAu ndio genta nn mnk huwenda ikawa sijawai kumzikia genta akimoonda nape
Mama mwenyewe yumo humuTunatishana Mno Ndugu Zangu
Mbona Wapo Wengi Sana Viongozi Ila Wana Login Hawachangii Wanasoma
Wanachangia sana sema kwavile huwajui tu. Me nawafaham watatu niwachangiaji wazuri sanaTunatishana Mno Ndugu Zangu
Mbona Wapo Wengi Sana Viongozi Ila Wana Login Hawachangii Wanasoma
Anajiitaje?Mama mwenyewe yumo humu
Mbona ID ya Nape Nnauye ipo humu tangu 2012!Angekuwa ana ngozi ngumu, asingetumia fake ID.
Mbona twiter ana block kila anaye mkosoa?Waziri wa Mawasiliano ambaye ni mgeni rasmi wa kutoa zawadi za stories of change amesema yeye ni member wa Jamii Forums.
Amesema tofauti na wengine yeye ana ngozi ngumu ya kustahimili matusi. Na wakati mwingine huwa anayasoma kabla ya kulala.
Possibly Nape anatumia ID ambayo haijulikani so kuweni makini mnapotukana watu.
Nafuatilia youtube
Hivi Juliana alipotelea wapi? Dah long time sanaKama kweli ana ngozi ngumu, atutajie ID yake humu! Maana wenzake akina Zitto, na Mwigulu pumzi zimekata! Wengine akina Juliana Shonza, hata hawajulikani waliko!
Au ndiyo huyu nanihii huyu mwenye hii ID hapa........!!!
HeheheheWaziri wa Mawasiliano ambaye ni mgeni rasmi wa kutoa zawadi za stories of change amesema yeye ni member wa Jamii Forums.
Amesema tofauti na wengine yeye ana ngozi ngumu ya kustahimili matusi. Na wakati mwingine huwa anayasoma kabla ya kulala.
Possibly Nape anatumia ID ambayo haijulikani so kuweni makini mnapotukana watu.
Nafuatilia youtube
Faiza level ingine ile. She is very smart ukiacha fanatism.Bi. Tozo yupo humu na ID's zake ni Hangaya the Chief pia FaizaFoxy ambayo anaitumia pale zinapotokea issue zinazowahusu muhammadan'
Kwahiyo mnapomtukana na yeye kuyasoma hayo matusi kupitia ID fake automaticaly matusi yanakuwa hayamuhusu?Angekuwa ana ngozi ngumu, asingetumia fake ID.
Tuwe makini ili iweje sasaWaziri wa Mawasiliano ambaye ni mgeni rasmi wa kutoa zawadi za stories of change amesema yeye ni member wa Jamii Forums.
Amesema tofauti na wengine yeye ana ngozi ngumu ya kustahimili matusi. Na wakati mwingine huwa anayasoma kabla ya kulala.
Possibly Nape anatumia ID ambayo haijulikani so kuweni makini mnapotukana watu.
Nafuatilia youtube
Post ya kwanza tayari ni tusi. JF kiboko yao 🤣🤣🤣Nape ni mchumia tumbo
Ukiona mtu amekataliwa na JPM ujue huyo ni takatakaNape bhna mwanzo alivyo fukuzwa na jpm nilimuone huruma Sana [emoji38] bas bhna mungu si kaamua ugomvi jpm akaondoka wengi tukajuwa lzm arudi wizarani.jamaa alivyo rud alikuta gb 1 Ni buku hatujaa kaa sawa gb moja ikawa buku 3 hatujakaa sawa amekuwa msemaji wa makampuni hayo hayo ya simu yanayotunjonya vilivyo
Kwa kifupi sna mh waziri umeniudh Sanaa na mbya Zaid umesahau uliko toka