KERO Nape Nnauye afungia mtandao wa Clubhouse, haupatikani Tanzania bila VPN

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Wanasingizia mitutu tu wakati hata kufanya migomo tu hawawezi.
 
Samia anataka kuonekana mwanademokrasia lakini kumbe kaficha fimbo ya kuichapa hiyo demokrasia
 
Suala la Jiwe kuhusika katika shambulio la Lissu hiyo iko wazi na circumstantial evidences zote zinaonyesha kuwa kulikuwa na mkono wa serikali otherwise mkono wa chuma uliokuwa ukiiburuza nchi wakati wa awamu ya tano wangeshikwa wengi kuanzia polisi waliopaswa kuwa lindoni, majirani waliokuwa majumbani muda ule wa shambulio, wapangaji wa ratiba ya ulinzi hata viongozi kwani hata nyumba aliyokuwa akiishi Lissu same yard alikuwa akiishi waziri na geti huwa na polisi 24/7 strangely geti lilikuwa wazi na polisi wa zamu was no where to be seen vilevile gate la opposite alikuwa akiishi the then naibu spika Tulia na polisi walilinda 24/7 lakini muda wa shambulio hawakuwepo na hakuna aliyehojiwa kuhusu hilo.
CCTV cameras kung'olewa baada ya shambulio, nani angethubuti kama si serikali yenyewe?
CCTV camera footages polisi wanazo? Si kila kitu kiko wazi kwenye hizo footages?
Magu alikuwa akimlinda nani kwa kutokuweka wazi yote hayo mtu aliyependa publicity kiasi kile?
Hakuwa akijilinda mwenyewe? Je si kwamba ukimya wa serikali ni kwamba wanajilinda wenyewe kukwepa kuipaka matope dola pamoja na chama tawala?
Wengine(ambao hawakuhusika lakini ni vigogo serikalini) wameamua kunawa mikono wasijihusishe na yale ambayo hawakushiriki hiyo wamemuachia muhusika hilo gunia la 'mavi'.

Ingekuwa ndiyo CHADEMA wametengeneza mazingira hayo serikali ya Jiwe ingeliweka wazi muda uleule, na kama haingekuwa imehusika ingekubali lile wazo la kushirikisha FBI au MI6 ya Scotland Yard ili wahusika waumbuke na serikali iwe imejisafisha.
Jiwe alihusika kupanga na kuratibu na kama Lissu angekufa CHADEMA wangebebeshwa hilo gunia la 'mavi' kwa bahati mbaya(kwa Jiwe) hakufa na anaujua ukweli kwani alisharipoti kwenye vyombo vya dolakuwa anafuatiliwa na polisi hawakuchua hatua yoyote wakati hata namba za gari walipatiwa.
 
WaTz hawana cha maana wanachojadili huko , wacha Nape afungie tu wanajadili upupu mtupu.
Mkuu mm naungana na ww, Watanzania kwakweli wanashangaza sana,haya uliyoyasema nayaona ata kwenye Magroup yetu ya kutafta ugali huku mtaani....Watu wanaongea mambo ya kijinga sana wanaleta mapicha ya uchi na kujadiliana kuhusu kulewa tu....walio na uwezo wanapiga picha mpaka vitandani kwao wanakolala ili kutishiana kisa gep la maisha....Wanashindwa kujadili mambo ya msingi kabsaaa.
 
VPN tunazo kipindi kirefu tangu enzi za jiwe alipofunga mitandao kisa uchaguzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…