Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hatari sanaTatizo la kua na maaskari vilaza, kwa dikteta uchwara ni jambo jema maana wakiagizwa wanafanya walichoambiwa, ila kwa wananchi ni shida. Ndiyo maana Bashite kawekwa mkono wa kulia wa mtukuftu, hawezi ku-question, yeye anafanya tu.
Ni mibashiiiiiite tu !!Hawa askari wameilimika....?
Kabisa.. Kaonyesha haiwezekani mambo ya ajabu yafanywe mbele yake kisha anyamazeKocha mchezaji yuko fiti.
Onyo la nini?.....unadhani huwa wanabeba kama mapambo...kwa taarifa yako hakuna silaha inayotengenezwa kwa ajili ya mnyama huwa ni kwa ajili ya binadamu!
Inawezekana wamefanana aisee.Ni Kitenge kweli yule au wamefanana?
Kabisa ni Genge tu lile! Ningefurahi saaana waandishi wa habari wangekuwa kwa ajili ya maslahi ya wananchi ya wanyonge lakini kutwa kufukuzi bahasha za kazi. Kutwa kuripoti habarii za mjini. Habari zao wao kubwa mawarsha. makondamano. mikutano nk. Kwa kweli ni Bome ndio watu kama kitenge wanataka kuwa muhimilim wa NNe over my dead bosy, hapana! wako kwa maslahi yao baasi!Hili genge lote ni waandishi wa habari? au na vibaka walikuwemo? kweli ipo haja ya kuifanyia mabadiliko taaluma ya uandishi wa habari imekuwa ya kihuni mno.
mkao ule alivyokaa hata kupigana hajui yule askari. ingekuwa enzi zangu ile bastola angeikuta mbali sana hangejua imenyang'anywaje na kutupwa huko na yeye yupo chini. halafu, hivi kwa hamasa ya jana, anaamini angempiga risasi nape pale mbele za watu halafu wale waandishi woote na raia wakamwacha tu aende hai? yule hajasomea mafunzo kabisa.Yani kaonekana fala tu bora hata angepiga juu basi tujue alikua anatawanya watu,
Yani katoa bastola halafu hajaitumia alafu nape anamuangalia kwa dharaaau huku kaweka mkono mifukoni yani bonge ya dharau.
yule jamaa hayupo fit kabisa kwa mkao ule na jinsi alivyomsogelea nape, hakuwa katika tahadhari. mimi naongea, nimeenda shule kusomea kupigana nina vyeti kabisa na mkanda hadi wa mwisho, yule jamaa ningekuwa mimi angepelekwa icu jana ileile na labda wale wenzie ndio wangenipiga bastola kumuokoa. kufumba na kufumbua ningemmaliza kabisa. tena hata kabla wenzie hawajatoa bastola ningeshamaliza kazi afu najichanganya na waandishi pale ashindwe kurusha risasi kwenye kundi na ningemtoroka na kusepa.Ah wapi jamaa kapanda alafu yuko fit! Nape na kitambi chake no way hahahaha
Anachojua yeye huwa ni hicho. Kuongea tu. Bado anapenda ile kazi ya 'uenezi' sijui. Anatamani sana yeye ndio angekuwa msemaji wa chama na serikali. Kila siku press conference!! Kazi unafanya saa ngapi? Usanii tu. Sasa huko aliko sijui yuhali gani! Labda atakuwa anaongelea Mtama kila siku ili akidhi ile haja yake ya kuongea ongea hovyo. JPM baba mwendo ni huu huu. Hii ndio Tanzania tuitakayo. Wasanii wakae pembeni, wachapa kazi wachape kazi.Nape alitaka kuongea na waandishi wa habari kama nani? Yeye tayari status ya uwaziri ilishabadilika asubuhi na mapema na akawa anatambulika tu kama "aliyekuwa waziri wa habari wa zamani...." Busara ya kawaida tu alipaswa kuwa nayo ya kusubiri zipite siku za kutosha ili watanzania wote mpaka huko vijijini wajue kwamba yeye si waziri wa habari tena, maana kuna watu wengi hata Dar es salaam kama wakina Harmorapa bado walikuwa wanadhani wanaenda kumsikiliza waziri.....
