Nape, muda mwingi unaotumia kumsema vibaya Hayati Magufuli ungeutumia kupigania Tozo za Intaneti na Miamala

Nape, muda mwingi unaotumia kumsema vibaya Hayati Magufuli ungeutumia kupigania Tozo za Intaneti na Miamala

Baba wa Watu ameshalala tokea mwaka Juzi (2021) lakini cha Kushangaza (tena ukiwa Mtoto wa Kiume) Wewe kila Siku ni Kumsengenya mara Kumfumbia Mafumbo tabia ambazo tumezoea kuona zikifanya na Dada zetu (Watoto wa Kike)

In short Unaboa japo wenye akili tunajua unafanya hivyo (Kumsema vibaya Hayati Magufuli) Kimkakati kabisa ili umfurahishe boss wako (Rais Samia) ambaye hakuupenda Uongozi wa aliyekuwa boss wake japo Kimaamuzi walikuwa wakifanya pamoja kwa mujibu wa Katiba ili asifikirie Kukutumbua katika huo uwaziri wako ambao mpaka sasa GENTAMYCINE nikiambiwa nikupe Marks za Kiutendaji nikikupa nyingi basi ni 10% tu ila 90% umeharibu na hufai kuwa hapo.

Hovyoooooo......!!!!!!
Haya mambo bhana basi tu., mfano tu yeye kungekuwepo na Mwamba anamsemasema saana Mzee wake Nauye angejisikiaje.
 
Baba wa Watu ameshalala tokea mwaka Juzi (2021) lakini cha Kushangaza (tena ukiwa Mtoto wa Kiume) Wewe kila Siku ni Kumsengenya mara Kumfumbia Mafumbo tabia ambazo tumezoea kuona zikifanya na Dada zetu (Watoto wa Kike)

In short Unaboa japo wenye akili tunajua unafanya hivyo (Kumsema vibaya Hayati Magufuli) Kimkakati kabisa ili umfurahishe boss wako (Rais Samia) ambaye hakuupenda Uongozi wa aliyekuwa boss wake japo Kimaamuzi walikuwa wakifanya pamoja kwa mujibu wa Katiba ili asifikirie Kukutumbua katika huo uwaziri wako ambao mpaka sasa GENTAMYCINE nikiambiwa nikupe Marks za Kiutendaji nikikupa nyingi basi ni 10% tu ila 90% umeharibu na hufai kuwa hapo.

Hovyoooooo......!!!!!!
Jamaa huwa ana hasiri sana hata akikabwa na mfupa atasingizia jpm
 
Nape kama unapita JF jijue umejichimbia kaburi la kisiasa, kosa lako kubwa ni kujikita kumdhihaki Dkt Magufuli ambaye hayupo ila anaonekana kukushinda na mfano sakata la cloud inasemekana uliogopa wauza madawa ambao walikununua kwa mil ndogo tu thwmanini, sasa nani mzalendo ni yule aliyepinga madawa na hao watu wako cloud walihusika mpaka ngwea akafa akiwa anafanya hiyo kitu au wewe uliyelamba na ukaohppa kufa maana kutumbuliwa ilikuwa rhisi sana na ulijua utaomba msamaha ila wauza nganda wanaua, so don’t full around watu wanajua wewe unamapungufu makubwa sana ila ungekuwa na hekima basi ungemshukuru Dkt Magufuli kwa kukusamehe
Nape anajiona CCM kama nyumba ya urithi
 
Baba wa Watu ameshalala tokea mwaka Juzi (2021) lakini cha Kushangaza (tena ukiwa Mtoto wa Kiume) Wewe kila Siku ni Kumsengenya mara Kumfumbia Mafumbo tabia ambazo tumezoea kuona zikifanya na Dada zetu (Watoto wa Kike)

In short Unaboa japo wenye akili tunajua unafanya hivyo (Kumsema vibaya Hayati Magufuli) Kimkakati kabisa ili umfurahishe boss wako (Rais Samia) ambaye hakuupenda Uongozi wa aliyekuwa boss wake japo Kimaamuzi walikuwa wakifanya pamoja kwa mujibu wa Katiba ili asifikirie Kukutumbua katika huo uwaziri wako ambao mpaka sasa GENTAMYCINE nikiambiwa nikupe Marks za Kiutendaji nikikupa nyingi basi ni 10% tu ila 90% umeharibu na hufai kuwa hapo.

Hovyoooooo......!!!!!!
Nape anaongea ukweli kadri anavoujua.
Lakini kiukweli jamaa hapendezwi na kushuka kwa bei za bando!
WaMarekani wenyewe wanashangaa, mbona mabando ghali bila sababu za msingi?
 
Nape ukipitia Uzi huu, ujijue wewe ni kopo tupu na mwanasiasa uliyepoa kama alivyokuwa Lazaro Nyalandu, huna Lolote uliyofanya kwenye hiyo nafasi Kila siku makampuni ya simu wanajipandishia bei za bando wanavyotaka.
Una matatizo fulani.
 
