warthog gun
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 1,466
- 1,260
[emoji23] [emoji23] [emoji23] pole mkuu vp unataka kuniambia upande huo ulipo umeridhika au laa namaanisha I... i wa kijaniKwa umri ule aliokuwa nao kama hajafa basi atakuwa anaumwa Kifo.
Ila alichokuwa anafanya ni kibaya sana kuniingiza kwenye siasa pasipo matakwa yangu.
Hayo mengine nakubaliana na wewe isipokuwa hapo Panaposema asiwe amiri jeshi mkuu. Sasa jeshi litakuwa na utii kwa nani?Mi sikubaliani na mbunge baada ya kuhama chama kuwa na u bunge wake, ispokua nakubali Ana na chama chenye mbunge kuteuwa mtu mwengine na ku cover nafasi ya alie hama chama bila ya uchaguzi kuwepo.
Jengine kuwepo na muhula mmoja tu wa kuwania u rais na sio miaka kumi.
Tatu rais kuondolewa madaraka makubwa kama kuwa amiri jeshi mkuu. Kuteuwa majaji na msajili wa vyama vya siasa pamoja na mwenyekiti wa tume ya uchaguzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Rubbish as you are!Wafadhili wa Mheshimiwa Membe wamempatia kitita cha kutosha kufanya mapinduzi ndani ya CCM
Hii ni Mpango Na utitiri wa wakwepa kodi watenge Tshs triolini moja kununua wabunge wa ccm kwa bilioni tano tano na bunge loote kuwa la upinzani kwa wingi kwa kwa hila ya pesa...SANDUKU la kura wanaona hawawezi sasa wanataka kutumia pesa chafu $400M zilizochangwa na Group 20
mapinduzi yenyewe ni kupigania katiba inabadirishwa ili mbunge akihama ahame na ubunge wake, maana inaonekana wabunge wengi wangependa kuhama kutokana na maoni ya chini chini, ila tatizo wanahofu ya kupoteza ubunge wao.
Heri wanaohama kutoka upinzani kwenda CCM hao watapewa nafasi na Magufuli,.au saa nyingine kurudi bungeni kupitia uchaguzi wa mabavu, lakin wanao tamani kuhama CCM kwenda upinzani ndo watakuwa wamepoteza kabisa,
Point ya Membe ni target 2020 kwamba wabunge wengi wa CCM kabla ya 2020 watashinikiza baadhi ya mambo yanayombeba membe kugombea maana watakuwa huru wakizinguliwa wanahama, wakihama na ubunge wao,
Hivi navyoongea mambo yanaratibiwa na Nape nyuma ya Membe, kuhakikisha Magufuli anakwama kwa aina yeyote ile
Nakili kwamba CCM inataka mkombozi wa kuitoa kwenye meno ya Magufuli lakin njia anayotumia Membe inaweza isizae matunda maana intelligence ya Magufuli ni kali mno na ina mzizi mrefu,
Nape hivi karibuni ameonekana akibeza na kutoa maoni juu ya wanaohama na kurudia uchaguzi, ni kweli point anazosimamia nape zina mantiki ila lengo lake siyo kuokoa hela ya uchaguzi ila ni nyingine.
Amerushiana na Makonda maneno ,simtetei Makonda maana hata mimi Nina mashaka na elimu yake na uelewa pia, ila Nape utakwama tumia njia nyingine,
Hatimaye CCM yetu itaurudi
Jiwe.siyo.chaguo.langu
Wajifanya wajua kumbe waungua na jua....Uongo mtupu kabisa Nape ni mnafiki lakini hana uwezo hata chembe wa kuhujumu Magufuli hata kwa chembe..na wala mzee Membe hana tabia hiyo kajituliza zake huko.....
mkuu kwa nini mshindi wa pili asirithi ubunge?Mi sikubaliani na mbunge baada ya kuhama chama kuwa na u bunge wake, ispokua nakubali Ana na chama chenye mbunge kuteuwa mtu mwengine na ku cover nafasi ya alie hama chama bila ya uchaguzi kuwepo.
Jengine kuwepo na muhula mmoja tu wa kuwania u rais na sio miaka kumi.
Tatu rais kuondolewa madaraka makubwa kama kuwa amiri jeshi mkuu. Kuteuwa majaji na msajili wa vyama vya siasa pamoja na mwenyekiti wa tume ya uchaguzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Vp unataka akuvalishe tenaKuna Mzee mmoja kipindi nikiwa mdogo kwenye kampeni za Urais mwaka fulani alikuwa ananivalisha Kofia za Ccm.
Yule mzee namsaka kwa hali na mali alikuwa anaitwa Zabron.
[emoji35] [emoji35] [emoji35]
Mimi pia hii ndo naona ni sahihi unakuta wagombea wamepishana kura 500 tu sasa kwa nini huyu asiwe mbunge tu maana still anakubalikamkuu kwa nini mshindi wa pili asirithi ubunge?
ukiwaacha wa chama kimoja wanaweza kufanya mchezo wa kupasiana
Huyu ni mtunga uwongo humu JfWako wengi tu hawaridhishwi na biashara ya utumwa.
sudden change of heart😳😳Jiwe.siyo.chaguo.langu
mkuu kwa nini mshindi wa pili asirithi ubunge?
ukiwaacha wa chama kimoja wanaweza kufanya mchezo wa kupasiana
Sasa kama anaenda kinyume tufanyejesudden change of heart😳😳
jiwe linaanza kuchokwa
Isije ikawa I.D ya CDM hii sioni verified userHUU NI UZANDIKI WA KUPITILIZA! KWELI MMEFILISIKA!