Memento
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 4,423
- 9,986
Nape Hana hojaUkiangalia kwa makini utagundua wachangiaji wengi hawatoi hoja zaidi ya kumshambilia nape. Tuna kizazi ambacho kinapenda majungu kuliko ukweli wenyewe hii ni hatari kwani kizazi hiki ndicho kinatoa viongozi wa kutupeleka kwenye nchi ya ahadi
Nape anaamini Kama JK na JPM walifanya miradi nje ya ilani basi kila raisi anapaswa kufanya hivyo bila kurekebisha.
Hoja za Nape ni za kijinga sana, yaani kama JK na JPM walikosea basi na wengine nao wakosee