Baba wa Watu ameshalala tokea mwaka Juzi (2021) lakini cha Kushangaza (tena ukiwa Mtoto wa Kiume) Wewe kila Siku ni Kumsengenya mara Kumfumbia Mafumbo tabia ambazo tumezoea kuona zikifanya na Dada zetu (Watoto wa Kike)

In short Unaboa japo wenye akili tunajua unafanya hivyo (Kumsema vibaya Hayati Magufuli) Kimkakati kabisa ili umfurahishe boss wako (Rais Samia) ambaye hakuupenda Uongozi wa aliyekuwa boss wake japo Kimaamuzi walikuwa wakifanya pamoja kwa mujibu wa Katiba ili asifikirie Kukutumbua katika huo uwaziri wako ambao mpaka sasa GENTAMYCINE nikiambiwa nikupe Marks za Kiutendaji nikikupa nyingi basi ni 10% tu ila 90% umeharibu na hufai kuwa hapo.

Hovyoooooo......!!!!!!
Na wewe huu mda mwingi unaoutumia kumtetea dictator kwa Swala lililowazi kazi kwamba nape kidogo apigwe bastola ungeutumia kutafuta pesa ili uishi vizuri tofauti na Sasa unaugulia ingekuwa vizuri sana
 
Na wewe huu mda mwingi unaoutumia kumtetea dictator kwa Swala lililowazi kazi kwamba nape kidogo apigwe bastola ungeutumia kutafuta pesa ili uishi vizuri tofauti na Sasa unaugulia ingekuwa vizuri sana
Hii katika Ndondi inaitwa Nipige Nikupige.
 
Baba wa Watu ameshalala tokea mwaka Juzi (2021) lakini cha Kushangaza (tena ukiwa Mtoto wa Kiume) Wewe kila Siku ni Kumsengenya mara Kumfumbia Mafumbo tabia ambazo tumezoea kuona zikifanya na Dada zetu (Watoto wa Kike)

In short Unaboa japo wenye akili tunajua unafanya hivyo (Kumsema vibaya Hayati Magufuli) Kimkakati kabisa ili umfurahishe boss wako (Rais Samia) ambaye hakuupenda Uongozi wa aliyekuwa boss wake japo Kimaamuzi walikuwa wakifanya pamoja kwa mujibu wa Katiba ili asifikirie Kukutumbua katika huo uwaziri wako ambao mpaka sasa GENTAMYCINE nikiambiwa nikupe Marks za Kiutendaji nikikupa nyingi basi ni 10% tu ila 90% umeharibu na hufai kuwa hapo.

Hovyoooooo......!!!!!!

Kweli bro umekasirika, hadi umeandika bila kuweka koma wala nukta.😂😂
 
Baba wa Watu ameshalala tokea mwaka Juzi (2021) lakini cha Kushangaza (tena ukiwa Mtoto wa Kiume) Wewe kila Siku ni Kumsengenya mara Kumfumbia Mafumbo tabia ambazo tumezoea kuona zikifanya na Dada zetu (Watoto wa Kike)

In short Unaboa japo wenye akili tunajua unafanya hivyo (Kumsema vibaya Hayati Magufuli) Kimkakati kabisa ili umfurahishe boss wako (Rais Samia) ambaye hakuupenda Uongozi wa aliyekuwa boss wake japo Kimaamuzi walikuwa wakifanya pamoja kwa mujibu wa Katiba ili asifikirie Kukutumbua katika huo uwaziri wako ambao mpaka sasa GENTAMYCINE nikiambiwa nikupe Marks za Kiutendaji nikikupa nyingi basi ni 10% tu ila 90% umeharibu na hufai kuwa hapo.

Hovyoooooo......!!!!!!
Tozo mbalimbali za mitandao inaumiza sana Watanzania, viongozi wangeliangalia hilo kwa jicho la umakini.
 
Haya mambo bhana basi tu., mfano tu yeye kungekuwepo na Mwamba anamsemasema saana Mzee wake Nauye angejisikiaje.
Mkuye mumeseme hadi akufe tena huko aliko.
Mkuye msemeeeee mkuyeeeee mkuyeeeee, arooooo yule kichaa jiwe shetani mkuu, kafiri na muuaji mkuye tummsemeeee
 
Baba wa Watu ameshalala tokea mwaka Juzi (2021) lakini cha Kushangaza (tena ukiwa Mtoto wa Kiume) Wewe kila Siku ni Kumsengenya mara Kumfumbia Mafumbo tabia ambazo tumezoea kuona zikifanya na Dada zetu (Watoto wa Kike)

In short Unaboa japo wenye akili tunajua unafanya hivyo (Kumsema vibaya Hayati Magufuli) Kimkakati kabisa ili umfurahishe boss wako (Rais Samia) ambaye hakuupenda Uongozi wa aliyekuwa boss wake japo Kimaamuzi walikuwa wakifanya pamoja kwa mujibu wa Katiba ili asifikirie Kukutumbua katika huo uwaziri wako ambao mpaka sasa GENTAMYCINE nikiambiwa nikupe Marks za Kiutendaji nikikupa nyingi basi ni 10% tu ila 90% umeharibu na hufai kuwa hapo.

Hovyoooooo......!!!!!!
Upo sahihi katika hili, sio huyo tu mawaziri wengi wa awamu hii hawana wanachokifanya marks 0.5%
 
Na wewe huu mda mwingi unaoutumia kumtetea dictator kwa Swala lililowazi kazi kwamba nape kidogo apigwe bastola ungeutumia kutafuta pesa ili uishi vizuri tofauti na Sasa unaugulia ingekuwa vizuri sana
Mwambrieeeee huyu mwendawazimu mwenzie na marehemu
 
Back
Top Bottom