Nape ni mdau wa pilau, amefollow ukurasa wa ngono

Nape ni mdau wa pilau, amefollow ukurasa wa ngono

Kumbe ni mdauu angeachia vyuma tupate hadi content za kibongo za kutosha maana kwa Africa wanageria ndio wanaongoza na mademu wao wa ovyo ovyo, ila Kwa pisi za Tanzania zilizobarikiwa sura na shape zakuvutia kama Money Penny tungeingiza mapato kutokana na subscription hata Mining collection ingeomba poo.
 
Kwamba kwenye hiyo website users wengine wote wanatumia fake IDs isipokuwa Nape ndio anatumia majina yake halisi?

Nchi hiii ina mambo sana.
 
Wewe unanipa wasiwasi sijui uko upande gani? 😂😂😂
ooh tena mama mchungaji kipenzi changu, pole Mtumishi..

Hivi sasa nafanya maombi mafupi, Namuomba Roho Mtakatifu katika ulimwengu wa Roho anitambulishe vema moyoni mwako na akujulishe wito wangu kwa waja na watoto wake katika ulimwengu huu, ikiwa ni pamoja na wewe mpenzi, mwenzi na msaidizi wangu katika kazi na majukumu ya kuhubiri neno na masuala mbalimbali ya kijamii, kisiasa, kiuchumi, kiutamaduni Sayansi na Techologia ...
Katika sifa na Utukufu wa jina lake Amen 🙏
 
ooh tena mama mchungaji kipenzi changu, pole Mtumishi..

Hivi sasa nafanya maombi mafupi, Namuomba Roho Mtakatifu katika ulimwengu wa Roho anitambulishe vema moyoni mwako na akujulishe wito wangu kwa waja na watoto wake katika ulimwengu huu, ikiwa ni pamoja na wewe mpenzi, mwenzi na msaidizi wangu katika kazi na majukumu ya kuhubiri neno na masuala mbalimbali ya kijamii, kisiasa, kiuchumi, kiutamaduni Sayansi na Techologia ...
Katika sifa na Utukufu wa jina lake Amen 🙏
Amen 🙏
 
Back
Top Bottom