Nape Nnauye amjibu Mangula, ni Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo

Nape Nnauye amjibu Mangula, ni Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo

Ukiangalia kwa makini utagundua wachangiaji wengi hawatoi hoja zaidi ya kumshambilia nape. Tuna kizazi ambacho kinapenda majungu kuliko ukweli wenyewe hii ni hatari kwani kizazi hiki ndicho kinatoa viongozi wa kutupeleka kwenye nchi ya ahadi
Nape Hana hoja
Nape anaamini Kama JK na JPM walifanya miradi nje ya ilani basi kila raisi anapaswa kufanya hivyo bila kurekebisha.
Hoja za Nape ni za kijinga sana, yaani kama JK na JPM walikosea basi na wengine nao wakosee
 
Nape anatafuta uwaziri kwa udi na uvumba.

Ila ile siri aliyimpa mwendazake alipoenda magigoni analia wenzake wanaijua!
Kwani kuna ubaya gani akiutaka huo uwaziri? Yeye si mtanzania? Au kuna watu wanaostahili kutamani na wengine hapana? Tueleze bwana.
 
Ila Nape ana kiherehere sana kwani angekaa kimya angepoteza nini?..
Ndio maana Mzee baba mwenyewe JPM alimtembeza kwenye jua kwa magoti ili msamaha wake ukubalike
 
Mama kazidi upole naomba apite hapa asome. Mama safisha ndani ya chama kuna wachawi wengi wapinzani sio tishio kwako humo ndani ya jumba kuna wanga.
Mzee Mangula by default sio mtu wa active political strategies, he is mostly on political intelligence, planning, and institutional administration. The fact that, he has step in political dialogue could be because there is no a person who can stand firm and speak of party affairs
 
Nape atulie, hana hadhi wala sifa za kuhoji hoja za mwenyekiti wake.

Nape ameshajulikana ni mtu anaetawaliwa na njaa kuliko kitu chochote. Sasa anajaribu kujionyesha kwa samia ili angalau akumbukwe.

Makamu Mwenyekiti amesema Bagamoyo haikuahidiwa Bandari, iliahidiwa gati, shida iko wapi?
Je Chato International Airport iko kwenye ilani?
 
Hawa vijana wasioweza kulitumikia taifa mpaka wawe mawaziri hawafai, wanajiona bora zaidi ya wengine, uongozi wa serikalini usitafutwe kwa kelele nyingi za mitandaoni, uadilifu wa mtu na uchapakazi wake ndio uwe vigezo.
Labda bwana marope ndivyo alivyo mshauri kuwa ukitaka uwaziri piga kelele nyingi kama yeye alivyofanya kupitia kimvuli cha kigogo2014 tuttajuaje.....
 
Nadhani viongozi kama nape hua hawasomi documents za chama wanaenda kimhemko tu kukidhi matakwa yao.
Nachofahamu yote aliyokua anafanya magufuli yamo kwenye ilani ya chama chake. Na ndio maana amepata sifa kubwa kwa kutekekeza sehemu kubwa ya ilani ya chama chake kuliko marais wengine.
Wewe ndo unakijua Chama kuliko Nape?🚮🚮🚮
 
Uyu nape ana tafta uoenyo wa kusikika tena kisiasa
 
Kwa wasiojua ni kuwa Mangula akisema kitu kisifanywe hakifamywi, akimwambia Mabeyo toa huyo Mama, Mabeyo haulizi mara mbili...

Mabeyo akikuta missed call zaidi ya moja ya Mangula anachacharika kuliko ya Samia...

Na inasemekana huyu Mzee ndio aliokoa/alishauri utawala wa Kikwete usipinduliwe
Wee mbna mpya hii, na ile sumu alinywesha vipi had kuwa hoi, km ana uwezo huu?
 
Hivi Nape ni jina la kimakonde kweli au la kidini?
 
Nape atulie, hana hadhi wala sifa za kuhoji hoja za mwenyekiti wake.

Nape ameshajulikana ni mtu anaetawaliwa na njaa kuliko kitu chochote. Sasa anajaribu kujionyesha kwa samia ili angalau akumbukwe.

Nape's integrity is compromised, he has no moral authority to question or advise anything kwa sababu ameonyesha kwamba he is working for his stomach.

Makamu Mwenyekiti amesema Bagamoyo haikuahidiwa Bandari, iliahidiwa gati, shida iko wapi?

Jadili hoja yake, acha personality attack...
 
hivi ujenzi wa bandari ya bagamoyo watu kinawauma nini hadi wanaizuiazuia? hiyo inatakiwa kujengwa haraka sana tena iwezekanavyo.
 
Salaam Wakuu,

Baada ya Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Philip Mangula kuzungumzia Bandari ya Bagamoyo kwamba haipo kwenye ilani, Mbunge wa Mtama Moses Nnauye(CCM) ameibuka na kusema kwamba kuna miladi mingi imetekelezwa ambago haikuwa kwenye ilani.

Mangula alisema anashangaa huu mjadala wa Bandari ya Bagamoyo unatokea wapi kwa kuwa mradi huo haupo. Mangula kasema hakuna haja ya watu kupotosha wananchi,” Mangula akizungumza na Gazeti la Uhuru ameeleza kwamba kilichoahidiwa ni ujenzi wa gati ya Bagamoyo.

“Ipo miradi ya maboresho ya bandari, lakini kwa upande wa Bagamoyo kilichopitishwa ni ujenzi wa gati, sio bandari,” amesema Mangula.

Baada ya kauli hiyo, Moses Nape Nnauye ikamlizimu aandike kwenye Mtandao wa kijamii kwamba sio kila miradi inayotekelezwa ipo kwenye ilani.

Nape kaandika hivi:


Nini Mtazamo wako wewe MwanaJF? Kwamba Serikali itekeleze yaliyopo kwenye ilani tu au iangalia vipaumbele vya wananchi?

Pia soma: Makamu mwenyekiti CCM, Mzee Mangula: Bagamoyo tuliahidi kujenga gati sio Bandari
Uwanja wa ndege Chato upo kwenye ilani ipi? ununuzi wa ndege? ununuzi wa wapinzani? bwawa la umeme? mzee atulie
 
Ila Nape ana kiherehere sana kwani angekaa kimya angepoteza nini?..
Ndio maana Mzee baba mwenyewe JPM alimtembeza kwenye jua kwa magoti ili msamaha wake ukubalike
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na alitembea?
 
Back
Top Bottom