Pre GE2025 Nape Nnauye amtabiri mshindi wa Uenyekiti wa CHADEMA Taifa bila goli la mkono

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Labda wewe ndiye huna akili unayeshindwa kujadili hoja na kuishia kuropoka ropoka tu hapa kama mlevi wa gongo
Lucas hujawahi kuwa na hoja bali una mihemko tu ndiyo maana mara nyingi unaabika kwa kuanzisha mada amabazo hujazifanyia utafiti,wewe ni kilaza tu.
 
NGO la mbowe lilishajifia
 
Lucas hujawahi kuwa na hoja bali una mihemko tu ndiyo maana mara nyingi unaabika kwa kuanzisha mada amabazo hujazifanyia utafiti,wewe ni kilaza tu.
Mimi nikianzisha na kuweka andiko langu hapa nakuwa nimefanya utafiti wa kina na uchambuzi .ndio maana mtu kama wewe mwenye akili ndogo huwa unashindwa kupangua hoja zangu na kuishia kuporomosha matusi kama kichaa au mwendawazimu
 
Mimi nikianzisha na kuweka andiko langu hapa nakuwa nimefanya utafiti wa kina na uchambuzi .ndio maana mtu kama wewe mwenye akili ndogo huwa unashindwa kupangua hoja zangu na kuishia kuporomosha matusi kama kichaa au mwendawazimu
Ndiyo ukaokota upupu toka parody account ya Elon Musk ukaamini ni account halisi ya Elon Musk wewe ni mshamba na kilaza tu. Wewe bado sana ndiyo maana samia anakupotezea.
 
Haahaa nape anajua jinsi ccm inavyoomba usiku na mchana mbowe ashinde uwenyekiti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…