Idd Ninga
JF-Expert Member
- Nov 18, 2012
- 5,497
- 4,775
Napeee kwani kama jambo halipo kwenye ilani hamuwezi lifanya ?
mbona yapo ya kwenye ilani mengi hamkuyafanya enzi ya Kikwete ?
wapi katiba mpya ?
wapi maisha bora kwa kila mtanzania (mliahidi aise) ?
wapi mahakama ya kadhi (au mlibahatisha kuandika ) ?
kama ni lazima kila kilichopo katika ila kifanyike,basi hamasisha watu kuhusu mahakama ya mafisadi.
mbona yapo ya kwenye ilani mengi hamkuyafanya enzi ya Kikwete ?
wapi katiba mpya ?
wapi maisha bora kwa kila mtanzania (mliahidi aise) ?
wapi mahakama ya kadhi (au mlibahatisha kuandika ) ?
kama ni lazima kila kilichopo katika ila kifanyike,basi hamasisha watu kuhusu mahakama ya mafisadi.