kwa sababu Nape hana cheo chochote katika chama ni mwanachama wa kawaida tu ila Mangula ni makamu mwenyekiti wa chama yule ni boss wake direct. Kawaida ukiwa unataka kumpinga boss wako unachia nafasi yako unampinga. Ni kama bungeni huwezi kuwa waziri halafu ukasimama kuipinga serikali ila kama unataka kuipinga unaacha waziri unarudi nyuma kama mbunge wa kawaida then sema serikali japo wote wanatoka CCM.Unaamini Mangula hatakiwi kumpinga mama Samia, Ila hapohapo unakubaliana na nape kumpinga mangula
Mangula ndiye ameshikilia CCM,Na makamu mwenyekiti anapata wapi nguvu ya kumpinga mwenyekiti? Nape yuko sawa sera ni elekezi tu huwezi kuwa na sera ya miaka 5 halafu usibadilike dunia inaenda kasi sana sasa utakaa vipi na mawazo kwa miaka 5 serikali inaendeshwa kila mwaka na inaweka budget kwa mwaka.
Huyu makamu mwenyekiti ni nyoka katoka kwenye pango Mama anatakiwa kupiga rungu kichwa ndio hawa walikuwa nyuma ya ile story Mama hagombei tena kwenye gazeti la chama sasa kajitokeza.
Toka lini ukampinga mwenyekiti wako hadharani? utamaduni wa CCM haya mambo ndani ya vikao. Mwanga kawanga mchana kaonekana Mama piga rungu haraka huyo mzee mchawi.
wenye CCM wenyewe wameshakufa na CCM ipo tu, Mangula eti kashikilia CCM yeye nani kwani kuongoza chama nayo science. yupo pale sababu majukumu yake very limited sio mtendaji mkuu wa chama. uchaguzi unakuja anapigwa chini kishashtuaMangula ndiye ameshikilia CCM,
JK yalimshinda,mzee alifuatwa shambani kwenye viazi.Safu zote za juu Hangaya kawang'oa.Jiulize kwanini mzee yupo na kwanini alisimama na member kutofukuzwa chamani.Mzee wa utaratibu na haki.
Nape ni swala la muda tu .... lazima atarudi.Nape atulie, hana hadhi wala sifa za kuhoji hoja za mwenyekiti wake.
Nape ameshajulikana ni mtu anaetawaliwa na njaa kuliko kitu chochote. Sasa anajaribu kujionyesha kwa samia ili angalau akumbukwe.
Makamu Mwenyekiti amesema Bagamoyo haikuahidiwa Bandari, iliahidiwa gati, shida iko wapi?
Hata akifa Leo rizimoko atasimama kidete.Na inatakiwa ikamilike kijengwa JK akiwa hajaondoka duniani
Huo uwezo anao?Mama kazidi upole naomba apite hapa asome. Mama safisha ndani ya chama kuna wachawi wengi wapinzani sio tishio kwako humo ndani ya jumba kuna wanga.
The walking dead will soon expose what is burning under the bedSalaam Wakuu,
Baada ya Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Philip Mangula kuzungumzia Bandari ya Bagamoyo kwamba haipo kwenye ilani, Mbunge wa Mtama Moses Nnauye(CCM) ameibuka na kusema kwamba kuna miladi mingi imetekelezwa ambago haikuwa kwenye ilani.
Mangula alisema anashangaa huu mjadala wa Bandari ya Bagamoyo unatokea wapi kwa kuwa mradi huo haupo. Mangula kasema hakuna haja ya watu kupotosha wananchi,” Mangula akizungumza na Gazeti la Uhuru ameeleza kwamba kilichoahidiwa ni ujenzi wa gati ya Bagamoyo.
“Ipo miradi ya maboresho ya bandari, lakini kwa upande wa Bagamoyo kilichopitishwa ni ujenzi wa gati, sio bandari,” amesema Mangula.
Baada ya kauli hiyo, Moses Nape Nnauye ikamlizimu aandike kwenye Mtandao wa kijamii kwamba sio kila miradi inayotekelezwa ipo kwenye ilani.
Nape kaandika hivi:
Nini Mtazamo wako wewe MwanaJF? Kwamba Serikali itekeleze yaliyopo kwenye ilani tu au iangalia vipaumbele vya wananchi?
