Nape ni mdau wa pilau, amefollow ukurasa wa ngono

Hiyo kawaida tatizo lake ni kuperuzi na kufuatilia hiyo makitu kwa utambulisho wake rasmi.

Wengi tu wanaingia anonymously maisha yanaendelea.
After all, he is a human being and we're all human beings with feelings and emotions.
Asitufungiee bhasiii mpaka vpn wanafungiaa wakati yeye waziriii anafollow page za ngono
 
Mama mchungaji kipenzi changu,

Huwez amini nipo sirini, kwenye maombi makali sana ya kuomba kufunguliwa mlango, nimekugongea sana inbox nabado nagongagonga zaidi mpaka Roho atakaponielekeza vinginevyo...
Ooh hallelujah......
Unatumia kitu gani kugonga? Usije kutumia jiwe ukavunja mlango wangu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…