Nape: Mradi wa umeme wa Stiegler's Gorge haupo kwenye ilani, sie tulinadi mradi wa gesi. Huu tumedandia tu

Nape: Mradi wa umeme wa Stiegler's Gorge haupo kwenye ilani, sie tulinadi mradi wa gesi. Huu tumedandia tu

Huyu sasa anatafuta kufukuzwa kwenye chama...

Hajui kuwa kupishana Sera na Mwenyekiti wake ni kosa la jinai??
Nadhani kinyume chake ni sahihi, mwenyekiti anapishana na sera za Chama!

Vv
 
Dikteta ni yule ambae amebadili katiba ya Chadema na kufanya nafasi ya mwenyekiti wa chama haina ukomo wa uongozi. Dikteta niyule ambae pesa za ruzuku za chadema anajilipa madeni ambayo hayaeleweki na hayana mwisho.Dikteta ni yule nafasi za Viti maalumu anazigawa kwa rushwa ya ngono.
Kwenye ripot ya mkaguzi mkuu wa mahesabu nchini imeandika hayo au ni ww na familia yako mmejipa kazi ya U-CAG
 
[HASHTAG]#KutokaBungeni[/HASHTAG]: Waziri wa zamani na Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye (CCM) ameishangaa Serikali kuweka nguvu nyingi kwenye mradi wa umeme wa Stigler’s George ambao haupo kwenye Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya Mwaka 2015 na kuachana na umeme wa gesi ambao waliunadi wakati wa kampeni.
Tuoneshe kwenye ilani palipoandikwa KUZUIA BUNGE LIVE!!
 
[HASHTAG]#KutokaBungeni[/HASHTAG]: Waziri wa zamani na Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye (CCM) ameishangaa Serikali kuweka nguvu nyingi kwenye mradi wa umeme wa Stigler’s George ambao haupo kwenye Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya Mwaka 2015 na kuachana na umeme wa gesi ambao waliunadi wakati wa kampeni.

Kinachomtesa Nape sio kupokonywa uwaziri, Kinachomtesa Nape ni ile dhambi ya kuzima Bunge live...Moyo unamsuta kila kukicha sasa anatafuta huruma za wananchi kujisafisha na huo uovu. Nape kama kuna dhambi ambayo watanzania hawatakusamehe ni hii ya kuzima Bunge live...Hata uongee kizuri vip bado utaonekana like a shit holeeee.
 
Kingunge (RIP) alishawah kusema huyu alistahili kuwa.......... hatukusikia, na huyu bwana mdogo ndio aliyetusababishia yote haya. Tuache wafu wakazikane, historia itawahukumu tu kama sio wao basi vizazi vyao. (Karma)
 
Kwani kuhamia Dom ipo kwenye ilani, Nape anazidi wehuka.
Hii la hiyo stigler ilikuwa planned since Nyerere era, likewise kuhamia Dom.
Bora lakini kaonyesha his real colors
KUHAMIA DODOMA IPO KATIKA kila ilani ya CCM toka enzi ya Mkapa so JPM hajakosea. Pia kuanzisha kitu kipya ambacho kinamaslahi kwa taifa sio kosa hata kama hakipo kwenye ilani so hapo pia JPM hajakosea. Ila kama tumetelekeza mradi wa gas then we are making a very big mistake
 
Mzee wa goli la mkono asidhani tumemsahau , kwanza nna uchungu wa goli la mkono , pili bunge live , hivyo sitamsahau milele mimi na wajukuu zangu na vitukuu na kila atakayezaliwa namhadithia kudadeki hala kila atachokiongea sitakaa nimwamini hata kidogo in short sitamwamini mnafiki tena milele
 
Kapumbavu kamekurupuka tena angesema Kuna ubaya gani na hiyo miradi. Ilani si msahafu bana.
Kabisa mkuu ilani sio msahafu.

Kupenda kusikika na kuonekana mjuaji sometime unaongea pumba. Nape wengine hatuitaji ilani imesemaje tunachojari na kuhitaji ni maendeleo.
 
Ilani ipo kichwani mwa mtu asiyejaribiwa. Anavyoamka siku hiyo ndiyo ilani.
 
Tumechoka na zilipendwa hizo! Nyimbo zilizochuja unatuwekea hapa? Nenda nawe ukaliwe upewe viti maalumu!
Mtu mwenyewe anaitwa redio, unatarajia nini. Kachanganyiwa. Frequency yake haieleweki, station inalia shaaaaa, haikamati [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
KUHAMIA DODOMA IPO KATIKA kila ilani ya CCM toka enzi ya Mkapa so JPM hajakosea. Pia kuanzisha kitu kipya ambacho kinamaslahi kwa taifa sio kosa hata kama hakipo kwenye ilani so hapo pia JPM hajakosea. Ila kama tumetelekeza mradi wa gas then we are making a very big mistake
Basi ata stiegler gorge ilikuwepo tokea enzi za Nyerere pia mkuu.

Nape kaonesha dhahiri ana chuki dhidi ya Mheshimiwa tokea afutwe Uwaziri.
 
[HASHTAG]#KutokaBungeni[/HASHTAG]: Waziri wa zamani na Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye (CCM) ameishangaa Serikali kuweka nguvu nyingi kwenye mradi wa umeme wa Stigler’s George ambao haupo kwenye Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya Mwaka 2015 na kuachana na umeme wa gesi ambao waliunadi wakati wa kampeni.
Kama katoa comments hii Nape hafai
Yaani 2100MW anaona ndogo na anashindwa kuelewa ni kwanini waliandika ilani ya Tanzania ya viwanda ?

NDIO , haikuwemo kwenye ilani ila ilani za nyuma na kuwa kipaumbele cha Taifa since 1970s
 
Back
Top Bottom