Pia soma: Makamu mwenyekiti CCM, Mzee Mangula: Bagamoyo tuliahidi kujenga gati sio Bandari
Na yeye katoa reference ya mambo yaliyofanyika pasi kuwepo kweny ilani ya CCM, je kosa liko wap?Nape atulie, hana hadhi wala sifa za kuhoji hoja za mwenyekiti wake.
Nape ameshajulikana ni mtu anaetawaliwa na njaa kuliko kitu chochote. Sasa anajaribu kujionyesha kwa samia ili angalau akumbukwe.
Makamu Mwenyekiti amesema Bagamoyo haikuahidiwa Bandari, iliahidiwa gati, shida iko wapi?
Kaka nchi yetu bado sana katika ujenzi wa jamii ya uwazi yaani bado Sana. Hata wabunge wengi hawako informed ndio maana mijadala yao iko cheap Sana imekaa kimajungumajungu tu. Wanaogopa kuweka transparency sababu nchi yetu ina urasimu wa hali ya juu pengine kuna miradi mingine serikalii inatekelezwa chini ya makabaliano ya hovyo. Hili suala la bandari ya bagamoyo sio suala binafsi la nape, Watanzania tuna haki ya kuhoji kutaka kujuaKwa kuwa mradi hui umekuwa na malengelenge sana sasa ni wakati wa serikari kuwa wazi
Kwanza masharti ya wachina ni yapi na mahitaji yetu ni yapi kisha tutajadili humu kisha serikari itaona watu tunataka nini kisha itafanyia kazi hizo hoja.
Lakini wakujifanya ni wakora basi huo sio mradi wa wanatanzania li ni wao viongozi na hao wachina.
Ukiangalia kwa makini utagundua wachangiaji wengi hawatoi hoja zaidi ya kumshambilia nape. Tuna kizazi ambacho kinapenda majungu kuliko ukweli wenyewe hii ni hatari kwani kizazi hiki ndicho kinatoa viongozi wa kutupeleka kwenye nchi ya ahadiNa yeye katoa reference ya mambo yaliyofanyika pasi kuwepo kweny ilani ya CCM, je kosa liko wap?
Tunasubili kuona hii show prof na boss wake nani zaidiHalafu waziri anakuja anasema hatununui sukari,, that's a nonsense
alisikika Chief akisema
Nami sihami kabisa BongoBongo sihami kwa kweli
Nadhani viongozi kama nape hua hawasomi documents za chama wanaenda kimhemko tu kukidhi matakwa yao.Salaam Wakuu,
Baada ya Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Philip Mangula kuzungumzia Bandari ya Bagamoyo kwamba haipo kwenye ilani, Mbunge wa Mtama Moses Nnauye(CCM) ameibuka na kusema kwamba kuna miladi mingi imetekelezwa ambago haikuwa kwenye ilani.
Mangula alisema anashangaa huu mjadala wa Bandari ya Bagamoyo unatokea wapi kwa kuwa mradi huo haupo. Mangula kasema hakuna haja ya watu kupotosha wananchi,” Mangula akizungumza na Gazeti la Uhuru ameeleza kwamba kilichoahidiwa ni ujenzi wa gati ya Bagamoyo.
“Ipo miradi ya maboresho ya bandari, lakini kwa upande wa Bagamoyo kilichopitishwa ni ujenzi wa gati, sio bandari,” amesema Mangula.
Baada ya kauli hiyo, Moses Nape Nnauye ikamlizimu aandike kwenye Mtandao wa kijamii kwamba sio kila miradi inayotekelezwa ipo kwenye ilani.
Nape kaandika hivi:
Nini Mtazamo wako wewe MwanaJF? Kwamba Serikali itekeleze yaliyopo kwenye ilani tu au iangalia vipaumbele vya wananchi?
Pia soma: Makamu mwenyekiti CCM, Mzee Mangula: Bagamoyo tuliahidi kujenga gati sio Bandari
Ikiwa JK na JPM walikosea basi inapaswa kila anayekuja akosee?Na yeye katoa reference ya mambo yaliyofanyika pasi kuwepo kweny ilani ya CCM, je kosa liko wap?