Nape ni mdau wa pilau, amefollow ukurasa wa ngono

Nape ni mdau wa pilau, amefollow ukurasa wa ngono

Mheshimiwa anafungia VPN kumbe nae huwa anaangalia video za Pilau 😂😂😂 credit by spana konk
View attachment 2813156
Unamshangaa Nnape kuwa fuska, huyu hana tofauti na viongozi wetu hapa Tanzania. Ninaweza sema karibia ya viongozi wetu wote hapa Tanzania ni wazinzi na uzuri hata wenyewe wanajijuwa na ndiyo maana wanaona hata haibu kutusalimia mitaani kwani tumewashitukia kitambo.
 
Nilishangaa sababu waliyo itoa kwamba wanafungia vpn kwa sababu watu wanaangalia vitu visivyo na maadili, akili zao zilivyokua fupi kama njia ya kwenda chooni wanadhani Kila mtu akifungua VPN basi anataka kwenda kwenye tovuti za hovyo, shenzi kabisa
Unaweza kuta Case study alijichukulia yeye 😀
 
Back
Top Bottom