Nape, muda mwingi unaotumia kumsema vibaya Hayati Magufuli ungeutumia kupigania Tozo za Intaneti na Miamala

Nape, muda mwingi unaotumia kumsema vibaya Hayati Magufuli ungeutumia kupigania Tozo za Intaneti na Miamala

Usikute wewe ndio Nape mwenyewe. Na kama ndio wewe basi tambua kuwa huna credibility ya kuwa kiongozi na hufai kuwa kiongozi. Na kama sio wewe ila ni chawa wake basi mfikishie huu ujumbe.
Kwani wewe Ndiyo Unachagua Viongozi. @
 
Baba wa Watu ameshalala tokea mwaka Juzi (2021) lakini cha Kushangaza (tena ukiwa Mtoto wa Kiume) Wewe kila Siku ni Kumsengenya mara Kumfumbia Mafumbo tabia ambazo tumezoea kuona zikifanya na Dada zetu (Watoto wa Kike)

In short Unaboa japo wenye akili tunajua unafanya hivyo (Kumsema vibaya Hayati Magufuli) Kimkakati kabisa ili umfurahishe boss wako (Rais Samia) ambaye hakuupenda Uongozi wa aliyekuwa boss wake japo Kimaamuzi walikuwa wakifanya pamoja kwa mujibu wa Katiba ili asifikirie Kukutumbua katika huo uwaziri wako ambao mpaka sasa GENTAMYCINE nikiambiwa nikupe Marks za Kiutendaji nikikupa nyingi basi ni 10% tu ila 90% umeharibu na hufai kuwa hapo.

Hovyoooooo......!!!!!!
Mbona Mobutu mnamsema?
Na jirani yetu DADA wa UGANDA mnamsema why JIWE?
 
Ivi starlink ndo kashaipiga chini? Basi huyu jamaa atakuwa hayuko sawa kichwani mwake,


Anachodai kwanini starlink kaipiga chini ni kwamba Yeye alitaka starlink ijenge ofisi zake hapa nchini na wao hawatoa response yoyote.
 
Wewe mwenye Kazi ( Ajira ) mbona bado ni Masikini tu? Kuwa Kwangu 24/7 hapa JamiiForums Wewe na huo Upumbavu wako Kunakuathiri nini? Nakula Kwako? Vocha za Bando unanipa Wewe? Mbunye huwa unanipa yako? Nyabenga huwa unanipa hilo lako?
Kumbe nabishana na bwabwa.

Kwendraaaaa huko pusi wewe
 
Ila wewe si ulikuwa kichaa na nilisikia ulipata nafuu ugonjwa umelud tena au
Ndo tena wakati ule nilipombaka mamako si ndo ulimsaidia kumpeleka hospitali maana nilichana bambucha lake[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ndo tena wakati ule nilipombaka mamako si ndo ulimsaidia kumpeleka hospitali maana nilichana bambucha lake[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ona ulivyo tahira sasa kweli chizi aponi🤣🤣🤣
 
It means nati ilimkamata kisawasawa, hadi kesho angali akiyasikilizia maumivu yake kila akijaribu kujituliza na kujigeuzia upande huu. It seems as though his absence is even more excruciating than his presence.
 
Baba wa Watu ameshalala tokea mwaka Juzi (2021) lakini cha Kushangaza (tena ukiwa Mtoto wa Kiume) Wewe kila Siku ni Kumsengenya mara Kumfumbia Mafumbo tabia ambazo tumezoea kuona zikifanya na Dada zetu (Watoto wa Kike)

In short Unaboa japo wenye akili tunajua unafanya hivyo (Kumsema vibaya Hayati Magufuli) Kimkakati kabisa ili umfurahishe boss wako (Rais Samia) ambaye hakuupenda Uongozi wa aliyekuwa boss wake japo Kimaamuzi walikuwa wakifanya pamoja kwa mujibu wa Katiba ili asifikirie Kukutumbua katika huo uwaziri wako ambao mpaka sasa GENTAMYCINE nikiambiwa nikupe Marks za Kiutendaji nikikupa nyingi basi ni 10% tu ila 90% umeharibu na hufai kuwa hapo.

Hovyoooooo......!!!!!!
Usiwashangae, unajua wengine wanadhani kumsema Mwamba ndo wanajijenga kisiasa kumbe ndo wanajibomoa. Hawajui huyu ni kiumbe aliyeingia kwenye mioyo ya watu kwa namna alivyofanya kazi. Kila anayepambana naye atashindwa tu. Mazuri mengi yanayoonekana yaliyoshindikana kwa wengine yanahusu uwezo wake wa kuamua, wengine wangetakiwa kuiga mema aliyofanya lakini wanadhani wanaweza kuyafuta. Watashindwa sana
 
Nape ni mpiga dili kama wengine. Imagine unanua GB 1.5 baada ya saa inakuja msg ya 75% usage. Ukicheki matumiz ya kawaida tu.
Mimi tangu Rostam Aziz ainunue kampuni ya Tigo nikajua hapa tujiandae kupigwa.Huyo Nape anaendeshwa na Rostam!
 
Mbona akisifiwa hamlalamiki ?? ila mkubali mkatae magufuri wenu alikuwa shetani, simtetei Nape lkn yule mtu matendo yake hayakuwa ya kitanzania, roho yake ilikuwa ya kikagame kagame na mseven mseven...

Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
 
Baba wa Watu ameshalala tokea mwaka Juzi (2021) lakini cha Kushangaza (tena ukiwa Mtoto wa Kiume) Wewe kila Siku ni Kumsengenya mara Kumfumbia Mafumbo tabia ambazo tumezoea kuona zikifanya na Dada zetu (Watoto wa Kike)

In short Unaboa japo wenye akili tunajua unafanya hivyo (Kumsema vibaya Hayati Magufuli) Kimkakati kabisa ili umfurahishe boss wako (Rais Samia) ambaye hakuupenda Uongozi wa aliyekuwa boss wake japo Kimaamuzi walikuwa wakifanya pamoja kwa mujibu wa Katiba ili asifikirie Kukutumbua katika huo uwaziri wako ambao mpaka sasa GENTAMYCINE nikiambiwa nikupe Marks za Kiutendaji nikikupa nyingi basi ni 10% tu ila 90% umeharibu na hufai kuwa hapo.

Hovyoooooo......!!!!!!
Mkuu hao inawezekana ndio walifanya yao; hata hivyo 'Karma' sio mjomba kama aliamua ugomvi atawaweka bayana wagomvi wake ambao ndio chanzo cha kuanguka na kulala kwa shujaa kwa matarajio waiteka himaya na wakaazi wake wawafanye chochote wanachotaka.
 
Back
Top Bottom