Ninge!yule jamaa hayupo fit kabisa kwa mkao ule na jinsi alivyomsogelea nape, hakuwa katika tahadhari. mimi naongea, nimeenda shule kusomea kupigana nina vyeti kabisa na mkanda hadi wa mwisho, yule jamaa ningekuwa mimi angepelekwa icu jana ileile na labda wale wenzie ndio wangenipiga bastola kumuokoa. kufumba na kufumbua ningemmaliza kabisa. tena hata kabla wenzie hawajatoa bastola ningeshamaliza kazi afu najichanganya na waandishi pale ashindwe kurusha risasi kwenye kundi na ningemtoroka na kusepa.
Ilikuwa poa sana ile!Ndugu wana jf ujasir huu mbele ya moto mnauonanaje!
Hizi sio dalili za wa tz kuanza kujitoa mhanga
Maigizo wakati kuna mtu hapo katoka nduki!Maigizo.
mkuu, siulimwona hamorapa! yaani vijijini hata ukitoa sime watu wote wanaulaza sembuse pastola siku hiyo mbwa hawatabweka utasikia majogoo yanawika asubuhi, ila baada ya wiki ndio utawajua lazima busha lishuke ukienda haja ndogo mkojo unatoka na dagaa tena wazima.INAUMA NA INA UMIZA SANA...
Na Charles Francis M,
Askari aliye vaa kofia akitoa BASTOLA mbele ya aliye kuwa waziri wa habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Ndugu Nape Nnauye. Askari huyu aliulizwa kitambulisho chake cha kazi lakini alitoa BASTOLA ambayo ni silaha ya moto. Yaani haya yanatokea katika nchi inayo itwa huru na yenye amani.
Askari huyu angetoa silaha ya moto ikiwa tu Nape angetoa silaha pia au kungekuwa na hali tete kiusalama inayo zuia polisi kufanya kazi yao au ina hatarisha uhai wa polisi, chini ya ruhusa ya matumizi ya "reasonable force". Lakini none of them happened, absolutely none!! Lakini polisi huyo aliona ni busara ya mwisho kutoa BASTOLA tena hadharani mbele ya wana habari na Camera zao na tukio hilo likiwa "live".
SWALI LANGU: Nape kafanyiwa hivi hadharani, ni mtu maarufu na kiongozi mkubwa, Je wananchi wa kawaida kule vijijini?? Je, kiongozi wa upinzani atafanyiwa nini akiwa katika anga za askari huyu?? Askari huyu weledi wake wa kazi ni kutumia BASTOLA anapo ombwa kitambulisho?? NAONA GIZA, imeniuma sana kuona hali hii nchini, sijawahi kuandika haya lakini moyoni nimeumia sana sana sana.
Nilikuwa nikiona haya kule Uganda akifanyiwa mpinzani Kiza Besigye lakini leo naona hadharani nchini kwangu, nimeumia sana, naandika ujumbe huu nikiwa nimeumia.
Pamoja na dhambi za Nape katika kauli ya "goli la mkono" ile ya kusema Lowassa na wanao ondoka CCM ni "oil chafu" na kadhalika lakini ushujaa wake ume onekana katika mwisho wa nafasi yake kama Waziri Mwenye dhamana ya habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo akitetea maslahi ya wana habari na watanzania.
MUHIMU SANA: Kila mmoja ajiulize, UKO SALAMA KIASI GANI ukiwa mikononi mwa mlinda usalama wa aina hii ambaye ana haraka ya kutoa silaha ya moto kuliko kitambulisho!!
"Caytano Maytano"
Charles Francis M.