Nape Hana hojaUkiangalia kwa makini utagundua wachangiaji wengi hawatoi hoja zaidi ya kumshambilia nape. Tuna kizazi ambacho kinapenda majungu kuliko ukweli wenyewe hii ni hatari kwani kizazi hiki ndicho kinatoa viongozi wa kutupeleka kwenye nchi ya ahadi
Kwani kuna ubaya gani akiutaka huo uwaziri? Yeye si mtanzania? Au kuna watu wanaostahili kutamani na wengine hapana? Tueleze bwana.Nape anatafuta uwaziri kwa udi na uvumba.
Ila ile siri aliyimpa mwendazake alipoenda magigoni analia wenzake wanaijua!
Mzee Mangula by default sio mtu wa active political strategies, he is mostly on political intelligence, planning, and institutional administration. The fact that, he has step in political dialogue could be because there is no a person who can stand firm and speak of party affairsMama kazidi upole naomba apite hapa asome. Mama safisha ndani ya chama kuna wachawi wengi wapinzani sio tishio kwako humo ndani ya jumba kuna wanga.
Je Chato International Airport iko kwenye ilani?Nape atulie, hana hadhi wala sifa za kuhoji hoja za mwenyekiti wake.
Nape ameshajulikana ni mtu anaetawaliwa na njaa kuliko kitu chochote. Sasa anajaribu kujionyesha kwa samia ili angalau akumbukwe.
Makamu Mwenyekiti amesema Bagamoyo haikuahidiwa Bandari, iliahidiwa gati, shida iko wapi?
Labda bwana marope ndivyo alivyo mshauri kuwa ukitaka uwaziri piga kelele nyingi kama yeye alivyofanya kupitia kimvuli cha kigogo2014 tuttajuaje.....Hawa vijana wasioweza kulitumikia taifa mpaka wawe mawaziri hawafai, wanajiona bora zaidi ya wengine, uongozi wa serikalini usitafutwe kwa kelele nyingi za mitandaoni, uadilifu wa mtu na uchapakazi wake ndio uwe vigezo.
Wewe ndo unakijua Chama kuliko Nape?🚮🚮🚮Nadhani viongozi kama nape hua hawasomi documents za chama wanaenda kimhemko tu kukidhi matakwa yao.
Nachofahamu yote aliyokua anafanya magufuli yamo kwenye ilani ya chama chake. Na ndio maana amepata sifa kubwa kwa kutekekeza sehemu kubwa ya ilani ya chama chake kuliko marais wengine.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kweli ukiamua kumficha Nape unamficha vzr tu!... Yaan Nape saizi ndo anaonekana mjini, miaka mitano yuko vichochoroni daa[emoji16][emoji16]
Wee mbna mpya hii, na ile sumu alinywesha vipi had kuwa hoi, km ana uwezo huu?Kwa wasiojua ni kuwa Mangula akisema kitu kisifanywe hakifamywi, akimwambia Mabeyo toa huyo Mama, Mabeyo haulizi mara mbili...
Mabeyo akikuta missed call zaidi ya moja ya Mangula anachacharika kuliko ya Samia...
Na inasemekana huyu Mzee ndio aliokoa/alishauri utawala wa Kikwete usipinduliwe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ile sumu aliyopewa Mangula ili afe nafikili bado Inamsumbua. Atakuwa bado hajapona vizuri
Nape atulie, hana hadhi wala sifa za kuhoji hoja za mwenyekiti wake.
Nape ameshajulikana ni mtu anaetawaliwa na njaa kuliko kitu chochote. Sasa anajaribu kujionyesha kwa samia ili angalau akumbukwe.
Nape's integrity is compromised, he has no moral authority to question or advise anything kwa sababu ameonyesha kwamba he is working for his stomach.
Makamu Mwenyekiti amesema Bagamoyo haikuahidiwa Bandari, iliahidiwa gati, shida iko wapi?
Yupi? Huyu huyu au? [emoji23][emoji23][emoji23]Umemeahau JK mkuu
Nape anatafuta uwaziri kwa udi na uvumba.
Ila ile siri aliyimpa mwendazake alipoenda magigoni analia wenzake wanaijua!
Uwanja wa ndege Chato upo kwenye ilani ipi? ununuzi wa ndege? ununuzi wa wapinzani? bwawa la umeme? mzee atulieSalaam Wakuu,
Baada ya Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Philip Mangula kuzungumzia Bandari ya Bagamoyo kwamba haipo kwenye ilani, Mbunge wa Mtama Moses Nnauye(CCM) ameibuka na kusema kwamba kuna miladi mingi imetekelezwa ambago haikuwa kwenye ilani.
Mangula alisema anashangaa huu mjadala wa Bandari ya Bagamoyo unatokea wapi kwa kuwa mradi huo haupo. Mangula kasema hakuna haja ya watu kupotosha wananchi,” Mangula akizungumza na Gazeti la Uhuru ameeleza kwamba kilichoahidiwa ni ujenzi wa gati ya Bagamoyo.
“Ipo miradi ya maboresho ya bandari, lakini kwa upande wa Bagamoyo kilichopitishwa ni ujenzi wa gati, sio bandari,” amesema Mangula.
Baada ya kauli hiyo, Moses Nape Nnauye ikamlizimu aandike kwenye Mtandao wa kijamii kwamba sio kila miradi inayotekelezwa ipo kwenye ilani.
Nape kaandika hivi:
Nini Mtazamo wako wewe MwanaJF? Kwamba Serikali itekeleze yaliyopo kwenye ilani tu au iangalia vipaumbele vya wananchi?
Pia soma: Makamu mwenyekiti CCM, Mzee Mangula: Bagamoyo tuliahidi kujenga gati sio Bandari
Uwanja wa ndege wa Chato atuambie upo kwenye ilani ipi?hivi ujenzi wa bandari ya bagamoyo watu kinawauma nini hadi wanaizuiazuia? hiyo inatakiwa kujengwa haraka sana tena iwezekanavyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na alitembea?Ila Nape ana kiherehere sana kwani angekaa kimya angepoteza nini?..
Ndio maana Mzee baba mwenyewe JPM alimtembeza kwenye jua kwa magoti ili msamaha wake ukubalike