peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Mzee Moses Nauye ni sawa na NapeUkiangalia sana Nape ana hasira amewekwa pembeni, anataka akumbukwe nae anyamazishwe kwa kupewa ulaji, Nape ni mnafiki sana, sasa hivi anapiga kelele kwakuwa hayuko mezani.
Hata yule jamaa wa Kigoma nae ni walewale tu.Ukiangalia sana Nape ana hasira amewekwa pembeni, anataka akumbukwe nae anyamazishwe kwa kupewa ulaji, Nape ni mnafiki sana, sasa hivi anapiga kelele kwakuwa hayuko mezani.
Hoja yake ina mashiko? Tuanzie hapo.Ukiangalia sana Nape ana hasira amewekwa pembeni, anataka akumbukwe nae anyamazishwe kwa kupewa ulaji, Nape ni mnafiki sana, sasa hivi anapiga kelele kwakuwa hayuko mezani.
Hata mimi shabiki kindakindaki wa Hayati Rais Magufuli naunga mkono hoja ya CAG kukagua pesa zote za mikopo za Awamu ya Tano na matumizi yake. Na katika kufanya good comparison CAG pia akague na za Awamu ya Nne na Tatu na matumizi yake ili tuone zipi zilileta tija zaidi. Kukagua za Awamu moja tu utakuwa ni usanii.CAG kimsingi amekubali kukagua fedha za mikopo iliyoingiwa na serikali ya Awamu ya 5.
CAG Kichere amesha sema anasubiri maelekezo tu.
Kutokana na mijadala, hata humu JF, kuna watu wamepanic.
Kisirisiri wengi wanajua frdha zilivyoliwa, mitambo nyeti imenunuliwa st inflated prices, na hakuna aliyeuliza.
Miradi haikuhakikiwa na bunge, hilo linajulikana.
Nenda Tegeta A, Mbweni na kwingineko, majumba yalipaa kama uyoga, na ni watu fulani tu.
Nape umetonesha kidonda.
Eeh hayupo kwenye sinia, polepole pia hayupo kwenye sini ndio maana vilio haviwaishi!Ukiangalia sana Nape ana hasira amewekwa pembeni, anataka akumbukwe nae anyamazishwe kwa kupewa ulaji, Nape ni mnafiki sana, sasa hivi anapiga kelele kwakuwa hayuko mezani.
Jamani kagueni kote tena muanzie awamu ya kwanza mpaka ya sasa ya 6.CAG kimsingi amekubali kukagua fedha za mikopo iliyoingiwa na serikali ya Awamu ya 5.
CAG Kichere amesha sema anasubiri maelekezo tu.
Kutokana na mijadala, hata humu JF, kuna watu wamepanic.
Kisirisiri wengi wanajua frdha zilivyoliwa, mitambo nyeti imenunuliwa st inflated prices, na hakuna aliyeuliza.
Miradi haikuhakikiwa na bunge, hilo linajulikana.
Nenda Tegeta A, Mbweni na kwingineko, majumba yalipaa kama uyoga, na ni watu fulani tu.
Nape umetonesha kidonda.
Ikinyesha ndo tutajua inapovuja. Acha inyeshe sasa.Huo uchunguzi ukishafanyika ikagunduoika kuna watu waliharibu hao wahusika watachukuliwa hatua au watafichwa kama ile ripoti ya fedha zilizochotwa BOT Magufuli alipofariki?
Huyu Nape naamini kabisa anapiga hizo kelele kwa malengo yake binafsi kisiasa ili akamate nyumbu wake, lakini anazijua vizuri tabia za chama chake kuwalinda wahalifu, anajua hakuna watakachofanywa hizi kelele zake ni upepo tu utapita.
CAG anafanya kazi yake kila mwaka kwa ufanisi mkubwa.Hata mimi shabiki kindakindaki wa Hayati Rais Magufuli naunga mkono hoja ya CAG kukagua pesa zote za mikopo za Awamu ya Tano na matumizi yake. Na katika kufanya good comparison CAG pia akague na za Awamu ya Nne na Tatu na matumizi yake ili tuone zipi zilileta tija zaidi. Kukagua za Awamu moja tu utakuwa ni usanii.
Kwa hiyo ukaguzi ufanyike au usifanyike?Ukiangalia sana Nape ana hasira amewekwa pembeni, anataka akumbukwe nae anyamazishwe kwa kupewa ulaji, Nape ni mnafiki sana, sasa hivi anapiga kelele kwakuwa hayuko mezani.
Kwahiyo hoja yako ni ipi? Kwamba CAG akague pesa za mkopo kipindi cha Magufuli ambazo aliishazikagua ila asikague za Awamu zingine kwasababu aliishazikagua?CAG anafanya kazi yake kila mwaka kwa ufanisi mkubwa.
JPM alipoanza kukafiliwa tu, kwa vile anajua anakwapua fedha za umma , akamfukuza CAG Assad, hilo kila mtu anajua.
Ni wewe tuna akili yako kung'amua kuwa tulikuwa na kiongozi si mwamiifu.
Naunga mkono hoja, lakini asikague kulinganisha tija. Tukianza kulinganisha tija na wizi hapo hakuna ukaguzi tena.Hata mimi shabiki kindakindaki wa Hayati Rais Magufuli naunga mkono hoja ya CAG kukagua pesa zote za mikopo za Awamu ya Tano na matumizi yake. Na katika kufanya good comparison CAG pia akague na za Awamu ya Nne na Tatu na matumizi yake ili tuone zipi zilileta tija zaidi. Kukagua za Awamu moja tu utakuwa ni usanii.
Akague kuonesha nini sasa? Nisaidie.Naunga mkono hoja, lakini asikague kulinganisha tija. Tukianza kulinganisha tija na wizi hapo hakuna ukaguzi tena.
Mbaya zaidi alikopa ili kujenga zaidi sana kule kwao.Huwa nawashangaa sana watu wakisema na kujimwambafai Magufuli kafanya hiki, Magufuli kafanya hiki. Ingekuwa kazi ya urais ni kuchukua mamikopo na kujenga madalaja basi Marais wote wangefanya hivyo. Urais una takiwa kuangalia mambo mengi sana na yote yaende kwa pamoja.
Awamo ya tano tuliingizwa chaka na itachukua miaka mingi sana kufix athari iliyosababaisha
Wizi, FULL STOPAkague kuonesha nini sasa? Nisaidie.
Akague kuonesha usahihi wa matumizi. Tukisema tija huku kuna wizi haitusaidii. Soma tena andiko lako utaona.Akague kuonesha nini sasa? Nisaidie.
How do you detect wizi bila kuonesha pesa zilikopwa kwa ajili nini na kama kimefanyika? Au mnauogopa ukweli utakaobainika?Wizi, FULL STOP
Magroup yoote ya whatsap ccm wamepigwa na ganziCAG kimsingi amekubali kukagua fedha za mikopo iliyoingiwa na serikali ya Awamu ya 5.
CAG Kichere amesha sema anasubiri maelekezo tu.
Kutokana na mijadala, hata humu JF, kuna watu wamepanic.
Kisirisiri wengi wanajua frdha zilivyoliwa, mitambo nyeti imenunuliwa st inflated prices, na hakuna aliyeuliza.
Miradi haikuhakikiwa na bunge, hilo linajulikana.
Nenda Tegeta A, Mbweni na kwingineko, majumba yalipaa kama uyoga, na ni watu fulani tu.
Nape umetonesha kidonda.