Nape, muda mwingi unaotumia kumsema vibaya Hayati Magufuli ungeutumia kupigania Tozo za Intaneti na Miamala

Basi Nape alienda kukagua uharibu uliofanywa Clouds, kitulize.
Unaelewa maana ya uchunguzi lakini?

Kukagua siyo kuchunguza

Ni kama Wewe unapoingia Kilabuni hapo Rau madukani kuonja onja Mbege Ndio ukaguzi ila Uchunguzi lazima aje mkemia!
 
Shetani kila akisimama alimsema mtangulizi wake ns walikua pamoja sasa kwann asisemwe yeye.kwendraaaaa hukooo
 
Nape naye ni mpumbavu tu japo naunga mkono kumsema nduli magufuli.
 
Kwendraaaaa huko marehemu akafie kwema huko alikoo
 
Mwendazaķe aliwahi kusema usije na mavi yako mjini.
 
Nape ni mpiga dili kama wengine. Imagine unanua GB 1.5 baada ya saa inakuja msg ya 75% usage. Ukicheki matumiz ya kawaida tu.
Halafu lilivyo Juha linaacha Kutupigania katika hili lenyewe Kutwa tu Kumsimanga Hayati Magufuli na Kumfumbia Mafumbo kama Watoto wa Kike.
 
Nape ukipitia Uzi huu, ujijue wewe ni kopo tupu na mwanasiasa uliyepoa kama alivyokuwa Lazaro Nyalandu, huna Lolote uliyofanya kwenye hiyo nafasi Kila siku makampuni ya simu wanajipandishia bei za bando wanavyotaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…